Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
49 Reactions
2K Replies
200K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
224K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
106K Views
Jamani napenda mno kujifunza Kingereza na ukizingatia sasa hivi kila sehemu ni ENGLISH sasa wale tulosoma kayumba njooni tujifunze kuandika na kuongea hapa. Najua wengi wetu humu watakuwa...
12 Reactions
494 Replies
30K Views
Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa...
5 Reactions
86 Replies
808 Views
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5. Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado...
3 Reactions
38 Replies
652 Views
Wasaalam wajuvi wa lugha anaejua Visawe vya maneno naomba kusaidiwa -Paka -Dawati Visawe ni maneno yenye maana sawa Neno=Kisawe 1. Ardhi=Dunia 2.Ari=Nia 3.Aibu=Soni
1 Reactions
12 Replies
431 Views
Download series fuatilia ukizingatia kuna maneno utayajua kupitia movie Kwa mfano mimi neno concubine (mke mwenza) sikuwahi kuliona popote isipokuwa kwenye tamthilia ya jumong. Kwa sasa namalizia...
1 Reactions
5 Replies
245 Views
Ndiyo kusema Kiswahili kimekua? Hiki Kiswahili gani cha barabara kumogoka? Wataalam wa Kiswahili mnisaidie!
0 Reactions
10 Replies
377 Views
Siku ya Lugha ya Kiingereza Duniani (World English Language Day) ni siku ambayo ilianzishwa na UNESCO kwa lengo la kusherehekea umuhimu wa lugha ya Kiingereza kama mojawapo ya lugha za kimataifa...
2 Reactions
20 Replies
712 Views
Nilikuwa narafiki, lake jina Chumu. Hakuwa mnafiki, ni mtu wakukirimu. Sahibu hawabanduki, shida zao kujikimu. ๐™†๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™—๐™ช๐™ ๐™ช ๐™ก๐™– ๐™ง๐™–๐™›๐™ž๐™ ๐™ž ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ ๐™ค๐™ฅ๐™ž๐™– Zilipompata dhiki, nduki kubwa wanadamu...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Mdomo unaponena, mwili huwa mashakani. Maana hukuona, umvunjifu wa amani. Kikaa ukanong'ona, huzidi matafshani. Nauliza waadhwama, ni nini hasa uhuru?
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
39 Reactions
84 Replies
6K Views
SHAIRI MPENDWA UJITAFUTE 1.Ninapolileta somo, cha kwanza nawasabahi Mi Mzee wa makamo, sikiliza nawasihi Naufungua mdomo, naamini nimewahi Mpendwa ujitafute, kwa sasa hupatikani 2.Yule...
0 Reactions
4 Replies
187 Views
Wajuvi nielewesheni.
1 Reactions
11 Replies
285 Views
Huyu Mrembo wa Kinyankole hapa Uganda sitaki nimkose na anapenda sana Kujua Kiswahili hivyo nisaidieni nisimkose.
4 Reactions
24 Replies
400 Views
Niliambia hivi โ˜…"Mwanangu katika maisha yako ya utuuzima ishi na mwenyeji wako kama mgeni,mgeni ajapo ishi naye kama mwenyeji tu ulokwepo naye kabla" โ˜… Nilipewa nafasi kufikiria kama ningepata...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Wakuu kwema? Nahitaji kujua usahihi wa maneno haya kati ya Njozi na Njonzi. Nimekuwa nikisika wengi wakati wa usiku wakitakiana njonzi njema, wengine njozi njema. Lipi ni neno sahihi? Ahsanteni!
0 Reactions
11 Replies
195 Views
Nina mpenzi wangu hatuko kwenye maelewano mazuri kwa sasa ila Leo kanitumia neno hili ย™Hanginyweย™. Nataka nijue maana yake nini ili kama ni tusi nijue.
0 Reactions
47 Replies
15K Views
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger โ€“ kimemeshi 2. Appetizers โ€“vihamuzi 3. Simcard โ€“ kadiwia/mkamimo 4. Memory card โ€“kadi sakima 5. Business card โ€“ kadikazi 6. Microwave...
23 Reactions
129 Replies
2K Views
Nimekua nikipata tabu sana kujua maana ya maneno mengi ya kiswahili na nikisearch google siyapati napata mitandao ya nje kama wikipedia wakitafsiri ambayo mara nyingi siwaamini kulingana na aina...
2 Reactions
5 Replies
679 Views
Kwa utafiti wangu mdogo hakujawahi kutokea matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili kama muda huu tulionao. Kibaya zaidi hata baadhi ya vyombo vya habari vikubwa vinashiriki dhambi hii. Maneno...
16 Reactions
155 Replies
3K Views
Back
Top Bottom