Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,780
- 14,702
Na ikifika kwa dpp ndiyo kwishney,dpp anapigiwa tu simu moja kesi inatupiliwa mbali,sioni faida ya dpp, naye ni hasara kubwa tu kwa taifa.Kuna utawala wa sheria. Siyo kila kitu atafanya Rais Samia. Kwanza anachotoa CAG ni hoja za kiukaguzi wala siyo ropoti ya wizi. Hicho hamkijui. Mnataka kila hoja ya ukaguzi iende jela.
Hao wenye hoja za ukaguzi wanapaswa kujibu. Baada ya hapo Kamati ya hesabu za bunge itazifuatilia na kisha.
Zile ambazo hawataridhika ndiyo zinakwenda TAKUKURU. Na hao TAKUKURU wanakusanya ushahidi wao na kisha wanapita kwa DPP kwa ajili ya kupeleka Mahakamani.
CAG query isn't fraud but a mere symptom