Vita vya Palestine na Israel ni vita ya kugombania Ardhi na mipaka yao kwa miaka maelfu Kabla ya ukristo na uislam, ni ujinga kudhani nivita ya kidini

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,098
1,284
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine

Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili

Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa

So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita

Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
 
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine

Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili

Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa

So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita

Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
Ni Israel ndio ambao wanatumia Scriptures zao za kidini kuhalalisha kuwa Aridhi ni mali yao walipewa na Mungu

So watu wakwanza kabisa wanaoleta udini katika hili ni waisraeli
 
Ni Israel ndio ambao wanatumia Scriptures zao za kidini kuhalalisha kuwa Aridhi ni mali yao walipewa na Mungu

So watu wakwanza kabisa wanaoleta udini katika hili ni waisraeli
Ile ardhi ni ya israel acheni ujinga wa kung'ang'ania maeneo ya israel kwa vigezo vya kidini hata historia inaonyesha israel ilikuwepo wala hapajawahi kuwepo na taifa lililoitwa palestina
 
Ile ardhi ni ya israel acheni ujinga wa kung'ang'ania maeneo ya israel kwa vigezo vya kidini hata historia inaonyesha israel ilikuwepo wala hapajawahi kuwepo na taifa lililoitwa palestina
Umetumia kigezo gani kuona kwamba ile ardhi ni ya Israel Mkuu?
 
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine

Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili

Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa

So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita

Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
Israel wanachotaka ni nyumba yao ya ibadan, sigagogi, mahala ambapo baba yao Ibrahim alienda kumpotea Isaka awe sadaka, mahali ambapo mfalme Suleman alijenga hekalu, mahali ambapo leo umejengwa msikiti wa Al aqsa. Starti msikiti ubomolewe hekalu lijengwe. Over
 
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine

Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili

Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa

So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita

Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
Labda kabla ya Ukristo
 
Israel wanachotaka ni nyumba yao ya ibadan, sigagogi, mahala ambapo baba yao Ibrahim alienda kumpotea Isaka awe sadaka, mahali ambapo mfalme Suleman alijenga hekalu, mahali ambapo leo umejengwa msikiti wa Al aqsa. Starti msikiti ubomolewe hekalu lijengwe. Over
Na wala si muda mrefu nyumba yao ya ibada itarudi tena
 
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine

Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili

Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa

So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita

Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
ni vita ya kidini pia hata kama vita vilianza miaka
wapalestina ni waislam na waisrael ni wayahudi .
Unajua waislam wanavoichukulia??
 
Ardhi gani inagombaniwa na majitu kama hawa kama sio uzombi wa kidini... brazaj

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de
 
Back
Top Bottom