Kwanini awamu hii kila kitu wanataka kiitwe jina la Rais. Kunahitajika sheria mahususi

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,113
18,329
Kume kuwa na utaratibu wa ajabu kwa awamu hii kutaka kuita kila mradi jina la Rais, na mbaya zaidi hakuna sheria wala utaratibu wa kufuata.

Sasa hivi nasikia uwanja wa Arusha wanataka uitwe Samia.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni mwiko kuita kitu chochote kwa jina la Rais aliyeko madarakani, ilikua ni heshima anayo pewa mtu akistaafu.

Baadae tutakuja kuchabganyana tuu maana viwanja vya ndege vitaitwa samia, viwanja vya mpira samia, malls samia, miradi ya NHC samia.

Tatizo sio Rais tatizo ku a mwanya upo sehemu watu wanautumia kujiweka karibu na Rais kwa kujipendekeza.

Ni vyema kama taifa tuwe na sheria na taratibu za kuita maeneo ambayo yanatoa huduma za jamii.

Kuna ukakasi mkubwa sana katika hili toka awamu ya 5.

Kuna nchi walifika wakati wakafuta majina yote ya viongozi kwenye sehemu za kutolea huduma.

Na hii ni kutokana na mitazamo tofauti waliyo nayo wananchi juu ya hao viongozi.


Napendekeza itungwe sheria na bunge lihusishwe.
 
Ha ha.

Chama cha Republicans huko marekani nao wanataka Uwanja wa Ndege wa Dulles Airport wa Washington DC, Uitwe Trump.

Je, Unafikiri hii ni kwasababu ya Magulification au na wao hawana Utaratibu?

Nawasilisha
 
Ha ha.

Chama cha Republicans huko marekani nao wanataka Uwanja wa Ndege wa Dulles Airport wa Washington DC, Uitwe Trump.

Je, Unafikiri hii ni kwasababu ya Magulification au na wao hawana Utaratibu?

Nawasilisha
Wanataka but halijapita. Make no mistake wao huwa wanatoa kwa maeneo maalumu. Si kila mahali ni jina la rais
 
Unlike wenzetu, watakipa kitu jina lako kutokana na mchango wako tena unapo deserve. Otherwise hawana tabia ya kujipendekeza hovyo
 
Mwanzilishi wa upumbavu huu ni jiwe. Alitaka mpk ikulu ihamie Chato.

Kumbuka Mwigulu Nchemba alimuapishia chumbani kwake Chato.
Wacha uwongo wewe. Unataka kusema Magufuli ndie aliyeanzisha Uwekaji au Utunukaji wa Majina? Kwa sheria ipi hiyo?

Nyie ndio mnataka kulazimisha Watanzania kuwa walikuwa Mazuzu. Ulikuwa wapi kukemea haya?

Wewe ulikewepo Chumbani kwake unafanya nini, uliliwa threesome nini?
 
Wanataka but halijapita. Make no mistake wao huwa wanatoa kwa maeneo maalumu. Si kila mahali ni jina la rais
Usichanganye watu hapa. Hayo maeneo maalum ni yepi na yana tofauti gani, kwa mfano na Airport au Liwanja la Mpira.
 
Usichanganye watu hapa. Hayo maeneo maalum ni yepi na yana tofauti gani, kwa mfano na Airport au Liwanja la Mpira.
Nimesema si kila mahali. Viwanja vya ndege hizo ni regular, lakin pia hata hivyo navyo si vyote ni asilimia ndogo mno yenye majina ya viongozi. And kwa muundo wa kwao mamlaka ya eneo husika inaweza kukataa au kubadili eneo lenye jina la rais
 
Nimesema si kila mahali. Viwanja vya ndege hizo ni regular, lakin pia hata hivyo navyo si vyote ni asilimia ndogo mno yenye majina ya viongozi. And kwa muundo wa kwao mamlaka ya eneo husika inaweza kukataa au kubadili eneo lenye jina la rais
Nimekuelewa Mkuu.

Sawa, ila siyo kila kitu tuwe tunafanya kwasababu tu Ali kafanya au mfalme wa Uingereza kafanya au nani sijui.

Tuna mila na tamaduni zetu, na itoshe basi kama ndiyo iwe hivyo, nitaunga hoja mkono Tubadilishe Ziwa Victoria na Kuipa jina la Kitanganyika basi

Ziwa Chato! Kudadeki
 
Nimekuelewa Mkuu.

Sawa, ila siyo kila kitu tuwe tunafanya kwasababu tu Ali kafanya au mfalme wa Uingereza kafanya au nani sijui.

Tuna mila na tamaduni zetu, na itoshe basi kama ndiyo iwe hivyo, nitaunga hoja mkono Tubadilishe Ziwa Victoria na Kuipa jina la Kitanganyika basi

Ziwa Chato! Kudadeki
Wewe nyamaza usiwape idea watu wa ukanda ule kuhusu ziwa chato hahaha
 
Kume kuwa na utaratibu wa ajabu kwa awamu hii kutaka kuita kila mradi jina la Rais, na mbaya zaidi hakuna sheria wala utaratibu wa kufuata.

Sasa hivi nasikia uwanja wa Arusha wanataka uitwe Samia.

Miaka ya nyuma ilikua ni mwiko kuita kitu chochote kwa jina la Rais aliyeko madarakani, ilikua ni heshima anayo pewa mtu akistaafu.

Baadae tutakuja kuchabganyana tuu maana viwanja vya ndege vitaitwa samia, viwanja vya mpira samia, malls samia, miradi ya NHC samia.

Tatizo sio Rais tatizo ku a mwanya upo sehemu watu wanautumia kujiweka karibu na Rais kwa kujipendekeza.

Ni vyema kama taifa tuwe na sheria na taratibu za kuita maeneo ambayo yanatoa huduma za jamii.

Kuna ukakasi mkubwa sana katika hili toka awamu ya 5.

Kuna nchi walifika wakati wakafuta majina yote ya viongozi kwenye sehemu za kutolea huduma.

Na hii ni kutokana na mitazamo tofauti waliyo nayo wananchi juu ya hao viongozi.


Napendekeza itungwe sheria na bunge lihusishwe.
Ata hiyo sheria itaitwa jina la Rais
 
Kume kuwa na utaratibu wa ajabu kwa awamu hii kutaka kuita kila mradi jina la Rais, na mbaya zaidi hakuna sheria wala utaratibu wa kufuata.

Sasa hivi nasikia uwanja wa Arusha wanataka uitwe Samia.

Miaka ya nyuma ilikua ni mwiko kuita kitu chochote kwa jina la Rais aliyeko madarakani, ilikua ni heshima anayo pewa mtu akistaafu.

Baadae tutakuja kuchabganyana tuu maana viwanja vya ndege vitaitwa samia, viwanja vya mpira samia, malls samia, miradi ya NHC samia.

Tatizo sio Rais tatizo ku a mwanya upo sehemu watu wanautumia kujiweka karibu na Rais kwa kujipendekeza.

Ni vyema kama taifa tuwe na sheria na taratibu za kuita maeneo ambayo yanatoa huduma za jamii.

Kuna ukakasi mkubwa sana katika hili toka awamu ya 5.

Kuna nchi walifika wakati wakafuta majina yote ya viongozi kwenye sehemu za kutolea huduma.

Na hii ni kutokana na mitazamo tofauti waliyo nayo wananchi juu ya hao viongozi.


Napendekeza itungwe sheria na bunge lihusishwe.
WaBunge gan la kutunga hiyo sheria?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kume kuwa na utaratibu wa ajabu kwa awamu hii kutaka kuita kila mradi jina la Rais, na mbaya zaidi hakuna sheria wala utaratibu wa kufuata.

Sasa hivi nasikia uwanja wa Arusha wanataka uitwe Samia.

Miaka ya nyuma ilikua ni mwiko kuita kitu chochote kwa jina la Rais aliyeko madarakani, ilikua ni heshima anayo pewa mtu akistaafu.

Baadae tutakuja kuchabganyana tuu maana viwanja vya ndege vitaitwa samia, viwanja vya mpira samia, malls samia, miradi ya NHC samia.

Tatizo sio Rais tatizo ku a mwanya upo sehemu watu wanautumia kujiweka karibu na Rais kwa kujipendekeza.

Ni vyema kama taifa tuwe na sheria na taratibu za kuita maeneo ambayo yanatoa huduma za jamii.

Kuna ukakasi mkubwa sana katika hili toka awamu ya 5.

Kuna nchi walifika wakati wakafuta majina yote ya viongozi kwenye sehemu za kutolea huduma.

Na hii ni kutokana na mitazamo tofauti waliyo nayo wananchi juu ya hao viongozi.


Napendekeza itungwe sheria na bunge lihusishwe.
Namshukuru mama Samia suluhu hassani kwa kuamka salama ninachati kwa Uhuru jf muda huu

Huu Ni mfano 😊
 
Ha ha.

Chama cha Republicans huko marekani nao wanataka Uwanja wa Ndege wa Dulles Airport wa Washington DC, Uitwe Trump.

Je, Unafikiri hii ni kwasababu ya Magulification au na wao hawana Utaratibu?

Nawasilisha
Kuna wanaume wanatamani hata kujiita sa100
 
Back
Top Bottom