Ndata
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 226
- 321
Habari za humu ndani wadau, nimesoma maandiko mengi na kusikiliza wataalamu wengi juu ya kilimo cha mahindi.
Wapo wanaosema unaweza tumia viua magugu km round up kuandaa shamba badala ya kulima. Hili wadau mnasemaje
Na pili ni kwenye matumizi ya mbolea. Nataka kupanda kwa kutumiwa mbolea ya samadi, swali naweza pia tumia sanadi haswa ya Ng'ombe kukuzia?
Asanteni
Wapo wanaosema unaweza tumia viua magugu km round up kuandaa shamba badala ya kulima. Hili wadau mnasemaje
Na pili ni kwenye matumizi ya mbolea. Nataka kupanda kwa kutumiwa mbolea ya samadi, swali naweza pia tumia sanadi haswa ya Ng'ombe kukuzia?
Asanteni