Ndata
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 226
- 321
Habari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?