CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 4,768
- 8,001
Garbage !!Walioteswa no wale wazalendo.haswaaa wapinzani was kweli!!
Mbowe,zito wala mnyika hawakuteswa why!?coz no sehem ya system!!Ile kesi ya ugaidi ilikua propaganda kuzima kipindi Cha mpito Cha kuondoika mwendazake na kushika samiah madaraka!
Lakini Mali za mbowe na propaganda nyingine ilikua TU kuonysha umma na yeye ni mpinzani!!
Wapinzani was kweli hawasavaivu sana!!
Kina mdude,lisu kipindi kile,heche n.k ndio hao wanaoifanya Dola itumike kuilinda CCM madarakani!!!