athari

Traditionalist theology (Arabic: الأثرية‎—al-Athariyyah) is an Islamic scholarly movement, originating in the late 8th century CE, who reject philosophical and extreme rationalistic Islamic theology (kalam) in favor of strict textualism in interpreting the Quran and hadith like early generations of Muslim. The name derives from "tradition" in its technical sense as a translation of the Arabic word hadith. It is also sometimes referred to by several other names. The four imams of Sunni Islam (Abu Hanifah, Malik, ash-Shafi'i, and Ahmad) are considered to have been followers of traditionalist theology.Adherents of traditionalist theology believe the zahir (literal, apparent) meaning of the Qur'an and the hadith along with understanding of early generations of Muslim are the sole authorities in matters of belief and law; and that the use of rational disputation is forbidden. They mostly engage in a literal reading of the Qur'an using classical interpretation of Sahaba, Tabi'in, Tabi'ut Tabi'in and Imam Madhhab, as opposed to one engaged in personal ‘metaphorical interpretation’ (ta'wil). They do not attempt to conceptualize the meanings of the Qur'an rationally, and believe that realities should be consigned to God alone (tafwid). In essence, the text of the Qur'an and Hadith is accepted without asking "how" (i.e. "Bi-la kayfa").
Traditionalist theology emerged among hadith scholars around the time of Malik ibn Anas (b. 711–d. 795) and coalesced into a movement called ahl al-hadith under the leadership of Ahmad ibn Hanbal (b. 780–d. 855). In matters of faith, they were pitted against Mu'tazilites and other theological currents, condemning many points of their doctrine as well as the rationalistic methods they used in defending them. In the tenth century al-Ash'ari and al-Maturidi found a middle ground between Mu'tazilite rationalism and Hanbalite literalism, using the rationalistic methods championed by Mu'tazilites to defend most tenets of the traditionalist doctrine. Although the mainly Hanbali scholars who rejected this synthesis were in the minority, their emotive, narrative-based approach to faith remained influential among the urban masses in some areas, particularly in Abbasid Baghdad.While Ash'arism and Maturidism are often called the Sunni "orthodoxy", traditionalist theology has thrived alongside it, laying rival claims to be the orthodox Sunni faith. In the modern era it has had a disproportionate impact on Islamic theology, having been appropriated by Wahhabi and other traditionalist Salafi currents and spread well beyond the confines of the Hanbali school of law.

View More On Wikipedia.org
  1. mwanamichakato

    TRA-FORODHA WATAFAKARI ATHARI ZA MAELEKEZO KWA WASAFIRISHAJI MIZIGO KIMATAIFA (TRANSIT)

    Tanzania ni lango kuu la kupokea,kisafirisha mizigo inayoingia na kutoka ktk nchi takribani 7.Uwekezaji mkubwa ktk bandari zetu na miundombinu ya Reli,barabara,Mabomba na anga ni ushahidi tosha wa umuhimu wa taifa letu kijiografia. Kila mwaka tunapokea mamilioni ya shehena za mizigo mbali mbali...
  2. Fabian Vitus

    Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

    Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu...
  3. JanguKamaJangu

    Katavi: Barabara iliyofungwa kutokana na athari za mafuriko kuanza kutumika

    Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Katavi, Mhandisi Martin Mwakabende ameifungua barabara hiyo baada ya kufanyiwa ukaguzi na ukarabati wa Daraja la Stalike kuelekea Mkoani Rukwa. Barabara hiyo ilifungwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko baada ya kujaa maji...
  4. S

    SoC04 Athari zilizotokana na mvua, nini kifanyike kuhakikisha madhara hayo hayatokei tena ili kusaidia kuijenga tanzania tuitakayo

    UTANGULIZI Mnamo mwezi agosti mwaka 2023 mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) ilitoa tahadhari kuhusu mvua za El nino zitakazo anza kipindi cha vuli kuanzia wiki ya pili ya mwezi october mpaka wiki za mwanzo ya mwezi January 2024 na miezi mingine ya mwaka huo. Mamlaka hiyo ilitoa tahadhari...
  5. Jameson-journalist

    Unajua athari na jinsi ya kujiepusha na matumizi ya Bangi?

    Chawa si nzito lakini husumbua, wahenga walikuwa na maana Matatizo madogo madogo yasipodhibitiwa tangu awali huweza kusumbua na kusababisha matatizo makubwa zaidi lakini pia kwa namna nyingine Hutumika kuwatahadharisha wale the wenye tabia ya kudharau matatizo madogo madogo kwani huweza...
  6. Mshuza2

    LIVE Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali ya kimbunga hiki mubashara bofya hapa: Live Weather Satellite Map | Zoom Earth ==== Pia soma: TMA...
  7. TRA Tanzania

    TRA yaendesha Elimu juu ya athari za magendo Kigoma

    Leo tarehe 02.05.2024, TRA imetoa elimu juu ya athari za magendo kama vile kuhatarisha afya kwa kuingiza bidhaa zisizo na ubora kwa wakazi wa soko la Gwanumpu lililopo Ujirani Mwema mpakani mwa Tanzania na Burundi.
  8. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kupitia (TAFORI) Ipo Tayari Kupokea Ushauri wa Tafiti za Miti ya Mikaratusi Ili Kupunguza Athari za Mazingira

    Serikali Kupitia (TAFORI) Ipo Tayari Kupokea Ushauri wa Tafiti za Miti ya Mikaratusi Ili Kupunguza Athari za Mazingira "Kuna zaidi ya Species 500 za Miti ya Mikaratusi Duniani, Tanzania kupitia Taasisi ya Utafiti Misitu Nchini (TAFORI) imeruhusu aina 25 za Miti ya Mkaratusi ili kupata fursa...
  9. Roving Journalist

    Barabara ya Kibada - Mwasonga mbioni kuwekewa Lami, Bashungwa akagua athari za mvua

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali tayari imeshampata Mkandarasi na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kibada - Mwasonga - Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41 kwa kiwango cha lami. Aidha, Bashungwa ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia...
  10. Stephano Mgendanyi

    Barabara ya Kibada - Mwasonga kuanza kupigwa lami, Bashungwa akagua athari za Mvua

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali tayari imeshampata Mkandarasi na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kibada - Mwasonga - Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41 kwa kiwango cha lami. Aidha, Bashungwa ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia...
  11. MINING GEOLOGY IT

    Athari za mabadiliko ya tabianchi hususani mito kwenye swala la mafuriko

    Mito ni mwendo wa maji ambao unachukua maji kutoka maeneo ya juu kwenda maeneo ya chini kwa njia ya asili au ya kibinadamu. Kwa kawaida, mito huanzia katika vyanzo vya maji kama vile chemchem, maziwa, au barafu inayeyuka katika milima, na kisha maji hukusanyika pamoja na kuanza kusafiri chini ya...
  12. G

    Sababu na athari za matangazo ya kubeti, kudanga na kujiunga Freemason kuongezeka

    Matangazo ya makampuni ya kubeti, matangazo ya kujiuza (kudanga) na yale ya kujiunga na uFreemason ni mengi san Hii ni ishara mbaya sana inayoonesha kuwa umaskini umeongezeka kwa kiwango kikubwa sana na hivyo kupelekea kuongezeka kwa wahitaji (wateja) wa Freemason, kubeti na kudanga. Kama...
  13. PureView zeiss

    Picha: athari ya mvua Huko mtaani kwako Hali ipoje?

    Mitaa yetu pamoja na mvua kuathiri maeneo yote ikiwemo miundombinu bado kuna baadhi ya wahuni wanafurahia Hali hiyo ya mvua maana ni fursa kwao
  14. Mbahili

    Baada ya miaka mingi kupita, leo ndiyo naona athari ya Nyota ndogo

    Habari za jioni wanajf. Hongereni kwa mifungo mbalimbali kwa Waislamu, wakristo na wasio na dini Leo kuna jambo limetokea nikamkumbuka nyota ndogo.. "Oooh.. kuna watu na viatu dunianiiii. Ooooh kuna watu wasiopenda maendeleooo. Oooo ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndaniiiii... Oooh achana nao...
  15. Pfizer

    Dkt. Biteko: Bwawa la Mwalimu Nyerere lipo Salama. Limepunguza athari za mafuriko

    DKT. BITEKO ASEMA BWAWA LA UMEME JULIUS NYERERE LIKO SALAMA 📌 Asema limepunguza athari za mafuriko 📌 Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji 📌 Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika 📌 Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati...
  16. JamiiCheck

    Upotoshaji wa Taarifa na Athari Zake kwa Haki katika Jamii

    Taarifa sahihi ni msingi muhimu katika kuhakikisha haki zinapatikana katika jamii zetu. Hata hivyo, upotoshaji wa taarifa ni tatizo linaloweza kusababisha ukosefu wa haki kwa baadhi ya watu. Mathalani, katika vyombo vya utoaji haki kama Mahakama, taarifa potofu zinaweza kupelekea kutoa hukumu...
  17. Mwizukulu mgikuru

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele. Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa...
  18. matunduizi

    Kama nchi tunajipangaje na huu uwezekano mkubwa wa WW3 ambao utakuwa na athari kubwa duniani?

    Kwa mashambulizi ya jana na usiku huu waliyofanya Iran kwa Israel tutegemee Israel kujibu. Tishio ni kubwa kiasi kwamba "Doomsday Plane" ya Israel imeonekana ikipaa ikidhaniwa ni viongozi wanahama nchi. Ni kubwa kiasi kwamba inasemekana Netanyahu amehama Ikulu na kukimbilia kwenye jumba kubwa la...
  19. BARD AI

    TMA: Kupatwa kwa Jua hakutakuwa na athari zozote kwa Tanzania

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema leo Aprili 8, 2024 dunia inatarajia kushuhudia tukio la Kupatwa kwa Jua Kikamilifu ambapo Mwezi utazuia kabisa Mwanga wa Jua, hata hivyo tukio hilo halitakuwa na athari zozote kwa upande wa Tanzania TMA imesema nchi zitakazoshuhudia zaidi tukio...
  20. Roving Journalist

    Mkuu wa Wilaya ya Rufiji: Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere limepunguza athari za mafuriko Rufiji

    Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle amesema kuwa mradi wa kufua umeme wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) umepunguza kwa kiasi kikubwa mafuriko na athari zake yaliyokuwa yakitokea katika wilaya hiyo. Meja Gowelle ameyasema hayo tarehe 05.04.2024 katika mazungumzo yake na wawakilishi...
Back
Top Bottom