advance

Advance Publications, Inc., doing business as Advance, is an American media company owned by the descendants of S.I. Newhouse Sr., Donald Newhouse and S.I. Newhouse Jr. It owns a large number of subsidiary companies, including Condé Nast, and is a major shareholder in Reddit.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    USHAURI: Niende Advance au chuo?

    Habari, Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome...
  2. M

    Ipi ni Shule Bora ya girls advance mkoa wa Dodoma

    Viongozi naombeni mnisaidie kujuwa Shule ipi ya girls ni Bora kweny ufaulu ya advance combination HGE au HGL. Location Dodoma:
  3. K

    Kuna hasara gani endapo mtu atasoma form 5&6 (A level) kwa shule za private,?

    Naomba mnipe majibu jamani, Kuna hasara gani endapo mtu atasoma form 5&6 (A level) kwa shule za private,?
  4. Mgaratia Wa bongo

    Kwa matokeo haya anaweza kusoma certificate in nursing au kuchaguliwa advance?

    CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D' COMM - 'D'
  5. M

    NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
  6. Naanto Mushi

    Ndugu yangu ana C mbili na D tatu ila ana division 4 form four, ataweza kwenda advance ya hata private?

    Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four. Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five. Kingine kama...
  7. Chale david

    Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

    Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
  8. Nkaburu

    Morroco has advanced to round of 16, cha kustaajabisha, imetangazwa kuwa ni timu ya kwanza ya [Arab Nation] kufanya hivyo.

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao. Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo. Kwa kuzingatia...
  9. Nuru kids

    Je, mwenye alama 28 kidato cha nne anaruhusiwa kuchaguliwa kujiunga na advanced level?

    Naomba kuuliza wakuu, eti mtu mwenye division four ya 28 anaweza kupata nafasi ya kusoma advance shule ya private?
  10. GENTAMYCINE

    Namuombea Msamaha in advance Kipa Kinda wa Simba SC Ally Salim kwa Goli nyingi atakazofungwa Morocco

    Siyo tunafungwa Goli 10 au 17 na Wydad Casablanca FC Siku ya Jumamosi tarehe 29 April, 2023 huko Kwao nchini Morocco halafu tunaanza Kumchukia na Kumlaumu Kipa Wetu Kinda ambaye nimembatiza rasmi Jina la Juma Kaseja Mpya. Sijui nitaficha wapi Sura yangu mie.
  11. Mwachiluwi

    Kheri ya sikukuu ya pasaka in advance

    Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie...
  12. KJ07

    Shule gani ya advance ni nzuri kwa mikoa hii?

    Salaam wakuu, Natumai nyinyi ni wazima wa afya na wale wenye changamoto mbalimbali za kiafya basi Mungu awape ponyo. Niko katika utafiti wa shule gani ya advance ni nzuri kwa michepuo ya sayansi ambayo ni girls school. Mapendeko yangu ni kwa mikoa isiyo ya baridi kali mfano dodoma...
  13. Faana

    TANESCO mnapokata umeme toeni taarifa in advance. Mafundi wenu hutumia mwanya huo kuiba mafuta ya transfoma

    Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo...
  14. R

    Tanzania Commercial Bank sasa kuna pension/salary advance kwa kutumia TCB POPOTE MOBILE : Kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo hiyo?

    Sasa unaweza kuvuta pesa kutoka kwenye mshshsra wako au pensheni yako mpaka limit waliyoweka. Huduma hiyo imeanzishwa two days back. Je kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo? Haya mambo ya technology yana siri nyingi! Mfano haya makampuni ya simu yanatuibia sana kwa kula bundle eti kuna...
  15. B

    Huu ufaulu kidato cha nne nisome tahasusi gani?

    Nina division 2.21, nina grade C masomo yote isipokuwa nina D ya Physics na F ya Math. Je, nikasome combi gani Advance?
  16. Nakadori

    Happy Valentine's in advance dear

    Happy Valentine's day in advance dear MMU members... In particular, a very special Valentine's day goes to all my JF babies and buddies 💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓 Enjoy responsibly
  17. Kadoda nguku

    Natafuta shule za Advance zenye mchepuo wa PCM, PGM

    Msaada wana Jf ,nahitaji kupata shule za advance zenye mchepuo wa PCM na PGM za private na za serikali zinazofanya vizuri
  18. Mr Pixel3a

    Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

    Wanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa...
  19. starlightz

    How to Move On When You Feel Stuck...

    Given the stress of these pressures, Most conversations reveal a common feeling rising to the surface: fear. Fear is manifesting itself in a wide range of ways in corporate hallways and virtual channels. Alarm paralyzes us and leads to counterproductive behaviors. We postpone taking action...
Back
Top Bottom