Jukwaa la Historia

  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
24 Reactions
1K Replies
286K Views
  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
20 Reactions
684 Replies
157K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
493K Views
  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
88 Reactions
2K Replies
519K Views
  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
897 Replies
229K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
673K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
177K Views
Nimekuwa na kawaida siku hizi kuwa ninaposoma Makala ya historia basi huenda kwenye kazi zangu zilizopita na kuangalia nini nimeandika. Ndugu yangu Abdulkarim Ally ameandika makala (haipo hapa)...
1 Reactions
2 Replies
43 Views
KIMBUNGA HIDAYA MAWINGUNI WATOTO WANACHEZA MPIRA WA MAKARATASI PEKUPEKU MTAANI Jioni inakimbilia Maghrib na kama kungekuwa na jua mtu angeweza kuliona limebadilika rangi linaenda kuzama upande wa...
3 Reactions
9 Replies
332 Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
130 Reactions
2K Replies
172K Views
Katika historia, watawala walitumia mbinu kali za adhabu kwa lengo la kuadhibu maadui zao pamoja na wale walio tekeleza matukio ya kihalifu. Pia walitumia mbinu hizo kama njia ya kuwafanya...
3 Reactions
14 Replies
268 Views
Shirika la Afya Duniani WHO limeipendekeza Tanzania sanjali na Nchi zingine kuwa miongoni mwa Nchi ambazo zimepewa nafasi ya kuweka mgombea ambae anaweza kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO Kanda...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Adres Felipe Ballesteros mzaliwa wa Colombia Bogota mwenye umri wa miaka 36 alikamatwa hapa nchini Tanzania mnamo August 2014 kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine akiwa amezifich...
8 Reactions
64 Replies
4K Views
UGENI WA TBC SAFARI CHANNEL MAKTABA Leo asubuhi Maktaba ilibahatika kupokea ugeni kutoka TBC Safari Channel watayarishaji na Warushaji wa vipindi vya historia. Walinifahamisha kuwa wapo katika...
2 Reactions
2 Replies
85 Views
THE NYERERE YEARS Nakifahamu kitabu hiki kuhusu marafiki wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. In Shaa Allah nitajaribu kuandika niyajuayo kutokana na majina ya hawa ambao ni rafiki zake na ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Hii ni Scopes Trail (July 10–21, 1925, Dayton, Tennessee, U.S.); Ambapo Mwalimu wa Shule John T. Scopes alikuwa charged kwa ku-violate Sheria ya State ya kufundisha Evolution.... Case yenyewe...
0 Reactions
5 Replies
107 Views
Katika Miaka ya 2000 Raia wengi kutoka Jamhuri ya Dominika walikuwa wanakimbia nchi yao kuelekea katika nchi ya marekani na Puerto Rico kwa ajili ya kutafuta maisha mazuri. Kwahiyo haikuwa jambo...
1 Reactions
3 Replies
304 Views
https://youtu.be/OPKS_zUEQ_U?si=I9uLLW8isDYT9ntg
0 Reactions
8 Replies
256 Views
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili. Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote...
78 Reactions
3K Replies
92K Views
Tunaambiwa kuwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana Kwa sababu ya kuwepo Kwa mahusiano ya karibu na ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili katika nyanja mbalimbali kama vile undugu wa damu biashara...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
MJADALA WA WACHANGIAJI M1 JF Jukwaa la Historia 2013 Yericko Nyerere (pichani) miaka 11 iliyopita alifungua uzi JF kwa nia ya kupinga historia ya uhuru wa Tanganyika kama nilivyoieleza katika...
10 Reactions
106 Replies
2K Views
MAKTABA IMETEMBELEWA NA MWALIMU WA HISTORIA YA TANZANIA Maktaba imepata bahati kubwa sana na heshima ya pekee kwa kutembelewa na mwalimu anaesomesha somo la historia kiwango cha shule za...
0 Reactions
10 Replies
312 Views
UNAWEZA KUDHANI AMELALA, KUMBE AMEKUFA. Ni miaka mingi toka afariki dunia, lakini hakuzikwa. Badala yake serikali iliamua kuuhifadhi mwili wake ili uwe ukumbusho kwa vizazi vijavyo. Hiyo ni...
11 Reactions
31 Replies
1K Views
KUTOKA VITA VYA MAJI MAJI 1905 HADI KUUNDWA KWA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Vita Vya Maji (1905 - 1907) ndiyo kielelezo cha juu kabisa kuonyesha unyama wa Wajerumani kwa wananchi waliosimama...
2 Reactions
1 Replies
126 Views
Kumekuwepo maswali ya watu wengi wakitaka kujua ASILI ya JINA la TANGANYIKA. Ili kuweza kuhakikisha mjadala unakuwa endelevu na msomaji anapata majibu sahihi, tumeonelea ni vema kuweka mjadala...
1 Reactions
152 Replies
69K Views
KWANINI MJI ULE ULIITWA ROMA? Roma ni mji mkuu wa nchi ya Italy, ni mji wenye historia ndefu duniani... Kwa maana historia yoyote ya dunia haitokamilika kama hujaizungumzia au kutaja Neno Roma...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom