Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,098
- 1,284
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine
Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili
Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa
So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita
Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine
Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili
Na historia inaonyesha Kuna kipindi Israel inapigwa na kutaliwa na Palestine haswa pale wanapomwasi Mungu wao
Na pia Kuna nyakati Israel anampiga mplestina na kumtawala kama ilivyo Sasa
So ni ujinga na wajinga wanajaribu kuingiza udini kwenye hii vita
Tuwaombee tu amani
Israel Kuna dini zote vile vile Palestine na wote wanapigania nchi zao bila kujali dini zao