daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,544
- 2,258
Kashusha CV kivipiSijui nani alimshauri kwenda Simba, kashusha CV kwa kiwango cha kutisha!
Kabla ya kuangalia pesa ni vyema kujiridhisha kwanza mazingira ya kazi unayoenda kuifanya.
Kwani hajawahi kushika nafasi ya 2 au 3 kwenye ligi?
Hajawahi kuishia robo fainali CL?