Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 3,172
- 5,298
Kwa hio ndio kusema sababu ya Sheria hairuhusu hilo basi waendelee kukwiba tu? Eti ndugu mwandishi unasemaje kuhusu hilo sababu ya Katiba na Bunge basi waendelee kukwiba tu maana na wao wanalijua hilo ndio maana wanakwiba tuRais hawezi kusomewa ripoti leo halafu kesho aseme kamata fulani na fulani peleka Mahakamani.