sherehe

  1. Analogia Malenga

    CoronaVirus yasababisha CCM kumpokea na kumpa Uanachama Fredrick Sumaye bila sherehe. Dkt. Bashiri asema itafanyika wakati mwingine

    TISHIO la ugonjwa wa Corona limesababisha Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye akabidhiwe kadi ya uanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimya kimya, bila kuwepo shamrashamra zozote kama ilivyozoeleka. Akizungumza jana katika hafla fupi ya kumkabidhi kadi mwanachama huyo, Katibu Mkuu wa CCM, Dk...
  2. Sky Eclat

    Huku kwetu Kwamtogole ukiwa na sherehe, "self service" ya chakula inaumiza wengi

    Ni rahisi huku kwetu kuweka chakula kwenye sinia watu wale kwenye majamvi. Kama ni single plates basi zipakuliwe jikoni watu watolewe. Huu utaratibu wa watu kujichikuliia nyama wenyewe, ni watu 10-15 wamwanzo ndiyo watabeba nyama zote. Unakuta mtu amepanga nyama kama mlima Kilimanjaro...
  3. J

    Pendekezo: Wakati wa sherehe za utiaji saini mikataba mikubwa kama wa Barrick KUB aalikwe ili baadae akawaelimishe Wapinzani

    Hili ni pendekezo tu. Kwamba KUB awe anaalikwa katika matukio muhimu ya kiserikali ili akiisha kuelewa yeye aende akawaelimishe na wafuasi wa kambi yake. Kwa aina ya wapinzani tulionao vichwa vyao ni rahisi kuelewa wanapoelezwa jambo " lile lile" na viongozi wao kuliko kusikiliza mubashara...
  4. J

    Kwanini CHADEMA haijashiriki sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar?

    Katika sherehe za Uhuru wa Tanganyika uongozi wa Chadema ulikodi ndege ya kifahari kuelekea jijini Mwanza kushiriki maadhimisho hayo, tukawapongeza. Leo tulitegemea kuwaona jijini Zanzibar lakini tukawaona Prof Lipumba, Mzee Shibuda na wengine bila uwepo wa Mbowe wala yule mzanzibari Salumu...
  5. M-mbabe

    Zitto Kabwe: Sherehe za Mapinduzi za leo ndiyo za mwisho kwa Rais Magufuli ambaye anamaliza muda wake wa Urais Oktoba mwaka huu

    Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe. Si kauli yangu bali ni ya mwanasiasa machachari kabisa mh Zitto ambayo kaitoa leo kupitia ujumbe wake wa twitter akimjibu JPM kuhusu kuhusika kwa TISS katika utekaji. Ni kauli nzito ambayo inahitaji mikakati mizito sana kivitendo (NEC huru, nk) ili azma...
  6. Dam55

    Balozi Seif Ally Iddi; Leo kutakuwa na tamasha la taarabu kwa wageni waalikwa wa sherehe za mapinduzi.

    Nikwamba nimesikia vibaya ama ni halisi kile alichokisema Makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally kuwa leo kutakuwa na tamasha maalumu la taarabu kwa wageni wa sherehe za mapinduzi.? Hivi limekaaje hili wakuu, ni taarabu vidole juu ama ni aina tofauti ya taarabu wakuu. Kama ni...
  7. J

    Sherehe za Mapinduzi uwanja wa Amani Zanzibar Rais Magufuli na Dr Shein kuhudhuria

    Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo. Karibuni! Up dates; Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye...
  8. Akili Unazo!

    Kwanini Wadada Mnajisendoff Majumbani kwenu hata bila sherehe?

    Hivi Kwa nini siku hizi Wadada wetu wanapenda kujisendoff kutoka Kwa familia yao hata kabla ya Muda kufika? Je ni kutokana na Utandawazi? au Mihemuko ya Mungiliano wa Uhuru Jinga? Mifano Michache kwa nini wewe binti unasoma certificate lakini unaamua kuhama nyumbani kwa wazazi wako unaamua...
  9. The only

    Sherehe za mwisho wa mwaka 2019 kudorora/kutochangamka: Je yaweza kuwa kigezo cha uchumi kudorora?

    Enzi za Nyerere sijaziishi ila skukuu za kuazinzia awamu wa mwinyi hadi kikwete siku hizi zilikuwa na vurugu nyingi wananchi walistarehe sana. Kwa mkoa wa Dar mitaa kama Sinza ilikuwa shangwe la hatari, kila rafiki ukimpigia amelewa chakari au wasio tumia kileo yuko mahotel makubwa leo...
  10. T

    Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

    Mwanaume ukioa Moshi/Kilimanjaro unakua tu ni sawa umeolewa maana kila mwisho wa mwaka wakwe na mashemeji wanaporudi kwao kwa ajili ya sikukuu na wewe utakua unalazimishwa kwenda. Nina ndugu zangu 4 wameoa Kilimanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine ninaowafahamu ambao...
  11. Analogia Malenga

    Utamaduni wa sherehe za kumtoa mwali una maana gani Tanzania?

    Katika baadhi ya mikoa kusini na Pwani ya Tanzania, suala la binti kupatiwa mafunzo maalumu ya kimila ni desturi ambayo si ngeni, wao wanaita kumtoa Mwali. Utamaduni huo ujumuisha wasichana kuwekwa ndani kwa muda wa miezi kadhaa kwa ajili ya kufundwa na wataalamu wa masuala hayo. Jambo hili...
  12. MsemajiUkweli

    Msahama wa wafungwa kwenye sherehe ya uhuru hauhusu wa jinsia ya kike?

    Nimejaribu kuangalia majina na video za wafungwa katika baadhi ya magereza nchini waliopata msamaha wa Rais Magufuli katika sherehe za Uhuru wa Tanganyika lakini kitu kinachonifanya nishangae ni kukosekana kwa wafungwa wa kike! Je, Tanzania hakuna wafungwa wa kike? Kama wapo, kwa nini...
  13. Erythrocyte

    Kilichozuia kufanyika kwa Sherehe za Uhuru wa Tanganyika kwa miaka mitatu iliyopita kimekwisha ?

    Nchi yeyote inayothamini Uhuru wake huadhimisha siku iliyopata Uhuru huo kutoka kwa wakoloni weupe au weusi kwa shangwe kuu iliyotukuka , hii ni siku ambayo nchi husika husherehekea minyororo ya utumwa kukatwa , nchi zilizopambana kupata uhuru huo kwa vita , huwakumbuka mashujaa wao waliokufa...
  14. Return Of Undertaker

    09 Dec, 2019: Maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika. Wafungwa 5,533 wapata msamaha wa Rais. Mbowe ataka maridhiano ya Kitaifa

    Habari wadau! Tukutane hapa kujua yanayojiri leo mwanza kwenye mahadhimisho ya miaka ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika: Update: Majeshi mbalimbali ya gwaride yanaingia uwanjani. Updates: Waziri mkuu na rais wa Zanzibar wanaingia uwanjani pamoja na makamu wa rais Leo nawaona wanajeshi toka...
  15. chiembe

    Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

    Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati. Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali. Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
  16. chiembe

    Sherehe za Uhuru 9/12/2019 kufanyikia Mwanza, wenye maneno anzeni kuisema Kanda ya Ziwa

    Hureee! Ni habari za chini ya kapeti Kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru, sherehe kufanyikia Mwanza
  17. GENTAMYCINE

    Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

    Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza? Nasubiri majibu yenu Wakuu.
  18. Suley2019

    Kijana wa Kenya auawa akiwa katika sherehe Mjini London

    A Kenyan family in the United Kingdom is mourning the death of their son, who was stabbed to death in East London on Saturday. Randy Mugo, 27, was knifed at a friend’s house party after what started as a row over a spilt drink. The scuffle degenerated into a quadruple stabbing, which left him...
  19. mhuri25

    Sherehe za uhuru 2019 kitaifa kufanyika jijini Mwanza

    Wakuu habari za wakati huu, kuna taarifa za chinichini japo hazijawa rasmi kuwa SHEREHE ZA UHURU mwaka huu kufanyika kitaifa jijini MWANZA, kiukweli nimeridhishwa na maamuzi haya kuleta sherehe hizi mikoani. Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau...
Back
Top Bottom