Uchaguzi 2020 Nyomi bandia, uongo unawaadhibu wapinzani kila chaguzi

Ndata

JF-Expert Member
Mar 2, 2017
226
321
MBWEMBWE ZA MAALIM MWISHO OCTOBER

Wanasiasa wote wenye historia Safi ya kushindwa huwa na ushamba Fulani hivi wa kushabikia nyomi la watu.

Kuthibitisha hili taenda na mifano hai kabisa tena nitacheza na mifano ya juzi juzi sio ya mbali Sana.

Uchaguzi wa mwaka 2015 Mh Lowasa alikusanya nyomi, watu walideki lami ila alipigika kirahisi tuu na mwisho wa siku alikubali matokeo.

Mwaka 2016 Kiza Besigye Uganda alikusanya nyomi Kila mtu akajua mwisho wa M7 umefika. Baada ya matokeo kutangazwa akajipatia asilimia zake 30+ akatulia.

Mwaka 2017 Raila Odinga alidanganywa na nyomi akapinga matokeo uchaguzi ukarudiwa ila aliweka mpira kwapani akakimbia uwanja.

Hii ndio nyomi anayojisia Maalim ambapo baada ya Kuzoom vizuri nimewaona watoto wa Kigoma wengi ambao sio wapiga kura Zanzibar. Halafu anajisifia nyomi.

Mwenzake Membe anaogopa hata kuandaa mapokezi huku bara, maana Kuna uwezekano akapokewa na mkewe au hata mkewe akaikwepa aibu.

Mwisho wa yote ujumbe huu umfikie Maalim, Kama hadi anazeeka haelewi tofauti ya wapiga kura na nyomi la wahuni basi astaafu siasa tuu akalee wajukuu.

Pichani Kaliyango diwani Kigoma mjini na Monalisa mtoto wa Shirika Kigoma.

FB_IMG_1597216119477.jpg

 
Hivi kwa Mfano asingepokelewa na hao watu sasa hivi ungekuwa unazungumzia nini. Kwa bahati mbaya hakuna aliyelazimishwa kwenda pale hivyo unafahamu kabisa ni nini kimewapeleka
Kwamba unachukua watu kutoka Kigoma wakampokee Mgombea Zanzibar then unajisifu CCM wanapigika mwaka huu
 
Kwamba unachukua watu kutoka Kigoma wakampokee Mgombea Zanzibar then unajisifu CCM wanapigika mwaka huu
Bora hiyo ya kuchukua watu Kigoma na kuwapeleka Kisiwani kuliko ya kulazimisha kwa barua za vitisho watumishi wa umma kumlaki mteule fulani
 
Sidhani kama mwaka huu mtapata hata muda wa kupiga Push-Up! Hali si nzuri kwa upande wenu- Naona sehemu nyingi mkionyesha magari ya kijani na muziki au hayo magari mwaka huu yatapiga kura?
 
wale wapinzani nikama zecomedy hiyo nyomi ya watu wanaendaga kuwashangaa wanakituko gani leo
 
Tume ya Uchaguzi ndio tatizo kote huko, Vyama vilivyopo madarakani haviwezi kukubali kushindwa kirahisi, Lazima wataongeza sauti zao katika tume licha ya tume hizo kudaiwa kuwa halali
 
Tumia akili Dogo, hakuna chama tawala kirahisi kiruhusu wapinzani kuingia madarakani, dola wanayo wao ,tume yao sasa nini kishindikane.

Embu wajaribu kuhesabu adhakani kama kula za maoni eg kigamboni kama hutozimia? Jifanye kusahau na kupinga matokeo halisi ya lowasa.

Hata ningekuwa mm siwezi ruhusu kushindwa kirahisi na upinzani. Siasa ni unafiki.
 
Huyu ni aliyekuwa diwani Kigoma Mjini na yeye mnamuhesabu kwenye nyomi. Mkipigwa mnashangaa watu walikuwa wengi kura chache. Hizi MBWEMBWE za Nyomi ni maigizo
Screenshot_2020-08-12-10-12-43-638_videodownloader.fbvideodownloader.facebookvideodownloader.v...jpg
 
Katika tume huru wapinzani hawahitaji hata kufanya kampeni. Kwa yanayotokea huku mtaani na tuliaminishwa upinzani umekufa hakika watu hawaitaki CCM
 
Mimi na jamaa zangu wawili huwa hatuna hata card ya mpiga kura lakin nyomi kama hizi lazma tushiriki iwe ya ccm,chadema,cuf,act Yan lazma tukawapokee viongozi wetu
 
Back
Top Bottom