Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,732
699,342
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili.

Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote wanaoependa kufahamu matukio ya kidunia yaliyopita ambayo hawakupata nafasi kuyaona ama kuyasoma huko kwingine

Credit zote zitaenda kwa wahusika kwa maana ya wahusika wenyewe, waandishi, watafiti, na wahifadhi wote ambao matukio husika yataonekana hapa

Lugha zitakazotumika ni mbili kwa maana ya lugha yetu ya Taifa Kiswahili na lugha rasmi ya mawasiliano na wageni Kiingereza... Kupitia lugha mbili hizi pia wasomaji watapata wasaa wa kupanua ufahamu wao na kujifunza misamiati mipya

Hapa kupitia mada hii pia mdau yoyote anaweza kuuliza swali lolote linalomtatiza kuhusiana na kumbukizi za kidunia kwenye nyanja za kisayansi, ufundi, historia, afya, uvumbuzi ushirikina nk nk

Tuanze na hii hapa: chanzo mtandao wa Meta.

Mwaka 1928 huko New York Polisi alisimamisha magari ili Paka aliyekuwa amebeba mtt wake mdomon aweze kuvuka kwa usalama.

FB_IMG_1656298894628.jpg
 
Katika "Kifo cha Ajabu cha #Tutankhamun", cha Paul Doherty anasema, "Kuna hali ya kusikitisha kuhusu Tutankhamun ambayo ni ya kufurahisha sana." Kwa kawaida maandishi katika #makaburi ya Wafalme wengine husomwa katika nyakati za sasa au zijazo, lakini kama Doherty anavyotoa maoni, "Maandiko kuhusu Tutankhamun huwa hayana maana, hasa katika nafsi ya tatu ...".
Screenshot_20220627-062530.jpg
 
Mawe makubwa kabisa yaliyochongwa vizuri kwa umbo la mstatili yenye uzito wa kilo 3000 kila moja ndio yalitumika kujenga ma pyramid ya Misri, Pyramid moja likikadiriwa kujengwa na mawe kama hayo 3000View attachment 2273896
Hizi pyramids huwa zinanipa maswali sana.
Kipindi wanajenga hizi pyramids technology ilikuwa bado ipo chini sana sasa huwa nawaza kuhusu haya mawe waliyapandisha vp kule juu.

Jiwe moja inasadikika lina kilo 3000+

Labda niulize wakuu hizi pyramids zina urefu wa meter ngapi kwenda juu
 
Cut from a single massive rock, India’s Kailasa Temple is the largest of 34 temples that make up the Elora Caves complex.

#kailasatemple #temple

Imekatwa kutoka kwa mwamba mmoja mkubwa, Hekalu la Kailasa la India ndilo hekalu kubwa zaidi kati ya mahekalu 34 yanayounda eneo la mapango ya Elora.
FB_IMG_1656300673817.jpg
 
Hizi pyramids huwa zinanipa maswali sana.
Kipindi wanajenga hizi pyramids technology ilikuwa bado ipo chini sana sasa huwa nawaza kuhusu haya mawe waliyapandisha vp kule juu.

Jiwe moja inasadikika lina kilo 3000+

Labda niulize wakuu hizi pyramids zina urefu wa meter ngapi kwenda juu
Kiasi cha Piramidi Kuu ya Giza ni takriban milioni 92 ft³ au milioni 2.6 m³ . Tunaweza kupata thamani hii kwa kuchukulia kwamba Piramidi ya Khufu ni piramidi ya mraba ya kulia yenye urefu wa upande wa 756.4 ft (230.6 m) , na urefu wa 481.4 ft (146.7 m
material-SgAUDpRh.jpg
 
Ugunduzi wa kiakiolojia uliofanywa nje kidogo ya Canterbury, Kent (Uingereza) unathibitisha kuwepo kwa wanadamu wa mapema kusini mwa Uingereza kati ya miaka 560,000 na 620,000 iliyopita, na kuifanya kuwa moja ya maeneo ya mwanzo ya Paleolithic kaskazini mwa Ulaya.

Screenshot_20220627-070201.jpg
 
CCM CHAMA KICHAFU NA CHA WAPUUZI KILISABABISHA
Tanzania kuwa na raisi mwehu na mwizi aliyeiba kura 2020 akatujazia vibaka bungeni. HILI NI JAMBO OVU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA.
CCM inaviongozi wengi makini lakini ajali ilitokea akaingia aliyeingia akatujazia watu wa ajabu bungeni infact it's a big LOSS, hasara kwa taifa hatuoni michango konki ya kibunge tuliyoizoea, Sijui kwanini alijaza watu wa aina ile na kwa lengo gani? (wagonga meza bah bah bah)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom