wakimbizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kaka yake shetani

    Kambi za wakimbizi zilizopo kigoma mpaka leo mbona nchi hizo mbili hakuna vita

    Rwanda na Burundi miaka ya 90 zilikuwa kwenye wakati mgumu husasani mauaji ya kimbari.ila mpaka leo imekuwa kama centre ambayo kila kukicha kambi zimeshindwa kufungwa na mpaka sasa sababu ya wakimbizi nchi hizi mbili hakuna. Ukiangalia nchi Rwanda na Burundi amani na utulivu hupo na watu...
  2. MK254

    Wakimbizi wa Syria waanza kuondoka Lebanon baada ya chuki dhidi yao kuzidi

    Wapalestina wana cha kujifunza, siku hizi hamna cha undugu, dumisheni amani kwenu hapo hii sio miaka ile mlikua mnapata msaada kisa dini au undugu. Hawa maskini wa Syria wanalazimika kurudi kwao kisa chuki zimekidhiri. More than 300 Syrian refugees headed back home to Syria in a convoy on...
  3. dr namugari

    Kwanini wakimbizi walioingia nchini kinyemela, wote waonekana kuwa na akili kubwa hakuna mapoyoyo

    Nilikuwa nasoma uzi wa Furtunatus Boyombe kuhusu idadi kubwa ya wahamiaji haramu ambao wako serikalini kwa idadi kubwa wote Wana akili kubwa kubwa mno Mfano wengi unaawakuta wako BOT UDSM SUA IFM TRA UHAMIAJI WAJUMBE WA BODI TARURA TAKUKURU JWTZ Kwa kifupi Ni hivi, wote hakuna hata mwalimu wa...
  4. Fund man

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Poleni Kwa majukumu wadau Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi? Nawasilisha
  5. Staphylococcus Aureus

    Wakimbizi wa Burundi na Rwanda wanawekwa kwene makambi. Waarabu wa Sudani wanazurula nchi nzima

    Kuna idadi kubwa sana ya wakimbizi waliokimbia wakiarabu kutoka Sudan wakiwa mitaani wengine wamepanga.Lakini upande wa pili kuna wakimbizi majirani wamejazwa kwene makambi kigoma huko ka kagera. Je, hii ni kudhibitisha kua waafrica tunajichukia na tunawapenda maadui zetu!! Nawasilisha...
  6. MK254

    Uingereza kuwalipa wakimbizi takribani Tsh. Milioni 9 kila mmoja ili wakubali kuhamia Rwanda

    The British government is planning to pay asylum seekers up to £3,000 ($3,836) each to move to Rwanda under a voluntary plan to help clear the backlog of refugees who have had their applications to remain in the country rejected. The new agreement with Rwanda is separate from the government's...
  7. MK254

    Watoto 78,000 wafanywa wakimbizi ndani ya wiki moja DRC

    Ndugu zetu wenye uchungu na Waarabu tunaomba kidogo muelekeze macho yenu kwa hawa weusi wenzetu wanaoteseka. Humu utakuta kunao hata wa dini yenu kama dini ndio hufanya mkomalie kuwalilia Waarabu. Displaced people seen in a refugee camp on the outskirts of Goma in North Kivu Province...
  8. JanguKamaJangu

    Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

    Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
  9. Bufa

    Kauli Tata ya Mkuu wa Majeshi kwa Wakimbizi

    Kauli ya CDF, mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda, kwamba kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti serikalini naona ni kauli dhaifu na inawachafua zaidi wao kama walinzi namba moja wa mipaka ya nchi. Inamaana jeshi limeshindwa kazi ya kulinda mipaka ya nchi? Wakimbizi wakishakua raia by...
  10. K

    Wapeni Uraia wakimbizi wa Burundi na Congo

    Ushauri kwa serikali kama kuna wakimbizi wamekaa zaidi ya miaka 5 wapewe Uraia tena bila masharti ili waanze kuchangia kwenye maendeleo badala ya kuwekwa kwenye makambi. Ni kitu cha kawaida kuwa na Watanzania waliozaliwa nchi nyingine na tayari kuna watoto wamezaliwa Tanzania na wamekuwa...
  11. Roving Journalist

    Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024 CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI Mkuu wa...
  12. MK254

    Mmojawapo wa wakuu wa HAMAS auawa ndani ya kambi ya wakimbizi, ilibidi kambi ifumuliwe kwa bomu

    Kama kawaida HAMAS baada ya kushambulia Israel, walikwenda kujificha ndani ya akina mama na watoto, sasa huyu mkuu wao aliingia na kutulia ndani ya wakimbizi, Israel walifyatua tu humo humo na kumuua Ibrahim Biari. Wananchi wapenda amani waliagizwa waondoke ili HAMAS wabaki wenyewe na...
  13. Webabu

    Machafuko na wakimbizi vyaongezeka ndani ya Israel. Wananchi wasema hawaelewi elewi

    Mamia ya raia wa Israel wameendelea kuandamana karibu na makazi ya raisi wa nchi hiyo wakitaka vitu viwili.Kwanza ndugu zao waliotekwa warudishwe na Benjamin Netanyahu aondoke madarakani kwa kuitumbukiza nchi hiyo kwenye machafuko. Hayo yakitokea kumekuwa na ukimbizi mkubwa wa ndani ya nchi...
  14. Eli Cohen

    Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

    Wapalestina wa buza na kitambaa cheupe mna habari? Taarifa ni kuwa Jordan, Egypt, Syria, Lebanon, Iraq, Saudi Arabia and Kuwait wamekataa kuwapokea wakimbizi wa palestine. Kumbukeni nchi hizi ni jamii moja huku wakishare dini moja na itikadi moja. Sasa leo wamewakimbia kama hawawajui. Issue...
  15. Z

    Al Merrikh: Timu yenyewe ni ya wakimbizi, haishiriki ligi, inacheza huku ikiwaza mabomu yanavyopigwa nyumbani!! Kuifunga siyo kipimo!!

    Kumsukuma mlevi si kipimo kuwa una nguvu!! Timu ya Al Merrikh ni wakimbizi, wanalazimika kucheza ugenini, hakuna ligi huko kutokana na vita, wanacheza huku akili iko nyumbani wakiwaza mabomu yanavyotishia uhai wa jamaa zao! Kuna ajabu gani kuifunga timu kama hiyo!! Kuifunga na kufurahi ni...
  16. A

    DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

    Habari, Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au Malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari. Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa...
  17. I

    Wakimbizi wa Ukraine wapo kambi gani hapa nchini?

    Leo hii wakati Ofisa mwandamizi wa serikali akipokea msaada wa chakula kutoka WFP, amesema Tanzania imepokea wakimbizi kutoka Ukraine. Naomba kufahamishwa wamewekwa katika kambi gani na kama kuna kambi mpya imeanzishwa ipo mkoa gani. Na je huduma wanayopewa wakimbizi hawa ni sawa na ile...
  18. MK254

    Maelfu ya Warusi wamekua wakimbizi baada ya Ukraine kushambulia Urusi ndani

    Dah! Supapawa alifika huku lini, raia wake wanakimbia makwao na kuwa wakimbizi.....tena kwenye ardhi ya Urusi. In the latest example of the war increasingly spilling into Russia, the Bryansk region came under fire overnight, according to a Russian official. Shells hit two villages close to the...
  19. Suley2019

    UZUSHI Video inasambaa ikionesha Mwanajeshi wa Marekani (Texas) akiwavusha Wahamiaji haramu

    Salaam Ndugu zangu, Nimekutana na video kupitia mtandao wa Tiktok ikimuonesha Mwanajeshi wa Texas akiwavusha Wakimbizi kimagendo. Je, kuna ukweli wowote kwenye hili? Picha haihusiani na habari. Credit: AP News
  20. MK254

    Zamu ya Warusi kuwa wakimbizi, gavana aomba raia wasirudi, hali tete Belgorod

    Haijatokea siku nyingine supapawa anavamiwa ndani hadi raina wanakimbia makwao na kuwa wakimbizi. ======= Authorities in Russia's Belgorod region said a "counter-terrorism operation" was ongoing after a sabotage group from Ukraine crossed the border. DW has the latest. The governor of...
Back
Top Bottom