State Propaganda
Member
- Apr 25, 2024
- 37
- 139
Ama kwa Hakika huyu Waziri Mkuu wa Slovakia anahitaji kupongezwa.
Kwa niaba ya wapenda amani duniani tunakupongeza mno Mr. Robert Fico kwa kukataa maombi ya kifedhuli ya Zelensky na viongozi wa mataifa wanachama wa NATO, ya kutaka Slovakia kujiunga na NATO.
Vile vile tunakupongeza kwa kutokubali nchi yako kugeuzwa kuwa magofu kama Ukraini kwa kukataa kuwakaribisha wanajeshi wa NATO ambao kwa siri siri wameshaanza kuingia Ukraini kwa wingi.
Hakika umeshtukia mtego mkubwa maana huyu former KGB agent, Mr. Putin not bluffing at all.
Sasa tunashuhudia na kusikia kauli za kiongozi mmoja mjinga mjinga wa ufaransa ambaye ni mfupi wa kimo lakini pia hata huenda akili zake nazo ni fupi vile vile ambaye anataka kuiponza Ulaya nzima kwa kuyatumbukiza mataifa hayo katika vita na ulimwengu kwa ujumla katika vita ya tatu ya dunia kwa kutaka NATO kupeleke wanajeshi wake Ukraini.
Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha juu kabisa.
Hapa namnukuu Waziri Fico
“I cannot help but respond very clearly to the statement of French President Macron, who confirmed that he does not rule out the deployment of NATO ground forces in Ukraine if the front line between Ukraine and Russia is broken.”
“Even if we receive a thousand requests from Ukraine, this state is not a member of NATO....And I am sending a very clear signal to all of Slovakia: no matter what we are asked for, a Slovak soldier will not set foot across the Slovak-Ukrainian border. I repeat once again: it will not cross.”
“We will not contribute to this military madness because we know very well what the current situation is in Ukraine.”
“I consider these statements [by Macron] to be statements that may just be a step towards a third world war.”
Mwisho wa kunukuu.
Kwa niaba ya wapenda amani duniani tunakupongeza mno Mr. Robert Fico kwa kukataa maombi ya kifedhuli ya Zelensky na viongozi wa mataifa wanachama wa NATO, ya kutaka Slovakia kujiunga na NATO.
Vile vile tunakupongeza kwa kutokubali nchi yako kugeuzwa kuwa magofu kama Ukraini kwa kukataa kuwakaribisha wanajeshi wa NATO ambao kwa siri siri wameshaanza kuingia Ukraini kwa wingi.
Hakika umeshtukia mtego mkubwa maana huyu former KGB agent, Mr. Putin not bluffing at all.
Sasa tunashuhudia na kusikia kauli za kiongozi mmoja mjinga mjinga wa ufaransa ambaye ni mfupi wa kimo lakini pia hata huenda akili zake nazo ni fupi vile vile ambaye anataka kuiponza Ulaya nzima kwa kuyatumbukiza mataifa hayo katika vita na ulimwengu kwa ujumla katika vita ya tatu ya dunia kwa kutaka NATO kupeleke wanajeshi wake Ukraini.
Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha juu kabisa.
Hapa namnukuu Waziri Fico
“I cannot help but respond very clearly to the statement of French President Macron, who confirmed that he does not rule out the deployment of NATO ground forces in Ukraine if the front line between Ukraine and Russia is broken.”
“Even if we receive a thousand requests from Ukraine, this state is not a member of NATO....And I am sending a very clear signal to all of Slovakia: no matter what we are asked for, a Slovak soldier will not set foot across the Slovak-Ukrainian border. I repeat once again: it will not cross.”
“We will not contribute to this military madness because we know very well what the current situation is in Ukraine.”
“I consider these statements [by Macron] to be statements that may just be a step towards a third world war.”
Mwisho wa kunukuu.