RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,620
3,936
Zuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.

Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

1684566944496.png

 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
 
Sasa Mtu kaishi miaka yote Nje ya Nchi, Leo hii ndiyo mnampa kua msemaji wa Ikulu unategemea nini zaidi ya kua kuna Mtu anamlisha Maneno alafu ndiyo nae anasema, hata akipotoshwa anakua hajui kitu kabisa!

Si unaona kipindi kile Mlugo alipokuwa Waziri wa Elimu alipo kwenda Zimbabwe eti akasema Tanzania imetokana na muunganiko wa Nchi mbili, nazo ni Zanzibar na Zimbabwe, tena with confidence! Elimu ya kukariri ni hatari sana kwa Taifa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.

Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Kikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.

Muwe na shukran watanzania hizo ndio laana zenyewe kutoka kwa mungu; halafu mnashangaa umaskini aushi na wala ampati viongozi wenye busara bali majizi tu kila siku.
 
Kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kumficha Late Magufuli but ukweli wanaujua wananchi waliokuwa wanateseka kabla hajaongoza nchi.

Hawa hata kama atafichwa vipi still wanaujua umuhimu wake,hatutegemei mtu kama zuhra au yeyote yule aliyeko kwenye circle ya serikali ya leo amtaje Magufuli kwa zuri maana siye anayemlipa.

NB;mimi siyo mwanasiasa ila naongea uhalisia ulivyo.
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Sasa kosa lake ni lipi mpaka ucomment kwa makasiriko kiasi hiki? Mnaingiaga kwa hii mitandao kufanya nini kama hamna uwezo wa kuvumilia hoja na mitazamo tofauti na kile unachotaka wewe kukisikia.
 
Back
Top Bottom