Mbahili
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 200
- 324
Habari za jioni wanajf. Hongereni kwa mifungo mbalimbali kwa Waislamu, wakristo na wasio na dini
Leo kuna jambo limetokea nikamkumbuka nyota ndogo..
"Oooh.. kuna watu na viatu dunianiiii.
Ooooh kuna watu wasiopenda maendeleooo.
Oooo ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndaniiiii...
Oooh achana nao waepuke haraka sanaaaa....
Baada ya huo wimbo nije kwa point sasa.... Nillishi maisha ya kibachela kwa miaka 6 hivi... yaani kummilikisha mtoto wa mtu kama vile mm nifanye ajitambulishe km demu wangu ni miaka sita sasa, toka nigombane na Esta mwaka 2017.
Haya bhana mwaka unaaza tukaaza
,"huu mwaka eeeh, ndo mwaka wakufosi yani utake usitake, mtaniita booosi..."
Huu mwaka nkafosi nkazungukia ushuani nkaokota namba ya mtoto nlirmuwinda kwa muda mrefu.. Tumuite Abby Charms, sema ana rangi ya Abby sema kwao wanaela kidogo kuwazidi kina Abby. Nikachukua namba piga sound kidogo huyo nkamdaka.
Siku moja nmechil skani tunapiga vi K vant, si tukaanza jisifia pisi, namimi saa ngapi nisiaze story, oooh mtaa mzima mimi nna pisi kali oooh mtaa mzima pisi yangu anaela kuwazidi nyie vibatari wote......
Kesho asubuhi napiga simu,... naambiwa mtumiaji wa simu unaye mpigia anaongea na simu nyingine...... nilijua anaongea na daddy wake, baada ya nusu saa majibu hayo hayo... dah unajua hako ka feeling ukiwa blocked. Nkamtext hanijibu.
Nkaja gundua kumbe jamaa angu damu damu ndo kaamua kunichomesha, sahv hadi songesha nadaiwa na nilikuwa sikosi viteni deileeee.
Ila sisi ni pipo tutakutanaga tu.
Leo kuna jambo limetokea nikamkumbuka nyota ndogo..
"Oooh.. kuna watu na viatu dunianiiii.
Ooooh kuna watu wasiopenda maendeleooo.
Oooo ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndaniiiii...
Oooh achana nao waepuke haraka sanaaaa....
Baada ya huo wimbo nije kwa point sasa.... Nillishi maisha ya kibachela kwa miaka 6 hivi... yaani kummilikisha mtoto wa mtu kama vile mm nifanye ajitambulishe km demu wangu ni miaka sita sasa, toka nigombane na Esta mwaka 2017.
Haya bhana mwaka unaaza tukaaza
,"huu mwaka eeeh, ndo mwaka wakufosi yani utake usitake, mtaniita booosi..."
Huu mwaka nkafosi nkazungukia ushuani nkaokota namba ya mtoto nlirmuwinda kwa muda mrefu.. Tumuite Abby Charms, sema ana rangi ya Abby sema kwao wanaela kidogo kuwazidi kina Abby. Nikachukua namba piga sound kidogo huyo nkamdaka.
Siku moja nmechil skani tunapiga vi K vant, si tukaanza jisifia pisi, namimi saa ngapi nisiaze story, oooh mtaa mzima mimi nna pisi kali oooh mtaa mzima pisi yangu anaela kuwazidi nyie vibatari wote......
Kesho asubuhi napiga simu,... naambiwa mtumiaji wa simu unaye mpigia anaongea na simu nyingine...... nilijua anaongea na daddy wake, baada ya nusu saa majibu hayo hayo... dah unajua hako ka feeling ukiwa blocked. Nkamtext hanijibu.
Nkaja gundua kumbe jamaa angu damu damu ndo kaamua kunichomesha, sahv hadi songesha nadaiwa na nilikuwa sikosi viteni deileeee.
Ila sisi ni pipo tutakutanaga tu.