TZ yenu kila mtawala ni mpumbavu kwa nafasi yake.Mwendazake alishaanzisha ujenzi huwezi achia njiani ni hasara mara 2.
Kwa mfano hayo mandege yalishawekewa oda na advance payments zililiowa huwezi kughairi utashitakiwa.
Upuuzi wote huu umeletwa na Mwendazake.