Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
59 Reactions
1K Replies
316K Views
  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
108 Reactions
28K Replies
3M Views
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
309K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
250 Replies
182K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
25 Reactions
833 Replies
150K Views
  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
9 Reactions
429 Replies
156K Views
  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
15 Reactions
230 Replies
23K Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
35 Reactions
599 Replies
226K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
549 Replies
107K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
376 Replies
142K Views
1.University of Dar es Salaam 2.Sokoine University 3.Nelson Mandela African Institute 4.Mbeya university 5.Catholic university of Health 6.Mwenge Catholic University 7.Moshi Cooperative university...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Wakuu, Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA? Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance) NAkaribisha ushauri...
1 Reactions
3 Replies
81 Views
Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
104 Views
Hizi courses ni bure, unatakiwa tu kujisajili Hapa lazima unatoka uko bomba kabisa na ulichokisomea IT NETWORKING https://skillsforall.com/course/networking-basics?courseLang=en-US CYBER...
4 Reactions
23 Replies
424 Views
Suala la serikali kuingiza udini kwenye elimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekano serikali...
9 Reactions
122 Replies
2K Views
Kwa ujio wa Artificial Intelligence umuhimu wa kujifunza na kuwa na uelewa wa programmig na coding ni muhimu sana. Kuna ajira nyingi sana ambazo ni remote zipo mitandaoni zinazohitaji mtu mwenye...
2 Reactions
5 Replies
439 Views
A
Anonymous
Wakuu, Heri ya mwaka mpya 2024. Barua hii ni taarifa kuhusu ubora wa elimu inayotolewa katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwa ufundishaji na utoaji wa masomo ya Shahada za elimu zenye...
17 Reactions
71 Replies
5K Views
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni...
25 Reactions
789 Replies
132K Views
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni. Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele...
10 Reactions
89 Replies
2K Views
Wakuu natafuta short course ya monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania au East Africa. Naomba kwa anayeweza kunifahamisha chuo au tahasisi inayotoa hii kozi, muda na gharama zake. Pia kama...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Mimi ni mwanafunzi ninayechukua kozi ya bachelor ya fizikia hapa chuo Cha Harvard nchini Tanzania. Nimespecialize kwenye kitengo Cha medical physics. Kwa ufupi medical physicist anafanya kazi...
0 Reactions
7 Replies
202 Views
Habari zenu wana jamvi naomba mnifahamishe shule nzuri za advance ziwe boys tupu au co-education. Nakama mkieza kuniambia Na ada zao itakuwa vizuri zaidi. Natanguliza shukrani zangu. Sent using...
2 Reactions
17 Replies
11K Views
Nahitaji kurudia mitihani ya kidato cha nne katika michepuo ya sanyansi. Naombeni msaada wapi nitapata walimu wazuri.
0 Reactions
2 Replies
102 Views
Habari wakuu! Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu, 1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now...
26 Reactions
574 Replies
60K Views
Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
23 Replies
521 Views
Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Wakuu samahani.. Naomba mnisaidie ushauri. Inaeza ikawa so mahala pake.. Niko chuo first year Nachukua bachelor ya human resource Ila sijapata mkopo Me ni fresh toka advance. Sasa nilikuwa...
4 Reactions
114 Replies
5K Views
Chuo gani tanzania kinatoa optometry ngazi ya degree?
1 Reactions
24 Replies
581 Views
Habari zenu ndg Watanzania na wasio Watanzania tulioko humu ndani? Ndugu zangu awali ya yote poleni na majukumu zaidi shukurani kwa MUUMBA. Ndungu zangu nipo mbele zenu kwa ombi moja la kuomba...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) ni Kituo cha Serikali chini ya Wizara ya Madini, Kinatoa mafunzo na huduma mbalimbali katika fani za uongezaji thamani madini. Kituo kinatangaza nafasi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom