Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

Habari wanajukwaa.

Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.

Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.

Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.

Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.

Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Ndio siasa za ki komunisti zinataka hivyo. Ni ngumu kukuta hizi praise n worship kwenye siasa za ki liaerali
 
Habari wanajukwaa.

Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.

Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.

Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.

Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.

Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Kuhusu kauli ya mtoto wa Lowassa nadhani alikuwa sahihi. Inawezekana SSH personally alijitoa kuhakikisha Lowassa anapewa huduma stahiki kwa wakati!

Lakini inafikirisha sana kuona picha ya SSH ikitumika kwenye mabango yaliyotandazwa kwenye shughuli ambazo hata yeye hayupo!
Inafikirisha zaidi SSH kutajwa kwenye masuala ya maendeleo kwa fedha za mlipa kodi.
Na ujinga huu umeshika kasi kuanzia JPM alivoingia Ikulu!
 
Wengi wanaofanya hivyo ni wale wanaojikomba ili waendelee kubaki kwenye madaraka au waonekane ili wapate uteuzi na kundi la pili ni wale wenye nidhamu ya woga wakidhani wasiposema hivyo wataonekana hawana adabu ama hawana shukrani.
Hawa wote ni wagonjwa wa akili wanahitaji tiba.
Upo sahihi...
Lakini zaidi ya UGONJWA kwa sasa ujinga huo unawalipa vizuri sana wanaoufanya!
Watu wanaseminishwa kabisa jinsi ya kusifia! Na mafungu yanatolewa!
 
Habari wanajukwaa.

Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.

Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.

Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.

Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.

Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Akishambuliwa mno a hulalamiki?
 
Habari wanajukwaa.

Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.

Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.

Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.

Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.

Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?

Namshukuru mheshimiwa rais
 
Habari wanajukwaa.

Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.

Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.

Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.

Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.

Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Hii ni Tanzania tu, huwezi ikuta Rwanda, wala Burundi wala Kenya wala Congo, Tanzania ili usurvive lazima ujipendekeze na ujikombe
 
Tuige majirani zetu, hawana mda wa kuwatajataja viongozi wao. Wanajibu na kuongea tu kinachotakiwa, kwao kutaja watu ni kupoteza mda.
...ni kama ule upuuzi wa kutambua kila mgeni mualikwa kwenye DHIFA, address wakubwa wawili,wengine sema ITIFAKI imezingatiwa,mwaga MAMBO..sio porojo porojo tu
 
Back
Top Bottom