Advance Publications, Inc., doing business as Advance, is an American media company owned by the descendants of S.I. Newhouse Sr., Donald Newhouse and S.I. Newhouse Jr. It owns a large number of subsidiary companies, including Condé Nast, and is a major shareholder in Reddit.
Habari,
Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science
Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome...
Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four.
Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five.
Kingine kama...
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.
Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.
Kwa kuzingatia...
Siyo tunafungwa Goli 10 au 17 na Wydad Casablanca FC Siku ya Jumamosi tarehe 29 April, 2023 huko Kwao nchini Morocco halafu tunaanza Kumchukia na Kumlaumu Kipa Wetu Kinda ambaye nimembatiza rasmi Jina la Juma Kaseja Mpya.
Sijui nitaficha wapi Sura yangu mie.
Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda
Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele
Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie...
Salaam wakuu,
Natumai nyinyi ni wazima wa afya na wale wenye changamoto mbalimbali za kiafya basi Mungu awape ponyo.
Niko katika utafiti wa shule gani ya advance ni nzuri kwa michepuo ya sayansi ambayo ni girls school.
Mapendeko yangu ni kwa mikoa isiyo ya baridi kali mfano dodoma...
Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo...
Sasa unaweza kuvuta pesa kutoka kwenye mshshsra wako au pensheni yako mpaka limit waliyoweka.
Huduma hiyo imeanzishwa two days back. Je kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo? Haya mambo ya technology yana siri nyingi!
Mfano haya makampuni ya simu yanatuibia sana kwa kula bundle eti kuna...
Happy Valentine's day in advance dear MMU members...
In particular, a very special Valentine's day goes to all my JF babies and buddies 💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓
Enjoy responsibly
Wanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology
Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli
Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa...
Given the stress of these pressures, Most conversations reveal a common feeling rising to the surface: fear.
Fear is manifesting itself in a wide range of ways in corporate hallways and virtual channels. Alarm paralyzes us and leads to counterproductive behaviors. We postpone taking action...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.