Huwezi kukaa eneo ambalo viongozi hawatii ushirikianoNyie vyura...kocha anatakiwa avumilie ajenge timu sio kuogopa.....
Huwezi kukaa eneo ambalo viongozi hawatii ushirikianoNyie vyura...kocha anatakiwa avumilie ajenge timu sio kuogopa.....
Ulikuwa unaandika kama anavyoongea Ahmedy Ally ... "Jobe ni mtu na nusu".Simba ni ya benchika, mpk itakapo chukua ubingwa wa Africa msimu ujao ndo mtakubali, msichokijua ni kuwa benchika amekuja simba kimkakati na asingeweza kuchukua kombe coz simba ilikua mbovu, ngojeni dirisha la usajili lifunguliwe ndo muone.
Avumilie maumivu yeye amekuwa Dundukwa?. Timu Ina wachezaji wanakungana nae umri!!.Nyie vyura...kocha anatakiwa avumilie ajenge timu sio kuogopa.....
Mchambuzi toka nanjilinji akichambua boluKaomba mbali sana Kuna mtego mbaya viongozi wa Simba wameingia dhidi ya Azam kesho wanapigwa vibaya mno Kisha kwenye ligi watapigwa tena vibaya mno huu ulikuwa mtego hawakupaswa kujaa kijinga
Majibu ya mtego wako yakoje?Kaomba mbali sana Kuna mtego mbaya viongozi wa Simba wameingia dhidi ya Azam kesho wanapigwa vibaya mno Kisha kwenye ligi watapigwa tena vibaya mno huu ulikuwa mtego hawakupaswa kujaa kijinga
Kwani kazi ya mwalimu ni nini?.Kama unaenda kwenye timu ambayo imeshafundishwa na mwalimu mwingine hadi ikawa bora wewe kazi na umuhimu wako utakua ni nini?.Kama ana Cv kubwa hapo simba ndio mahali pake pakuionyesha.Aonyeshe huo uwezo uliomfanya akapata hiyo Cv kubwa.Sijui nani alimshauri kwenda Simba, kashusha CV kwa kiwango cha kutisha!
Kabla ya kuangalia pesa ni vyema kujiridhisha kwanza mazingira ya kazi unayoenda kuifanya.
Unaambiwa wachezaji wa 5imba wana Vichwa vigumu mnoo kuelewa maelekezo ya mwalimuKwani kazi ya mwalimu ni nini?.Kama unaenda kwenye timu ambayo imeshafundishwa na mwalimu mwingine hadi ikawa bora wewe kazi na umuhimu wako utakua ni nini?.Kama ana Cv kubwa hapo simba ndio mahali pake pakuionyesha.Aonyeshe huo uwezo uliomfanya akapata hiyo Cv kubwa.
Sio shida zetu...utamlazimisha mtu hataki?Ndani ya misimu 3 simba imebadili makocha wangapi?
kila la kheri kwake kama kweli ataondokaHabari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu.
Sababu ni kwamba Simba hawampi thamani pia haoni mipango yoyote ya Simba kusonga mbele badala yake wao Simba wanasonga ugali na dagaa Zanzibar.
Umetoka seloSio shida zetu...utamlazimisha mtu hataki?
Haya unasemaje tena saivi?Kwani ni official news hizo? Utopolo wajinga sana nyie