sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,723
- 42,186
Kwa hiyo Leo umekuwa faiza fox??Ela❌
Error✅
😂🤸
Anyway poleni Kwa draw na jkt tanzania
Kwa hiyo Leo umekuwa faiza fox??Ela❌
Error✅
😂🤸
Asante mkuu nishapoaKwa hiyo Leo umekuwa faiza fox??
Anyway poleni Kwa draw na jkt tanzania
Kombe lasimba lile hata madam president anajuaAsante mkuu nishapoa
Nasubiri kesho nione kama nitakupa pole au Hongera
Chukueni tu! Kwanza la makaratasiKombe lasimba lile hata madam president anajua
Ktk bold ndio kitu wanachokitumia ktk kushawishiUkisikia timu inamilikiwa na mmoja wa matajiri wa Afrika unaanzia wapi kukataa?
Ukishaingia mkataba ndiyo unagundua kumbe unatakiwa ku report kwa akina Mangungu, na unapewa wapambe akina Kisugu
Kichwa kibovu.Simba ni ya benchika, mpk itakapo chukua ubingwa wa Africa msimu ujao ndo mtakubali, msichokijua ni kuwa benchika amekuja simba kimkakati na asingeweza kuchukua kombe coz simba ilikua mbovu, ngojeni dirisha la usajili lifunguliwe ndo muone.
Amejishuku kuwa atafukuzwaHabari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu.
Sababu ni kwamba Simba hawampi thamani pia haoni mipango yoyote ya Simba kusonga mbele badala yake wao Simba wanasonga ugali na dagaa Zanzibar.
🐖🐖🐖Hapana mkwe
Wanakoleza moto.Hii aibu walipaswa kuikwepa.Kaomba mbali sana Kuna mtego mbaya viongozi wa Simba wameingia dhidi ya Azam kesho wanapigwa vibaya mno Kisha kwenye ligi watapigwa tena vibaya mno huu ulikuwa mtego hawakupaswa kujaa kijinga
HeheChukueni tu! Kwanza la makaratasi
Simba Ishakula kwao mazimaaa!
Nahisi jibu la kuendelea au kutoendelea na Simba alilipata hapa baada ya kutafakari kwa kina