Nyumba ama kibanda?Kujenga kanyumba ka aina hii Maeneo ya Mwanza, kahama au Bukoba inaweza gharimu kiasi gani cha pesa.
Asante
View attachment 2244207
Acha dharau, Tunatofautiana uwezo yeye karidhika na hicho na kitamstiri..Nyumba ama kibanda?
Million nneIwe kwa matofali ya block au kuchoma
Nyumba yako nzuri ni Kaburi tu hayo mengine ni mbwembwe.Nyumba ama kibanda?
Sasa dharau kivipi kuna gari ndogo na bus na lorry lazima utofautishe pia kati ya nyumba na kibandaAcha dharau, Tunatofautiana uwezo yeye karidhika na hicho na kitamstiri..
Ml 5 kuikamilisha ujenziiKujenga kanyumba ka aina hii Maeneo ya Mwanza, kahama au Bukoba inaweza gharimu kiasi gani cha pesa.
Asante
View attachment 2244207
Nageiti kunawezi kila mahaliMillion nne
4-6 anaifikisha level gani ?Bila bati tofari block mil 4-6 kutokana na bei ya tofari.
Mungu asikulipe haya uliyo yaandikaNyumba ama kibanda?
Umecomment umebanwa haja auBila bati tofari block mil 4-6 kutokana na bei ya tofari.
Humu bwanaNyumba ama kibanda?