Israel imeuchukua mpaka wa Rafah unaounganisha Misri na Gaza, Mizigo na watu kuvushwa chini ya uangalizi na idhini ya Israel

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
275
800
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel.

1715115237754.png


Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah na Misri.

Jana usiku, kwa idhini ya Baraza la Vita, Netanyahu aliagiza ifanyike operesheni huko Rafah. Masaa machache baadaye, vikosi vya Israel viliwatimua Hamas na kufanikiwa kupandisha bendera za Israel na kuondoa bendera za Hamas.

Hapo awali, Israel iliwaonya Wapalestina kuondoka eneo hilo kwa sababu ya operesheni ya kijeshi inayokaribia.

Hali ilivyo sasa bendera za hamas zimeshushwa, zinapandishwa za Israel



Hali ilivyo kwenye mitaa




 
Kwa kumuomna Allah au Sinwar? Kama Allah alishawapa Wayahudi hiyo arshi milele na akawaambia wasiiachie waipiganie hadi kiama... wewe labda ukawaombe Doughter of Allah Manat,Al-lat na Uzza sijui
Kichwa chako kina matatizo... Unaamini stori za Mungu wa wazungu na wakiarabu... Acha kuwa mtumwa wa fikra.... Amka mwafrica mjinga
 
Duh, kwa hiyo mpango wa aman umefell? Hii issue itawagharimu sana Palestiniana na Hamas kama ilivyomgharimu Ukraine. Huwezi kujazwa upepo na nchi kama Iran ambayo iko salama, mpaka Israel inakata mpango huo ujue wameshapona hauna maslahi, mfano mateka waliobaki ni 33 na wao hawana uhakika kama wako hai, hamuwezi kutegemea maandamano ya wanavyuoni yalete amani na huku Hamas ndo wamelianzisha, wakumaliza mzozo huo ni hamas na Netanyahu kukaa meza moja na hamasa kuachia mateka bila masharti magumu. Sharti ambalo lingezingatiwa ni exchange of hoteges with war prisoners basi na Israel kustisha vita ili maafa yasiendelee.
 
Kwa kifupi Hakutakua na nchi Taifa wala mamraka ya Palestine

Hamas waliingia kichwa kichwa Kwa wendawazimu walio kua wanatafuta justification ya kuvamia na kufuta mamraka ya Palestine

bad thing Hawa mburura Hamas wamewapa Israel direct order ya kuvamia na kutanua mipaka yake
 
Niliwaambia hakuna tena taifa la Palestine.
Wameyataka hawa wapumbavu.
Palestine imekuwa ikizidi kumegwa kila wanapoanzisha vita, hadi sasa ndio kwa heri!
Watabaki kulia lia humu ila haitasaidia.
Nikiangalia uvamizi walioufanya Oct 7 daah, ulikuwa ni wakikatili na kihayawani.
Unabaki unajiuliza walitarajia nini?
Kwamba Israel atatulia tu?
Hamas Waache kiburi wakae wayamalize, vita sio suluhisho la kudumu.
 
Wameyataka hawa wapumbavu.
Palestine imekuwa ikizidi kumegwa kila wanapoanzisha vita, hadi sasa ndio kwa heri!
Watabaki kulia lia humu ila haitasaidia.
Nikiangalia uvamizi walioufanya Oct 7 daah, ulikuwa ni wakikatili na kihayawani.
Unabaki unajiuliza walitarajia nini?
Kwamba Israel atatulia tu?
Hamas Waache kiburi wakae wayamalize, vita sio suluhisho la kudumu.
Wapalestina wasinge kubali kupigana vita ambayo dhahiri shahili wangepoteza ila wangeungana nao kwakwenda Israel kutafuta kazi na kuoa waisrael na siyo kupigana nao.
 
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel.

View attachment 2983888

Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah na Misri.

Jana usiku, kwa idhini ya Baraza la Vita, Netanyahu aliagiza ifanyike operesheni huko Rafah. Masaa machache baadaye, vikosi vya Israel viliwatimua Hamas na kufanikiwa kupandisha bendera za Israel na kuondoa bendera za Hamas.

Hapo awali, Israel iliwaonya Wapalestina kuondoka eneo hilo kwa sababu ya operesheni ya kijeshi inayokaribia.

Hali ilivyo sasa bendera za hamas zimeshushwa, zinapandishwa za Israel

View attachment 2983891

Hali ilivyo kwenye mitaa

View attachment 2983869


View attachment 2983885
Huo mpaka haujachukuliwa 100% kama unavyodai.
Bali ni usimamizi wa muda mpaka pale Hamas watakapokua wametokomezwa.
USIOKOTEZE TU HABARI PASI NA UHAKIKA.
Hapo kuna temporary buffer zone.
 
Wapalestina wasinge kubali kupigana vita ambayo dhahiri shahili wangepoteza ila wangeungana nao kwakwenda Israel kutafuta kazi na kuoa waisrael na siyo kupigana nao.
Vita bado ngumu hiyo mkuu.
Kadri Israel anavyozidi kuleta agression Palestina basi tension huongezeka middle east nzima.
Maana huko kaskazini mwa Israel hakukaliki mpaka leo walioondolewa hawajaruhusiwa kurudi kwa mashambulizi ya hizbollah.
Red sea nako meli hazipiti Houthi wameshikilia njia,bandari ya Israel ya Eilat mpaka leo haifanyi kazi.
 
Israel watemi sana nasomaga kwenye Bible hawa jamaa wakati wanatoka misri kwenda nchi ya ahadi walikuwa wanafika mahali kwenye nchi au eneo fukani Lina mamlaka yake wanaomba kupita ,,basi bwana mkiwagomea wanatembeza kichapo mpaka basi yaani hadi mnaomba poo..Sasa naona ndio haya yanayotokea sasa.
 
Hiyo ya vitu vinavyoibgia Ghaza mbona ni miaka yote, hakuna kinachoingia Ghaza bila idhini ya mazayuni, siyo jipya hilo.

Unafikiri mhanga waliojitoa Wapelestina tarehe 7 oktoba ulikuwa wa bure bure tu?
 
Back
Top Bottom