Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,149
- 30,495
MAKTABA IMETEMBELEWA NA MWALIMU WA HISTORIA YA TANZANIA
Maktaba imepata bahati kubwa sana na heshima ya pekee kwa kutembelewa na mwalimu anaesomesha somo la historia kiwango cha shule za sekondari.
Kwa mara ya kwanza nimebahatika kusikia na nimejifunza mengi kwanza changamoto zilizomo katika kusoma historia ya Tanzania Chuo Kikuu na pili changamoto wanazopata wahitimu wanapokwenda kusomesha somo lenyewe darasani.
Nimetengeneza video nne za mada tulizojadili na nimeziweka Maktaba kwa atakae kujifunza elimu mpya katika historia ya Tanzania:
Maktaba imepata bahati kubwa sana na heshima ya pekee kwa kutembelewa na mwalimu anaesomesha somo la historia kiwango cha shule za sekondari.
Kwa mara ya kwanza nimebahatika kusikia na nimejifunza mengi kwanza changamoto zilizomo katika kusoma historia ya Tanzania Chuo Kikuu na pili changamoto wanazopata wahitimu wanapokwenda kusomesha somo lenyewe darasani.
Nimetengeneza video nne za mada tulizojadili na nimeziweka Maktaba kwa atakae kujifunza elimu mpya katika historia ya Tanzania:
- Tatizo la Uandishi wa Historia ya Tanzania
- Waislam na Historia ya Uhuru wa Tanzania
- Tatizo la Kufundisha Historia ya Tanzania