kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 638
- 402
Fuata misamiati ya kitaalumaSoma vizuri nilichokiandika utaelewa. Nimezungumzia faida kwa upana wake kwamba faida mwishowe inamlenga nani? Je ni mtu au jini?
Pia nimezungumzia faida kwa miradi kama hiyo haiji kama kuanzisha duka la Mangi na kesho kuleta faida. Kafuatilie mashirika ya ndege huko duniani yameanza kupata faida baada ya muda gani tangia yalipoanzishwa?