Mbowe kijana wa CCM kwa kivuli cha upinzani

CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema.

Historia inatuambia, waanzilishi wote wa Chadema walikuwa Benki kuu. Yaani Mtei, Bob Makani na Mbowe na walitolewa kwa sababu maalum kutengeneza chama cha upinzani ili Tanzania itambulike na dunia kama imeruhusu mfumo wa vyama vingi na demokrasia.
Siwezi kumuamini nabii wa uongo, ulichoandika ni historia sio uhalisia, historia hupita na bendi nyingi zilianzishwa na vijana wa mtaa au eneo moja kutokana na kushauriana kwao kwa kila siku.
 
Kama vyama vya upinzani kikiwemo CDM vmetengenezwa kimkakati na CCM kwa ajili ya maslahi yake. Je! Hiyo si ndiyo salama kwake! Sasa kwa nini nguvu kubwa inatumika kupitia mbeleko la vyombo vya dola kukihujumu na kutaka hata kukiua.

Tatizo lako, unaandika tena kwa kuungaunga kile ambacho kimetokea katika misha binafsi na historia ya mfanano wa sehemu walizowahi kuajiriwa viongozi hao watatu. Umekwepa kwa makusidi kuizungumzia historia ya CDM kama taasisi makini ya kisiasa.

Na hili ndilo tatizo lenu kubwa UVCCM, badala ya ku "focus" katika uhalisia wa mambo, mnatafuta stori za vijiweni na kuanza kujiaminisha kuwa ni za kweli, na kisha kujipongeza kwa siifa za uongo, na kuendekeza maisha ya uchawa!
Mkuu hoja hujibiwa kwa hoja sio kwa manung'uniko!

Sura aliyoizungumzia mtoa hoja hata wewe unakiri iko sawa na ni ukweli, ila umeamua kusema ni ya kuungaunga!

Ingependeza kama ungeweka hapa hiyo focus yako kuhusu hiyo historia makini na halisi Mkuu.
 
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema.

Historia inatuambia, waanzilishi wote wa Chadema walikuwa Benki kuu. Yaani Mtei, Bob Makani na Mbowe na walitolewa kwa sababu maalum kutengeneza chama cha upinzani ili Tanzania itambulike na dunia kama imeruhusu mfumo wa vyama vingi na demokrasia.
Asante
 
Wanasiasa aina ya Mbowe wapo wengi duniani, upinzani ni sehemu yao ya agizo la kuvilinda vyama tawala na kuhakikisha upinzani wa kweli haupatikani.
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
 
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema.

Historia inatuambia, waanzilishi wote wa Chadema walikuwa Benki kuu. Yaani Mtei, Bob Makani na Mbowe na walitolewa kwa sababu maalum kutengeneza chama cha upinzani ili Tanzania itambulike na dunia kama imeruhusu mfumo wa vyama vingi na demokrasia.

Tangu Chadema iasisiwe, hatujashuhudia kiongozi tofauti ya hao watatu waliotoka BOT kwa shughuli maalim kuulaghai umma wa kimataifa juu ya uwepo wa vyama vingi na demokrasia Tanzania.

Baada ya Chadema kuasisiwa, wakaja wanachama wengi ambao hawakuwa sehemu ya mpango huo (Kuilaghai dunia) hawa wakaja kwa nia ya dhati kabisa ya kuiondo Ccm na hapo ndio Mbowe akawa mkali kama pilipili.

Tunaanza na Kaburu, huyu bwana alikuwa mwiba kweli kwa serikali ya Ccm. Mbowe ili kulinda maslahi yake mwaka 2005 alishilikiana na Ccm Bega kwa Bega kuhakikisha Kaburu anashindwa na Serukamba. Kwanza Mbowe hakumpigia kampeni Kaburu, Kaburu hakupewa sapoti na Chama kabisa mpaka alipoangushwa. Na kama zawadi Mbowe akapewa jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto kabwe.

Baada ya Kaburu kikaja kizazi cha pili, kizazi cha vijana waliokuwa na uchu wa mabadiliko kweli kweli. Hapa nawazungumzia kina Zitto, kafulila na Machali. Hawa wote walisambalatishwa kama upepo. Ccm ikapumua tena.

2010 mpaka 2015 hakuna mwanamageuzi aliyeonyesha njia kama Dr Slaa, Ccm ilikuwa inaondoka. Mbowe akakumbushwa wajibu wake wa kuilinda Ccm. Akaletewa criminal Lowasa na kumpoteza Dr Slaa ambae angeweza kutunishana misuli na Magufuli. Tukapoteza tena kizembe.

Kumpongeza Mbowe kwa kuiongoza Chadema miaka 20 pasipo kuitoa Ccm ni ujinga, kuimba nyimbo za Mbowe kuwaita wanaompinga wanafiki ni ujinga. Tunatakiwa kumuhoji Mbowe kwanini ndani ya miaka 20 ya uongozi wako hatujaona matokeo zaidi ya kubadilisha bendera na kauli mbiu?

Wanasiasa aina ya Mbowe wapo wengi duniani, upinzani ni sehemu yao ya agizo la kuvilinda vyama tawala na kuhakikisha upinzani wa kweli haupatikani.

Baada ya kuonekana Mama Samia hana Ushawishi Mbowe kaamua kumfanyia kampeni kwa dirisha la upinzani. Kuandamana bila bugudha mama aonekane ni mwana demokrasia, kumsifia majukwaani na kukiri kusaidiwa nae.

Mbowe anatengenezea sana sympathy na Ccm ili aendelee kuaminiwa kama kinara wa upinzani ila kiuhalisia hizo ni niia tuu za ku block upinzani wa kweli kuaminiwa. Wanaoelewa siasa watanielewa.

View attachment 2946424

Kwa leo naweka kalamu chini.
Ikawaje yatumike mabilioni kuwanunua wapinzani hao? Ikawaje kuharibu uchaguzi na kuitia nchia madoa ili kuzuia upinzani walioutengeneza usichukkue nchi?
Ikawaje zitumike nguvu kubwa za majeshi yetu kuudhibiti upinzani walioutengeneza wenyewe? Kumbe CCM na system yetu ni empty buckets kiasi hicho?
 
Hivi Upinzani tunapinga / wanapinga nini ? Je wanapinga Ideology..., waliopo madarakani at the Time au chochote na vyote ambavyo Chama kingine inakifanya ?

Hivi tofauti kubwa kati ya CHADEMA na CCM ni Ipi ? (Ideologically) au zote ni Platform za kupata fursa ya kuongoza nchi ?

Nasema hayo sababu huenda Siasa za Bongo / Hata Kenya na nchi nyingi duniani kwa sasa ni Personality ya Mtu na watu Wanapigia Kura mtu / watu fulani na sio necessarily jinsi ya kuendesha nchi...., hivyo hata Samia angeweza kwenda CHADEMA kama angeona kuna uwezekano wa kuchukua nchi au vice versa (Practically Ideologically they are all the same)
 
Ikawaje yatumike mabilioni kuwanunua wapinzani hao? Ikawaje kuharibu uchaguzi na kuitia nchia madoa ili kuzuia upinzani walioutengeneza usichukkue nchi?
Ikawaje zitumike nguvu kubwa za majeshi yetu kuudhibiti upinzani walioutengeneza wenyewe? Kumbe CCM na system yetu ni empty buckets kiasi hicho?
Kwamba na wewe umefikiri ukaona uandike ulichokifikiria
 
Hivi Upinzani tunapinga / wanapinga nini ? Je wanapinga Ideology..., waliopo madarakani at the Time au chochote na vyote ambavyo Chama kingine inakifanya ?

Hivi tofauti kubwa kati ya CHADEMA na CCM ni Ipi ? (Ideologically) au zote ni Platform za kupata fursa ya kuongoza nchi ?

Nasema hayo sababu huenda Siasa za Bongo / Hata Kenya na nchi nyingi duniani kwa sasa ni Personality ya Mtu na watu Wanapigia Kura mtu / watu fulani na sio necessarily jinsi ya kuendesha nchi...., hivyo hata Samia angeweza kwenda CHADEMA kama angeona kuna uwezekano wa kuchukua nchi au vice versa (Practically Ideologically they are all the same)
Well said
 
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema.

Historia inatuambia, waanzilishi wote wa Chadema walikuwa Benki kuu. Yaani Mtei, Bob Makani na Mbowe na walitolewa kwa sababu maalum kutengeneza chama cha upinzani ili Tanzania itambulike na dunia kama imeruhusu mfumo wa vyama vingi na demokrasia.

Tangu Chadema iasisiwe, hatujashuhudia kiongozi tofauti ya hao watatu waliotoka BOT kwa shughuli maalim kuulaghai umma wa kimataifa juu ya uwepo wa vyama vingi na demokrasia Tanzania.

Baada ya Chadema kuasisiwa, wakaja wanachama wengi ambao hawakuwa sehemu ya mpango huo (Kuilaghai dunia) hawa wakaja kwa nia ya dhati kabisa ya kuiondo Ccm na hapo ndio Mbowe akawa mkali kama pilipili.

Tunaanza na Kaburu, huyu bwana alikuwa mwiba kweli kwa serikali ya Ccm. Mbowe ili kulinda maslahi yake mwaka 2005 alishilikiana na Ccm Bega kwa Bega kuhakikisha Kaburu anashindwa na Serukamba. Kwanza Mbowe hakumpigia kampeni Kaburu, Kaburu hakupewa sapoti na Chama kabisa mpaka alipoangushwa. Na kama zawadi Mbowe akapewa jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto kabwe.

Baada ya Kaburu kikaja kizazi cha pili, kizazi cha vijana waliokuwa na uchu wa mabadiliko kweli kweli. Hapa nawazungumzia kina Zitto, kafulila na Machali. Hawa wote walisambalatishwa kama upepo. Ccm ikapumua tena.

2010 mpaka 2015 hakuna mwanamageuzi aliyeonyesha njia kama Dr Slaa, Ccm ilikuwa inaondoka. Mbowe akakumbushwa wajibu wake wa kuilinda Ccm. Akaletewa criminal Lowasa na kumpoteza Dr Slaa ambae angeweza kutunishana misuli na Magufuli. Tukapoteza tena kizembe.

Kumpongeza Mbowe kwa kuiongoza Chadema miaka 20 pasipo kuitoa Ccm ni ujinga, kuimba nyimbo za Mbowe kuwaita wanaompinga wanafiki ni ujinga. Tunatakiwa kumuhoji Mbowe kwanini ndani ya miaka 20 ya uongozi wako hatujaona matokeo zaidi ya kubadilisha bendera na kauli mbiu?

Wanasiasa aina ya Mbowe wapo wengi duniani, upinzani ni sehemu yao ya agizo la kuvilinda vyama tawala na kuhakikisha upinzani wa kweli haupatikani.

Baada ya kuonekana Mama Samia hana Ushawishi Mbowe kaamua kumfanyia kampeni kwa dirisha la upinzani. Kuandamana bila bugudha mama aonekane ni mwana demokrasia, kumsifia majukwaani na kukiri kusaidiwa nae.

Mbowe anatengenezea sana sympathy na Ccm ili aendelee kuaminiwa kama kinara wa upinzani ila kiuhalisia hizo ni niia tuu za ku block upinzani wa kweli kuaminiwa. Wanaoelewa siasa watanielewa.

View attachment 2946424

Kwa leo naweka kalamu chini.
Huwa nawaoneaga huruma sana nyumba walimwamini huyu Mzee Mbowe 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Mwanangu ndiyo umepoteza muda kuleta hii takataka,wenzako wameshaandika sana hata kuzidi hii na kila mwenye akili aliishia kuidharau. Hii ni propaganda ya level ya chekechea kabisa. It won't work. Ni low thinkers tu kama wewe wamekusapoti.
 
Mwanangu ndiyo umepoteza muda kuleta hii takataka,wenzako wameshaandika sana hata kuzidi hii na kila mwenye akili aliishia kuidharau. Hii ni propaganda ya level ya chekechea kabisa. It won't work. Ni low thinkers tu kama wewe wamekusapoti.
Sasa great thinker unakubali kuongozwa na mtu mmoja for 20 years. Are you a great thinker au ni low thinker unayezubaishwa kwa kuitwa great thinker
 
Huwa nawaoneaga huruma sana nyumba walimwamini huyu Mzee Mbowe 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Mbowe ni tatizo kubwa linapokuja suala la mabadiliko. He is a problem na bahati mbaya bado kuna idle youths wanaomuamini
 
Mbowe anatengenezea sana sympathy na Ccm ili aendelee kuaminiwa kama kinara wa upinzani ila kiuhalisia hizo ni niia tuu za ku block upinzani wa kweli kuaminiwa. Wanaoelewa siasa watanielewa
Hivi hamnaga CD nyingine? Hebu tafuteni nyingine sasa, hii imekaa Sana! Kila MTU LAZIMA amtaje Mbowe ili aonekane anajua SIASA za CCM na Tanzania
 
Sasa great thinker unakubali kuongozwa na mtu mmoja for 20 years. Are you a great thinker au ni low thinker unayezubaishwa kwa kuitwa great thinker
Sema maliza yote ila ninachokuambia hii theory uliyoweka hapa siyo mpya,imeshajaribiwa na wengi na haikufanya kazi. Chadema itaendelea kuwa mwiba kwa CCM, ndiyo maana inatumika nguvu kubwa ya vyombo vya dola kutaka kuingamiza Chadema,refer kilichofanyika kwenye chaguzi za 2019/2020, ilifikia hata dola kuharibu image ya nchi kimataifa ili mradi tu Chadema ife. Si mnaona kazi ya ziada anayofanya Rais Samia kuosha shombo aliyoacha dhalim katika process ya kujaribu kuifuta Chadema. Anyway umejaribu lakini ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Hivi unataka kujisahaulisha kuhusu nini ambacho kilitokea kwa makada na viongozi mbalimbali wa CDM ikiwamo hata Mbowe mwenyewe katika utawala wa JPM miaka michache iliyopita!? Watu kuteswa, kutekwa, kujeruhiwa, kuuwawa, kubambikiwa kesi za uongo, mali zao kuhujumiwa, n.k.
Walioteswa no wale wazalendo.haswaaa wapinzani was kweli!!

Mbowe,zito wala mnyika hawakuteswa why!?coz no sehem ya system!!Ile kesi ya ugaidi ilikua propaganda kuzima kipindi Cha mpito Cha kuondoika mwendazake na kushika samiah madaraka!

Lakini Mali za mbowe na propaganda nyingine ilikua TU kuonysha umma na yeye ni mpinzani!!

Wapinzani was kweli hawasavaivu sana!!

Kina mdude,lisu kipindi kile,heche n.k ndio hao wanaoifanya Dola itumike kuilinda CCM madarakani!!!
 
Back
Top Bottom