Kama unaipenda demokrasia nenda kaanzishe chama chako kama alivyofanya Zitto

Ndata

JF-Expert Member
Mar 2, 2017
226
321
FAHAMU SIRI YA UENYEKITI NDANI YA CHADEMA.

Chadema kama ilivyo taasisi zingine za kisiasa (sio vyama vya kisiasa mfano wa Ccm) inajengwa kwa misingi ya maslahi yabaki ndani ya familia.

Chadema ni sawa ma kampuni yake Dewji au kampuni za Bakhresa, wataajili watu yofauti kwa vyeo Tofauti ila CEO ataendelea kutoka ndani ya familia.

Kwakua muasisi wa Chadema ni Mzee Mtei moja ya sifa ya kuongoza Chadema ni lazima utengeneze uhusiano wa nguvu na ukoo wa mtei. Kama ilivyo kampuni zingine tuu unaweza kuiongoza kwa kuoa ndani ya familia ya mwenye kampuni.

Marehem Bob Makani alitakiwa kuoa kwa Mtei ili aweze kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa the same case applied to Mbowe ilibidi aoe mwana wa Mtei.

Kwa muenendo huo ni dhahiri kina Zitto, Wangwe, Waitara na sasa Mwambe ni wadandiaji wenye nia ovu ya kuiharibu Taasisi kwa kukataa kufuata misingi ya uongozi ndani ya Chama.

Kina Zitto no sawa na mfanyakazi wa Kawaida ndani ya Metl companies kutaka kugombea nafasi ya uongozi na Mo Dewji tena kuunda na makundi ya pembeni ili kumuangusha huu ni uhaini.

Ushauri tuu kwa wenye malengo ya uenyekiti ndani ya Chadema, kama bado hawajaoa basi wajitahidi kujipenyeza kwa Mtei na kutengeneza udugu.

Kwa sasa tuacheni Mbowe aendelee kuiongoza Chadema maana maumivu ya ujenzi wa Chadema upo ndani ya familia yake. Uhuni wa kutaka kupokonya kampuni ya watu ufike mwisho.

Mkitaka kujua machungu ya kujenga Taasisi mwambieni Zitto akae pembeni baada ya ACT kuanza kupokea Ruzuku.

Cwu
 
Chadema kama ilivyo taasisi zingine za kisiasa (sio vyama vya kisiasa mfano wa Ccm) inajengwa kwa misingi ya maslahi yabaki ndani ya familia.

Chadema ni sawa ma kampuni yake Dewji au kampuni za Bakhresa, wataajili watu yofauti kwa vyeo Tofauti ila CEO ataendelea kutoka ndani ya familia.

Kwakua muasisi wa Chadema ni Mzee Mtei moja ya sifa ya kuongoza Chadema ni lazima utengeneze uhusiano wa nguvu na ukoo wa mtei. Kama ilivyo kampuni zingine tuu unaweza kuiongoza kwa kuoa ndani ya familia ya mwenye kampuni.

Marehem Bob Makani alitakiwa kuoa kwa Mtei ili aweze kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa the same case applied to Mbowe ilibidi aoe mwana wa Mtei.

Kwa muenendo huo ni dhahiri kina Zitto, Wangwe, Waitara na sasa Mwambe ni wadandiaji wenye nia ovu ya kuiharibu Taasisi kwa kukataa kufuata misingi ya uongozi ndani ya Chama.

Kina Zitto ni sawa na mfanyakazi wa Kawaida ndani ya Metl companies kutaka kugombea nafasi ya uongozi na Mo Dewji tena kuunda na makundi ya pembeni ili kumuangusha huu ni uhaini.

Ushauri wa Cwu kwa wenye malengo ya uenyekiti ndani ya Chadema, kama bado hawajaoa basi wajitahidi kujipenyeza kwa Mtei na kutengeneza udugu.

Kwa sasa tuacheni Mbowe aendelee kuiongoza Chadema maana maumivu ya ujenzi wa Chadema upo ndani ya familia yake. Uhuni wa kutaka kupokonya kampuni ya watu ufike mwisho.

Mkitaka kujua machungu ya kujenga Taasisi mwambieni Zitto akae pembeni baada ya ACT kuanza kupokea Ruzuku.
 
Kwa sasa tuacheni Mbowe aendelee kuiongoza Chadema maana maumivu ya ujenzi wa Chadema upo ndani ya familia yake. Uhuni wa kutaka kupokonya kampuni ya watu ufike mwisho.
 
Makamanda wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiyi! Ila wenyewe siku zote wamekuwa wakipinga uwepo wa hiyo changamoto.
 
Naona mnajifariji baada ya JK kuingia rasmi katika vita ya kumpata mgombea wa CCM 2020.

Sana CCM wengi walikuwa wanaogopa huyo anayeji Mwambafai kwa vile hawakuwa na back up yeyote Ila sasa wamepata hakika kuwa JK & co yote ya wastaafu wa siasa, majeshi na wafanyabiashara wakubwa wako upande wao.

Nilimuuliza kiongozi mmoja kule Mbeya kwamba kwa nini mnaposikia Magu anaziara kwenu mnakosa raha, mnachukia na hata kumuombea mabaya wakati jukwaani mnasema mnampenda sana na kumuunga mkono 100%?

Jibu lake alisema "usidanganywe na kauli za kumpenda Magu, hapendwi wala hakubaliki ndani ya chama wala serikali kwani hafuati sheria wala katiba. Anaweza kukuaibisha hadharani bila kosa yeye akitafuta sifa. Ikipigwa kura ya siri ndani ya CCM hapati hata 20%"

Kama sio faulo 2020 ndani ya CCM hapiti.
 
FAHAMU SIRI YA UENYEKITI NDANI YA CHADEMA.

Chadema kama ilivyo taasisi zingine za kisiasa (sio vyama vya kisiasa mfano wa Ccm) inajengwa kwa misingi ya maslahi yabaki ndani ya familia.

Chadema ni sawa ma kampuni yake Dewji au kampuni za Bakhresa, wataajili watu yofauti kwa vyeo Tofauti ila CEO ataendelea kutoka ndani ya familia.

Kwakua muasisi wa Chadema ni Mzee Mtei moja ya sifa ya kuongoza Chadema ni lazima utengeneze uhusiano wa nguvu na ukoo wa mtei. Kama ilivyo kampuni zingine tuu unaweza kuiongoza kwa kuoa ndani ya familia ya mwenye kampuni.

Marehem Bob Makani alitakiwa kuoa kwa Mtei ili aweze kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa the same case applied to Mbowe ilibidi aoe mwana wa Mtei.

Kwa muenendo huo ni dhahiri kina Zitto, Wangwe, Waitara na sasa Mwambe ni wadandiaji wenye nia ovu ya kuiharibu Taasisi kwa kukataa kufuata misingi ya uongozi ndani ya Chama.

Kina Zitto no sawa na mfanyakazi wa Kawaida ndani ya Metl companies kutaka kugombea nafasi ya uongozi na Mo Dewji tena kuunda na makundi ya pembeni ili kumuangusha huu ni uhaini.

Ushauri tuu kwa wenye malengo ya uenyekiti ndani ya Chadema, kama bado hawajaoa basi wajitahidi kujipenyeza kwa Mtei na kutengeneza udugu.

Kwa sasa tuacheni Mbowe aendelee kuiongoza Chadema maana maumivu ya ujenzi wa Chadema upo ndani ya familia yake. Uhuni wa kutaka kupokonya kampuni ya watu ufike mwisho.

Mkitaka kujua machungu ya kujenga Taasisi mwambieni Zitto akae pembeni baada ya ACT kuanza kupokea Ruzuku.

Cwu

Mara hii yamekuwa hayo.
Kudai demokrasia ndani ya chama ni dhambi. Ambayo inaweza kukupelekea ukatengwa na kundi. Huku ukiambiwa uunde kundi lako ndiko upeleke mambo ya demokrasia.
 
Back
Top Bottom