Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,043
- 16,929
Katika hali inayoonesha kuwa ngoma hii ni ngumu Msemaji wa ikulu ya Rais wa marekani John Kirby leo ameeleza wazi kuwa kitendo cha IDF kuingia katika mji wa Rafah kitasababisha Wanamgambo wa Hamas kuwa imara zaidi na kukwamisha mazungumzo ya usitishwaji Vita huko Gaza.
Israeli imesema kuwa itapambana peke yake kama hakutakuwa na msaada wowote kutoka marekani. Israeli kwa sasa inapitia kipindi kigumu sana kutokana na Rais Biden kusema kuwa hatakua tayari kutoa silaha na mabomu mazito kwaajili ya kwenda kuuwa raia huko Rafah na marekani imebaini kuwa IDF wanaua raia huku wanamgambo wa Hamas wakiendelea kutawala.
Wanasiasa pamoja na wabunge wa marekani na mabilionea wa kiyahudi huko marekani wanaendelea kumwandikia barua Rais Joe's Biden abadili msimamo wake ili kuiondolea aibu na fedheha kubwa inayoenda kuikuta Israel.
Israeli imesema kuwa itapambana peke yake kama hakutakuwa na msaada wowote kutoka marekani. Israeli kwa sasa inapitia kipindi kigumu sana kutokana na Rais Biden kusema kuwa hatakua tayari kutoa silaha na mabomu mazito kwaajili ya kwenda kuuwa raia huko Rafah na marekani imebaini kuwa IDF wanaua raia huku wanamgambo wa Hamas wakiendelea kutawala.
Wanasiasa pamoja na wabunge wa marekani na mabilionea wa kiyahudi huko marekani wanaendelea kumwandikia barua Rais Joe's Biden abadili msimamo wake ili kuiondolea aibu na fedheha kubwa inayoenda kuikuta Israel.