Search results

  1. Ndata

    Bashe hana jipya zaidi ya Siasa kwenye Wizara muhimu

    Kwanza I have to declare interest mimi ni mkulima wa mazao ya biashara. Na kama mkulima wizara ya kilimo ndio mlezi wangu ila kwa uongozi wa Bashe nachelea kusema tutachelewa sana. Tanzania ilikuja na wazo la kufanya mchikichi kuwa zao la biashara, ilikuwa hatua nzuri kweli na Kigoma...
  2. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Habari wanajukwaa. Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui. Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia. Binafsi yangu naona hii ni aina...
  3. Ndata

    Mbowe kijana wa CCM kwa kivuli cha upinzani

    CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema. Historia inatuambia, waanzilishi wote wa Chadema walikuwa Benki kuu. Yaani Mtei, Bob Makani na Mbowe na...
  4. Ndata

    Demokrasia ndani ya vyama pinzani

    ZITTO ANAPOMFUNDA MBOWE KWA VITENDO. Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mpigania demokrasia ndani ya vyama na serikali kwa ujumla Zitto kabwe aachia ngazi baada ya miaka kumi ya utumishi ndani ya chama cha ACT. Hii ni habari chungu sana kwa Mbowe, kiongozi aliyekiongoza chama...
  5. Ndata

    Kwa jinsi bandari ilivyotushinda naamini hata Hayati Magufuli angekubali kuibinafsisha

    Kwa jinsi bandari ilivyotushinda naamini hata Magufuli angekubali kuibinafsisha. Hivi bandari hii ndio kitu cha kwanza Tanzania inabinafsisha? Kwanini bandari imekuwa na kelele nyingi ilihali inalalamikiwa kwa miaka mingi? Tumuache mama afanye kazi yake, atumie muda wake kuijenga nchi...
  6. Ndata

    Naomba ushauri kuhusu matumizi ya samadi kilimo cha mahindi

    Habari za humu ndani wadau, nimesoma maandiko mengi na kusikiliza wataalamu wengi juu ya kilimo cha mahindi. Wapo wanaosema unaweza tumia viua magugu km round up kuandaa shamba badala ya kulima. Hili wadau mnasemaje Na pili ni kwenye matumizi ya mbolea. Nataka kupanda kwa kutumiwa mbolea ya...
  7. Ndata

    Nyumba kama hii inaweza kugharimu kiasi gani cha pesa?

    Kujenga kanyumba ka aina hii Maeneo ya Mwanza, kahama au Bukoba inaweza gharimu kiasi gani cha pesa. Asante
  8. Ndata

    Uchaguzi 2020 Majibu sahihi kwa Zitto na kwanini tumchague Mogha

    UPOTOSHAJI WA ZITTO KUHUSU MIRADI 2. BANDARI Mwaka 2017-2019.. Mikakati imefanyika kuimarisha BANDARI na Kuongeza Mzunguko bandarini. a. Kupunguza Tozo za Bandari Lake Tanganyika(kutoka Dola 12.5 kwa tani mpaka dola 10 kwa tani 1) b. Ziwa Tanganyika kulikuwa na Bandari 3 tu, (Kigoma Main...
  9. Ndata

    Zitto ni mwepesi sana mbele ya Mogha

    Historia ya siasa za Kigoma mjini ni historia tofauti na majimbo mengine ambayo watu wenye umaarufu au pesa nyingi kuwa na uhakika wa ushindi mbele ya wanasiasa wapya, wasio na pesa nyingi au umaarufu mkubwa. Zitto pamoja na umaarufu wake wote bado hajafanikiwa kuingia kwenye mioyo yetu Wana...
  10. Ndata

    Uchaguzi 2020 Nyomi bandia, uongo unawaadhibu wapinzani kila chaguzi

    MBWEMBWE ZA MAALIM MWISHO OCTOBER Wanasiasa wote wenye historia Safi ya kushindwa huwa na ushamba Fulani hivi wa kushabikia nyomi la watu. Kuthibitisha hili taenda na mifano hai kabisa tena nitacheza na mifano ya juzi juzi sio ya mbali Sana. Uchaguzi wa mwaka 2015 Mh Lowasa alikusanya nyomi...
  11. Ndata

    Uchaguzi 2020 CHADEMA yakosa wagombea Makete na Bukombe

    Hali tete kwa chama Kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA baada ya kukosa wagombea na kuanza kununua wagombea walioandaliwa na NCCR Mageuzi. Ikumbukwe hawa ndio wanaojinasibu kila siku wamejiandaa kutwaa dola, maajabu ni uwezo tuu wa kuandaa wagombea imekuwa tabu. Viongozi na wanachama wake...
  12. Ndata

    Mwambieni Zitto ajifunze kutafuna, kutafuniwa kutamponza

    Ni nani asiyefahamu Dr Slaa alikuwa mtafunaji Zitto mmezaji. Yaani Slaa alikuwa akifanya Tafiti yeye Zitto anakuwa speaker tuu ya kusema yale yaliyoandaliwa na Slaa. Huu ulikuwa mkakati wa kuikuza Chadema. Hapa homeboy akavimba kichwa baada ya umaarufu. Alivyokuja Kafulila, Kafulila akawa...
  13. Ndata

    Jino kwa jino ya Ado Shaibu ni ujinga

    Nimeona Ndugu Ado Katibu Mkuu ACT akidai mwaka huu ni jino kwa jino, kifupi anataka kuturudisha kule tulipotoa Ngali ngali. Kwanza aina hii ya siasa sio iliyoasisi chama cha ACT, ila kwakuwa wameungana na kundi linaloamini katika siasa za visasi na Chuki huu umekuwa utaratibu wao mpya. Hofu...
  14. Ndata

    NCCR Mageuzi moto chini Mkoani Kigoma. Aliyekuwa Mwanasheria wa ACT Wazalendo ajiunga na Chama

    Mwanasheria wa zamani wa ACT ajiunga NCCR. - Akwepa kushambulia chama chake cha zamani. - Aahidi kuhimiza watendaji kutekeleza agizo la Rais Magufuli. Na mwandishi wetu, Kigoma. Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Thomas Msasa amejiunga rasmi na chama cha NCCR mageuzi na...
  15. Ndata

    Nawaza kijinga jinga tuu

    Nimekuwa kimya kwa siku kadhaa nikiutazama muelekeo wa siasa zetu za upinzani haswa sasa tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa October 2020. Naona mapicha picha tuu. Dhana ya kuona wengine CCM B inazidi kusambaa na wasambazaji wakubwa wakiwa ni Chadema na viongozi wao, yaani hadi kiongozi...
  16. Ndata

    Kigoma mjini mpya

    SIKU TUKIKUBALI KUBADILIKA KIGOMA MJINI ITABADILIKA. Kwa tulio wafuatiliaji wazuri wa siasa za Kigoma mjini haswa baada ya kuasisiwa mfumo wa vyama vingi lazima tutakubaliana watu wa Kigoma mjini tumeamua kuwa makabwitunge wa wanasiasa Uchwara wanaojivua majukumu ya uwakilishi na kujivika...
  17. Ndata

    Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi tegemeo jipya kwa wapenda mabadiliko

    Chama cha Nccr Mageuzi ndio chama kilichoasisi vuguvugu la Mageuzi nchini Tanzania na ndio chama pekee kisichopoteaga kwa kila kizazi, yaani walioshuhudia nguvu yake 1995 na wanaoshuhudia mwaka huu 2020 ni vizazi viwili tofauti. Mawimbi hubadilika, Nccr hupoteza mvuto na pasipo kutarajia mvuto...
  18. Ndata

    Madhara ya maamuzi kutolewa na mtu mmoja

    Tuliandika hapa madhara ya mtu mmoja kuamka na kutoa maamuzi ya Taasisi kama alivyofanya Zitto Kabwe kwenye suala la kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji. Zitto alifuata mkumbo wa CHADEMA ambao kiuhalisia wao walikaa kikao Dodoma na kuamua, Zitto alikaa na nani? Lipumba...
  19. Ndata

    Kama unaipenda demokrasia nenda kaanzishe chama chako kama alivyofanya Zitto

    FAHAMU SIRI YA UENYEKITI NDANI YA CHADEMA. Chadema kama ilivyo taasisi zingine za kisiasa (sio vyama vya kisiasa mfano wa Ccm) inajengwa kwa misingi ya maslahi yabaki ndani ya familia. Chadema ni sawa ma kampuni yake Dewji au kampuni za Bakhresa, wataajili watu yofauti kwa vyeo Tofauti ila CEO...
  20. Ndata

    Mawe matatu hutengeneza mafiga na chakula huiva

    Nimebahatika kumsikiliza Rais akiwa Momba, Rais kawa very clear kwa waliomlalamikia suala la maji jimbo la Momba. Rais anajitahidi kuwakumbusha watanzania umuhimu wa kuchagua wawakilishi watakaoenda kuwakilisha wananchi na sio wanaoenda Bungeni au kwenye mabaraza ya madiwani kujijengea majina...
Back
Top Bottom