Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,820
4,572
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ilipata hasara ya Sh56.64 bilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 ikiwa ni ongezeko la asilimia 61, ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita.

Ripoti ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha 2022/23 imebainisha kuwa shirika hilo limeendelea kupata hasara kwa miaka sita mfululizo, licha ya kuwa inapokea ruzuku kutoka serikalini.

Ripoti hiyo ilitaja sababu zinachangia hasara zikijumuisha kuwapo kwa gharama kubwa za uendeshaji wa shughuli za ATCL, pamoja na gharama zisizoepukika kama vile za ukodishaji na bima kwa ndege ya Airbus A220 - 300 isiyofanya kazi kutokana na matatizo ya kiufundi ikiwamo kutu na kasoro za injini.

Ripoti hiyo ilinukuu, “mwaka wa fedha 2022/23, ATCL ilipokea ruzuku ya Sh31.55 bilioni kwa ajili ya kugharamia mishahara ya wafanyakazi, mafunzo ya majaribio na ruzuku ya Sh7.45 bilioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo.”

PIA SOMA
- Ripoti 21 za CAG zatua Bungeni kwaajili ya kuanza kujadiliwa
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
Hiyo ndiyo ilikuwa masterplan ya kulifufua shirika?
Kama sio basi ni hasara kwa kuwa goals hazijatimia
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
Mwenzetu sijuhi unasoma na kuelewa au umeandika ili kutetea jambo fulani unalolijuwa wewe?

Report imesema hasara inatokana na gharama za uendeshaji wa shirika pamoja na ndege hasa Airbus kutofanya kazi kutoka na sababu za kiufundi, wewe unakuja na porojo za madaktari kuwaishwa kutibu wagonjwa. Lengo la shirika ni kufanya biashara kwa faida siyo kutoa huduma kwa hadara.
 
Mwenzetu sijuhi unasoma na kuelewa au umeandika ili kutetea jambo fulani unalolijuwa wewe?

Report imesema hasara inatokana na gharama za uendeshaji wa shirika pamoja na ndege hasa Airbus kutofanya kazi kutoka na sababu za kiufundi, wewe unakuja na porojo za madaktari kuwaishwa kutibu wagonjwa. Lengo la shirika ni kufanya biashara kwa faida siyo kutoa huduma kwa hadara.
Kwani sababu iliyotolewa ni moja tu? Bado hoja yangu inabaki palepale tunatakiwa kuiangalia faida kwa upana zaidi ya hesabu za fedha.
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
Wanaongelea profit and loss sio mambo ya kufikirika.
 
Kwani sababu iliyotolewa ni moja tu? Bado hoja yangu inabaki palepale tunatakiwa kuiangalia faida kwa upana zaidi ya hesabu za fedha.
Sasa ndege imekaa uwanjani mwaka mzima italeta faida gani?. Lazima ilete hasara, hata hao madaktari wakufikirika unaowasema itawabebaje?
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
Lengo la serikali kufufua ATCL syo kutoa huduma, ni kufanya biashara ili lizalishe faida ili kuchangia pato la taifa.
Ingekua ni huduma basi wangeacha mashirika mengine yaendelee na biashara hiyo huku ikielekeza fedha ilizotumbukiza huko sehemu nyingine
 
Kwani sababu iliyotolewa ni moja tu? Bado hoja yangu inabaki palepale tunatakiwa kuiangalia faida kwa upana zaidi ya hesabu za fedha.
Lengo la kufufua ATC ni kufanya biashara kiushindani ili tupate faida .

OVER
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?


Uko sahihi kabisa maforce. Ilivyo duniani kote miradi mikubwa ya kimkakati haipimwi kwa kigezo cha urejeshaji wa mtaji uliowekezwa pekee, kama vile kilimo cha matikiti au biashara ya bodaboda. Uchambuzi wake unaenda mbali zaidi mpaka vigezo vya kiuchumi na kijamii. Kwa hiyo miradi kama hii inapimwa kwa vigezo zaidi ya ufanisi wa kifedha.
 
Lengo la serikali kufufua ATCL syo kutoa huduma, ni kufanya biashara ili lizalishe faida ili kuchangia pato la taifa.
Ingekua ni huduma basi wangeacha mashirika mengine yaendelee na biashara hiyo huku ikielekeza fedha ilizotumbukiza huko sehemu nyingine
Hivi unaelewa wajibu wa serikali? serikali haipo kufanya biashara bali ni kuhudumia wanachi. Pia ukisikia kuhudumia haimanishi hakuna malipo. Kuna uhitaji wa usafiri na kuna mtu anatakiwa kuwapa huo usafiri, je ni nani wakuwapa huo usafiri?
mfano nini lengo la kuanzisha hospitali? jibu ni lipi kati ya kutibu/kuokoa maisha ya watu au kupata kipato?
 
Lengo la kufufua ATC ni kufanya biashara kiushindani ili tupate faida .

OVER
Hata hivyo pia unaposema tupate faida, ni faida gani hiyo? mfano faidaiwe ni pesa, je hiyo pesa inamlenga nani? Pesa itawekwa kwenye maboksi tuwe tunaitazama au tunayatazama makaratasi yalivyo mengi?
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwa wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?

Hizo ni blabla. Ukiwa na fikra hizo hakuna mradi utakaokuwa na hasara, maana hata supermarket ikipata hasara, utasema usiangalie tu hesabu za fedha, fikiria watu waliopata huduma ya chakula, mavazi na vitu vingine.

Hesabu za fedha ni standard, na inajulikana vigezo vinavyotumika kutambua shirika limepata hasara au faida.

Kumbuka hakuna mtalii aliyewahi kushindwa kufika Tanzania kwa sababu hakukuwa na ndege za ATCL. Wala hakuna mtanzania aliyewahi kushindwa kufika mahali popote nje ya nchi au ndani ya nchi kwa usafiri wa ndege kwa sababu hakukuwa na ndege ya ATCL. Mpaka sasa, watalii wanaoingia Tanzania, wala hawategemei ndege za ATCL kuwaleta nchini. Na watanzania wengi wanaoenda nje ya Tanzania hawategemei ndege za ATCL.

Tena kabla ya hujuma zilizofanywa dhidi ya Fastjet ili ATCL ifanye biashara, gharama ya ticket ya ndege ilikuwa bei nafuu kwa zaidi ya 50% ya inazotoza ATCL kwa sasa.

Lililo dhahiri ni kwamba, Serikali ya Tanzania, haijawahi kuendesha kitu chochote kwa ufanisi, hivyo wala tusitarajie hata siku moja kuwa ATCL, TANESCO au TTCL, watakuja kutengeneza faida. Serikali ya Tanzania ni ya hasara siku zote kutokana na namna ya watu wanaoendesha taasisi za serikali wanavyopatikana, na miundo ya hovyo ya Serikali kwa taasisi zilizo chini yake.
 
Kuna mwamba hapo juu anasema ndege ilikua inawahisha madaktari kutibu watu , weeeeh sio ambulance hiyo
Nafikiri hajui kuwa ATCL haimiliki air ambulance hata moja. Waliokuwa wanahitaji usafiri wa ndege, hata kabla ya ATCL kufufuliwa, walikuwa wanasafiri kwa ndege, tena kwa gharama nafuu zaidi kuliko sasa.
 
Labda mimi huwa nafikiri kwa iwango cha chini kuliko wasomi. Tunaposema hasra tumeangalia vigezo gani? kama tukiangalia kwa faida zile ambazo hazionekani katika hesabu za pesa tunazihesabiaje?
Mfano nchi inapofungua mlango wa mawasiliano na uchukuzi kupitia chombo hicho(ndege) kuna watu wangapi wameshapa faida?
kuna watu wameokolewa uhai wao kwa sababu tu ndege hizi zipo na zimefikisha madaktari na wahudumu wengine sehemu wanayohitajika kwa muda mfupi.
Kuna watu wanafanya biashara sana kwa kuwa wanaweza kusafiri kwa urahisi na uharaka sana.

ZAIDI YA YOTE HAYO UWEKEZAJI MKUBWA KAMA HUU HUWA UNATUMIA MUDA MREFU KURUDISHA FAIDA KWA HESABU ZA PESA ILIYOTOKA MFUKONI MWA MWANZILISHI LAKINI FAIDA KUBWA NI HUDUMA KWA WATU ILIYOWALENGA.
Kama tutaangalia sana faida za haraka kama watu wengi ambao wanafikiria leo basi hatutafanya jambo kubwa lolote. Nchi nyingi zinazofanya biasha kama hiyo ukifuatilia utasikia kuna hasara kubwaw wanaipata. Sasa kila nchi ikiacha nani atawahudumia wanachi ambao wanahitaji huduma hiyo ukizingatia uwekezaji wake si rahisi kwa mtu binafsi kuufanya.
Hebu fikiria barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa huwa zinarudisha faida kwa muda gani?
Kuna kitu kinaitwa"profit organizations"na non profit organizations"misamiati yake ni minne,profit organizations tuna;profit/faida,loss/hasara na kwenye non profit tuna surplus/ziada na shortage/upungufu.Hiyo ATCL ni profit corporate hivyo tunatarajia profit or loss.
 
Kuna kitu kinaitwa"profit organizations"na non profit organizations"misamiati yake ni minne,profit organizations tuna;profit/faida,loss/hasara na kwenye non profit tuna surplus/ziada na shortage/upungufu.Hiyo ATCL ni profit corporate hivyo tunatarajia profit or loss.
Soma vizuri nilichokiandika utaelewa. Nimezungumzia faida kwa upana wake kwamba faida mwishowe inamlenga nani? Je ni mtu au jini?
Pia nimezungumzia faida kwa miradi kama hiyo haiji kama kuanzisha duka la Mangi na kesho kuleta faida. Kafuatilie mashirika ya ndege huko duniani yameanza kupata faida baada ya muda gani tangia yalipoanzishwa?
 
Back
Top Bottom