Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekunde kadhaa ameonekana akibubijikwa...
https://m.youtube.com/watch?v=Kt2cRzvcbEk
Ni shida mashirika ya umma
1….TFC (msambazaji wa mbolea)
Kampuni ambayo alipewa ruzuku ya billlioni 700 juzi tu; ili auze mbolea kwa wakulima kwa bei ndogo ila sio chini ya bei ya soko leo unaambiwa hana mapato, Hela za pembejeo zimeenda wapi ndio...
Japo niliaga wiki kadhaa na hiyo bado ni nia yangu hila dunia imesogea sana.
Binafsi sina shida ya kukosolewa, but also nimechoka kusoma ujinga.
Asilimia kubwa ya watu awawezi kuandika hoja; it has nothing to do with grammar but the merit of the argument.
Washindi wa mashindano ya JF hata...
To cut the long story short akili yangu inaniambia rudi kucheza mzawa kwa huku kijijini nilipo.
Na uchazaji wangu wa uzawa unanibadili fikra na personality kabisa.
Mengine mtanisikia, baada ya kujutafakari nimekubali mipango yangu hipo huku kijijini.
Tanzania willl forever be in my heart...
Jifunzeni hayo mambo na tofauti ya sifa za hao agents.
Kuwasaidia
Surveillance entails techniques to gather information (know how skills, are involved).
Intelligence entails being able to interpret surveillance information and make decisions (kawaida huo ni mchezo wa watu wenye akili).
Uwezi...
It’s a culture issue (watanzania tuna matatizo), kusema unampenda mwanamke wa mwenzako nchi za wenzetu it’s a very disrespectful situation.
Ni kwa sababu tunaishi Tanzania tu; nchi nyingine utaumizwa.
Halafu kuna watu wanasifia ujinga wa Harmonize; huwezi kumuimbia mapenzi mchumba wa mtu...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa ruhusa rasmi kwa Madaktari nchini walioajiriwa na serikali kufanya kazi Binafsi kwenye Hospitali za serikali baada ya muda wa kazi kuisha.
Waziri Ummy ametangaza uamuzi huo leo Mkoani Simiyu, wakati akizungumza na watumishi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa...
Katiba ya Warioba ilikwama kwa sababu mbili;
Moja: Masharti ambayo utekelezaji yanahitaji mapato mengine.
Pili: Masharti ya muungano ambayo CCM isiyoweza vumilia isipokuwa kwenye kuvunja muungano tu.
Katiba ya Samia: Wala usipoteze muda wako; yote ya awali ndio yale yale. Ziada ni yeye...
Hii vita nani kashinda information war kuishawishi jamii kwenye ukweli wa IGA.
Intelligence ni mchezo wa watu wenye akili.
You actually need clever people to manage information war; na hii vita wapotoshaji wameshinda kwa sababu hakuna waelevu serikalini.
Kupita kwa IGA kwa wanaofuatilia hilo...
Nimesikiliza wanasheria wengi wakidadavua huo mkataba, hawana viwango wa kuingia mikataba kwa niaba ya serikali.
Kwa kuanzia tu hakuna mkataba usiokuwa na stabilisation clause. Hakuna mkataba wa kimataifa usiokuwa na sehemu neutral ya kutatua mgogoro; hiko kitu hakipo. Wengi hawajui processes...
Ukisoma upuuzi mwingi humu unaona kabisa hii nchi ni ya hovyo.
Lakini ukipekua na kuwasikiliza wakurugenzi wengi wa wizara na idara za serikali (wanapokuwa wageni waalikwa kwenye mijadala); wengi sio watu wa mchezo kabisa wana technical skills za hizo sector au wizara wa hali ya juu.
Kwanini...
Uchumi: Marehemu Dr Mgimwa huyu ndio mchumi pekee ambae alikuwa very analytical kwa mazingira yetu on how to apply theories to fit our environment and propel growth. Bahati mbaya hiyo speech yake iliyonigusa siioni tena YouTube.
Banking: Dr Kimei amebobea kwenye finance (you do know banks sell...
Kuna mtu aliweka mada ya Rish Sunak kupigwa fine na jeshi la polisi huko kwao kwa kutokufunga mkanda.
Bongo hawa ma-celebrity wetu wana chat live sio na mtu mmoja bali mashabiki wao huku wanaendesha magari na clip zinatambaa mitandaoni, polisi wala hawana habari.
Kwanini kila siku kusiwe na...
Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.
Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara...
Kitendawili?
Tega.
Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi,
Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo).
Mweh, acha tu kwanini uumie.
Unaweza tumia muda mwingi kutukanana na NHC na sijui taasisi gani bila ya wahusika kuelewa...
Huyo ndio mtaalamu ni mtu ambae anaijua physics from scratch (hizo ni elementary concepts kajitolea kufundisha kuhusu how the universe works).
Sio tu kwamba ameisoma
Anafundisha at top university
Ame andika vitabu best sellers
Anashiriki kwenye debate za wasomi wenzake to name a few of his...
Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli.
Kiwango cha elimu ya watanzania kitakuwa duni kweli.
Surely if you know how to do research tayght from A level provided...
Kama ni msomaji wa jukwa la siasa unaweza shangazwa na wachangiaji wanaojiita wasomi wakipinga PhD’s za watu wasio wakubali.
Issue za ovyo kwangu kwenye huu upingaji ni kuhusu hizi PhD za social science.
Hivi unajiuliza what is so special kwenye kuandika five chapters za hizo thesiskwa mtu...
Hivi hii sera ya ubia ya NHC ilipelekwa kabisa kwenye baraza la mawaziri, wakailewa na kusema sawa.
Mtu ana mpango wa kwenda kuvunja majengo kadhaa kisa tu yapo prime areas na kuwatoa wapangaji sio tu hana hela ya kuendeleza yeye mwenyewe bali the immorality of it all is beyond me.
Kama hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.