Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,071
- 30,419
KUTOKA VITA VYA MAJI MAJI 1905 HADI KUUNDWA KWA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955
Vita Vya Maji (1905 - 1907) ndiyo kielelezo cha juu kabisa kuonyesha unyama wa Wajerumani kwa wananchi waliosimama kupambana kukomboa nchi yao.
Bahati mbaya sana historia ya vita hii haijaelezwa katika ukweli wake unaostahili.
Katika Makumbusho ya Vita Vya Maji Maji Songea kuna kaburi moja la halaiki wamezikwa wazalendo 76 walionyongwa na Wajerumani.
Hawa walikuwa ndiyo viongozi na majemadari walioongoza vita hii.
Wengi wa majemadari walionyongwa walikuwa Waislam.
Kwa nini iwe hivi?
Historia ya kuasisiwa kwa chama cha TANU baada ya nusu karne baada ya Vita Vya Vya Maji Maji Southern Province (Jimbo la Kusini) itakupa jibu.
Kabla ya Waislam hawa kunyongwa Wajerumani walimleta Fr. Yohannes Hafliger kutoka Misheni ya Peramiho kuwabatiza wazalendo hawa.
Wote walibatizwa na kupewa majina ya Kikristo.
Misheni ya Peramiho ilistawi vizuri baada ya vita hivi na Kusini yote ikawa shwari na tulivu kwa miaka 50.
Hofu ilirejea upya Kusini mwaka wa 1955 Southern Province pale Lindi mjini zilipoanza harakati kuunda chama cha TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hii ni historia ya Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Suleiman Masudi Mnonji, Salum Mpunga, Yusuf Chembera, Sharifa bint Mzee kwa kuwataja wachache.
Nimeweka video tano kueleza histroria hii.
Tafadhali tembelea:
View: https://youtu.be/f5izlAf0MSk?si=yhO6IsnUE-pZlzGv
View: https://youtu.be/eWGW9vONv5w?si=Ye0ROf610kr1DFf2
View: https://youtu.be/rMTxUyanQg0?si=-iWe6cWPM4lgwH8J
View: https://youtu.be/qtEp0VmHsG8?si=v5_aMMiQPXsJEJKi
View: https://youtu.be/DLFdvv-yzbI?si=Rm8cd4RddHT4OWVf
Vita Vya Maji (1905 - 1907) ndiyo kielelezo cha juu kabisa kuonyesha unyama wa Wajerumani kwa wananchi waliosimama kupambana kukomboa nchi yao.
Bahati mbaya sana historia ya vita hii haijaelezwa katika ukweli wake unaostahili.
Katika Makumbusho ya Vita Vya Maji Maji Songea kuna kaburi moja la halaiki wamezikwa wazalendo 76 walionyongwa na Wajerumani.
Hawa walikuwa ndiyo viongozi na majemadari walioongoza vita hii.
Wengi wa majemadari walionyongwa walikuwa Waislam.
Kwa nini iwe hivi?
Historia ya kuasisiwa kwa chama cha TANU baada ya nusu karne baada ya Vita Vya Vya Maji Maji Southern Province (Jimbo la Kusini) itakupa jibu.
Kabla ya Waislam hawa kunyongwa Wajerumani walimleta Fr. Yohannes Hafliger kutoka Misheni ya Peramiho kuwabatiza wazalendo hawa.
Wote walibatizwa na kupewa majina ya Kikristo.
Misheni ya Peramiho ilistawi vizuri baada ya vita hivi na Kusini yote ikawa shwari na tulivu kwa miaka 50.
Hofu ilirejea upya Kusini mwaka wa 1955 Southern Province pale Lindi mjini zilipoanza harakati kuunda chama cha TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hii ni historia ya Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Suleiman Masudi Mnonji, Salum Mpunga, Yusuf Chembera, Sharifa bint Mzee kwa kuwataja wachache.
Nimeweka video tano kueleza histroria hii.
Tafadhali tembelea:
View: https://youtu.be/f5izlAf0MSk?si=yhO6IsnUE-pZlzGv
View: https://youtu.be/eWGW9vONv5w?si=Ye0ROf610kr1DFf2
View: https://youtu.be/rMTxUyanQg0?si=-iWe6cWPM4lgwH8J
View: https://youtu.be/qtEp0VmHsG8?si=v5_aMMiQPXsJEJKi
View: https://youtu.be/DLFdvv-yzbI?si=Rm8cd4RddHT4OWVf