ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,685
- 51,550
Shirika la Afya Duniani WHO limeipendekeza Tanzania sanjali na Nchi zingine kuwa miongoni mwa Nchi ambazo zimepewa nafasi ya kuweka mgombea ambae anaweza kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika.
Rais Samia amependekeza kina la Dr. Faustine Ndungulile Kugombea Nafasi hiyo ambapo atachuana na wagombea wengine kutoka Mataifa ya Rwanda, Senegal,Ivory Coast na Niger.
Tayari Tanzania Ina kura 23 kutoka SADC na EAC huku kampeni zikiendekea.
Ikumbukwe hiki kitakuwa ni kipimo.kingine Cha Nguvu ya Ushawishi ya Rais Samia na Diplomasia ya Tanzania kwenye UGA wa Kimataifa.
Rais Samia amefanikisha Afcon, Rais wa IPU ,na Sasa ana kibarua Cha Kumfanya Dr.Ndungulile anapeperusha vyema bendera ya Tanzania.
====
My Take
Tanzania inatarajia kushinda nafasi hiyo kutokana na rekodi Bora zaidi kwenye swala la Afya ikiwemo Kupunguza vifo vya kina mama wajawazito Kwa 80%.
Rais Samia amependekeza kina la Dr. Faustine Ndungulile Kugombea Nafasi hiyo ambapo atachuana na wagombea wengine kutoka Mataifa ya Rwanda, Senegal,Ivory Coast na Niger.
Tayari Tanzania Ina kura 23 kutoka SADC na EAC huku kampeni zikiendekea.
Ikumbukwe hiki kitakuwa ni kipimo.kingine Cha Nguvu ya Ushawishi ya Rais Samia na Diplomasia ya Tanzania kwenye UGA wa Kimataifa.
Rais Samia amefanikisha Afcon, Rais wa IPU ,na Sasa ana kibarua Cha Kumfanya Dr.Ndungulile anapeperusha vyema bendera ya Tanzania.
====
My Take
Tanzania inatarajia kushinda nafasi hiyo kutokana na rekodi Bora zaidi kwenye swala la Afya ikiwemo Kupunguza vifo vya kina mama wajawazito Kwa 80%.