vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,437
- 2,596
Tujifariji kwani kafanya kipi cha maana Simba hadi aogopwe? Hata akibaki ni taarifa nzuri kwa Yanga kuendeleza ubabe kwenye ligi kuu na FA. Huyu kocha si ndiye aliyeifanya USMA ishike nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi ya Algeria?Haya endeleeni kujifariji