International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Katika hali inayoonesha kuwa ngoma hii ni ngumu Msemaji wa ikulu ya Rais wa marekani John Kirby leo ameeleza wazi kuwa kitendo cha IDF kuingia katika mji wa Rafah kitasababisha Wanamgambo wa Hamas...
0 Reactions
9 Replies
337 Views
Ama kwa Hakika huyu Waziri Mkuu wa Slovakia anahitaji kupongezwa. Kwa niaba ya wapenda amani duniani tunakupongeza mno Mr. Robert Fico kwa kukataa maombi ya kifedhuli ya Zelensky na viongozi wa...
17 Reactions
49 Replies
2K Views
29 April 2024 Nairobi, Kenya Mkutano huo ulioanza tarehe 29 April 2024 na kuhutubiwa na viongozi wa kiafrika wakiwemo rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda...
9 Reactions
36 Replies
1K Views
MAREKANI: Rais Joe Biden ameionya Israel na kuitaka kusitisha mpango wake wa kushambulia eneo la Rafah lililopo Kusini mwa Mji wa Gaza huku akieleza kuwa Serikali yake haitatoa Silaha endapo...
1 Reactions
5 Replies
482 Views
Wakuu kwa kifupi Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili Na historia...
1 Reactions
5 Replies
176 Views
Boeing has admitted that its Employees falsified aircraft records for the 787 Dreamliner.This is an extremely dangerous anomaly, especially with regards to safety.Given this extremely disturbing...
1 Reactions
19 Replies
297 Views
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Kiongozi wa kijeshi nchini Chad Mahamat Idriss Deby Itno ndiye mshindi wa uchaguzi uliofanyika wiki hii, kulingana na matokeo ya awali yaliyotangazwa usiku wa kuamkia Ijumaa. Matokeo hayo...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel. Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah...
9 Reactions
47 Replies
1K Views
Wanakumbi. 🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH Taarifa Rasmi ya Hamas: "Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi...
7 Reactions
133 Replies
3K Views
Lengo kuu ukiachana na kujaribu kuiteka Israel October 7 ilikuwa ni kuua watu ndani ya Israel wengi kadri iwezekanavyo, Target zilikuwa ni raia wema wasio na silaha ili kuoata matokeo makubwa...
11 Reactions
128 Replies
2K Views
1. Wengine husema siasa ni mchezo mchafu na hasa maelfu ya maisha ya watu yanapopotea kwa ubinafsi yaani ego ya mtu, labda hata ni mmoja tu! 2. Kutokea meza ya mazumgumzo Cairo, yasemekana...
0 Reactions
10 Replies
405 Views
Raisi Kigeugeu Duniani, Alikurupuka na kutoa kauli ya kisiasa baada ya kuvutishwa bange na wahuni HAMAS Kitu cha Gaza ni balaa lazima uwe mwehu.. Bange ilipoisha anaambiwa babu umefanyaje haamini...
1 Reactions
4 Replies
363 Views
Ifahamike kwamba mpaka sasa ni nchi mbili tu duniani zilizo tengeneza makombora hayo yaani Urusi na China. Marekani alijaribu mara zaidi ya mbili lakini akafeli! Je ni kwamba USA anazidia uwezo...
3 Reactions
91 Replies
4K Views
The Israel Defense Forces has begun calling on residents of eastern Rafah to evacuate to a new, expanded humanitarian zone ahead of a major military offensive in the city, the final Hamas bastion...
3 Reactions
29 Replies
725 Views
Hizi ni Gdp za nchi za ukanda wa kati kwa Usd dollars Billions Dondoo muhimu: vipimo hivi vya GDP havihusishi misaada, anyway kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel ni dola bilioni 3 kila...
12 Reactions
397 Replies
7K Views
Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza. Tamko hili limemtoa nyoka...
9 Reactions
52 Replies
1K Views
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa...
3 Reactions
41 Replies
730 Views
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora...
10 Reactions
93 Replies
4K Views
Back
Top Bottom