Ndata
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 226
- 321
Hali tete kwa chama Kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA baada ya kukosa wagombea na kuanza kununua wagombea walioandaliwa na NCCR Mageuzi.
Ikumbukwe hawa ndio wanaojinasibu kila siku wamejiandaa kutwaa dola, maajabu ni uwezo tuu wa kuandaa wagombea imekuwa tabu.
Viongozi na wanachama wake wanaona aibu kusimama kupitia tiketi ya CHADEMA na njia pekee waliyobaki nayo ni kulaghai wagombea walioandaliwa na NCCR.
Hili lingefanywa na NCCR wangedai ni CCM B wakifanya wao ni sahihi na ndio upinzani.
Kwetu NCCR tumejiandaa haswa na uchaguzi huu na tuna uhakika wa kusimamisha kila jimbo na kushinda uchaguzi ukiwa huru na haki. Mtihani kwa wenzetu Chadema ambao wamekosa watia nia karibu nusu ya majimbo yote Tanzania.
Ikumbukwe hawa ndio wanaojinasibu kila siku wamejiandaa kutwaa dola, maajabu ni uwezo tuu wa kuandaa wagombea imekuwa tabu.
Viongozi na wanachama wake wanaona aibu kusimama kupitia tiketi ya CHADEMA na njia pekee waliyobaki nayo ni kulaghai wagombea walioandaliwa na NCCR.
Hili lingefanywa na NCCR wangedai ni CCM B wakifanya wao ni sahihi na ndio upinzani.
Kwetu NCCR tumejiandaa haswa na uchaguzi huu na tuna uhakika wa kusimamisha kila jimbo na kushinda uchaguzi ukiwa huru na haki. Mtihani kwa wenzetu Chadema ambao wamekosa watia nia karibu nusu ya majimbo yote Tanzania.