CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

Mwendazake alishaanzisha ujenzi huwezi achia njiani ni hasara mara 2.

Kwa mfano hayo mandege yalishawekewa oda na advance payments zililiowa huwezi kughairi utashitakiwa.

Upuuzi wote huu umeletwa na Mwendazake.
TZ yenu kila mtawala ni mpumbavu kwa nafasi yake.
 
Let's say Magufuli alikosea; does that justify her wrongs?
Tumepiga hatua kwa kufuata utawala wa sheria. Nadhani kwenye ripoti ya TAKUKURU kutakuwa na makes waliyoyafikisha mahakamani.

Sasa inabidi u-tally kati ya hoja za ukaguzi za 2021/22 against kesi zilizofikishwa Mahakamani ndiyo utajua kama kuna tofauti.

Siungi mkono kurundika watu rumande kama Magufuli alivyowaweka akina Kitilya, Rugemalira, Maimu etc huku hakuna ushahidi wa kuwatia hatiani
 
Yaani hasara zooote na waziri wa uchukuzi anavaa tai anaenda ofisini??
Kunawatu wamekosa aibu asee dooh!! Au nivile nchini kwake pakoshwari!
Taasisi za serikali zimefeli kiwango Cha aibu kabisa LAKINI majingaa yatakwambia prezdaa anaupigia mwingi ptuuh!
 
Na mimi nimejiuliza hivyo hivyo.

Kwa jinsi wasivyochukua hatua zozote baada ya hiyo ripoti kusomwa ni bora isifanywe kama vile ni tukio muhimu.
Watoe tu hiyo ripoti kwenye gazeti la serikali, anaetaka kusoma jinsi tunavyoibiwa asome asietaka aache.

Huu unaofanywa ni upuuzi wa kusomewa wizi wa wenye wadhifa bila hatua zozote kuchukuliwa. Hii imekuwa kama ripoti ya wezi kuringishia wizi wao.
Ukikamatwa na nyama ya swala ni miaka 22 jela.
 
Hayo Mapungufu ndiyo udhaifu wake!!, anaanzaje kuwa bora tena??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
Kwamba unakubali Magu alikubarika kwa 90% ya watanzania. Ila unawabariki ujinga kwa kuwa wewe ni 10% ya ambao hawakumkubari.

Vipi, unaweza nitajia binadam asiye na mapungufu?
 
Tumepiga hatua kwa kufuata utawala wa sheria. Nadhani kwenye ripoti ya TAKUKURU kutakuwa na makes waliyoyafikisha mahakamani.

Sasa inabidi u-tally kati ya hoja za ukaguzi za 2021/22 against kesi zilizofikishwa Mahakamani ndiyo utajua kama kuna tofauti.

Siungi mkono kurundika watu rumande kama Magufuli alivyowaweka akina Kitilya, Rugemalira, Maimu etc huku hakuna ushahidi wa kuwatia hatiani
Magufuli is gone. You should move on. Life's for the living.
 
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024.


View: https://www.youtube.com/watch?v=6yQwHaO3rEA

MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA TAKUKURU CP SALUM RASHID HAMDUNI

View attachment 2946700

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), CP Salum Rashid Hamduni anawasilisha Taarifa ya Utendaji kazi wa TAKUKURU kwa Mwaka 2022/2023, Ikulu Mkoani Dodoma, leo Machi 28, 2024.

Amesema walifanya tathmini ya Miradi 1,800, walibaini Miradi 171 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 143.3 ilibainika kuwa na utekelezaji hafifu na hivyo kuanzisha uchunguzi.



Akizungumzia tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka, CP Salum Rashid Hamduni, amesema walifanya Uchambuzi kuhusu Mfumo wa Uzingatiaji wa taratibu za Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ambapo Vituo 38 vilihusika.

Asilimia 79 ya Vituo vilivyochambuliwa vilizingatia Sheria kwa kuwa na Vibali vya Ujenzi kutoka Halmashauri ambapo Ujenzi umefanyika, Asilimia 21 ya Vituo havikuwa na leseni wakati zoezi la Ufuatiliaji linafanyika.

Pia, walibaini Ongezeko la maombi ya Ubadilishwaji wa Matumizi ya Ardhi kutoka Matumizi ya awali na kuwa Matumizi ya Vituo vya Mafuta, pamoja na tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka na kuleta Changamoto ya Usalama wa Watu waishio karibu.

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUUU WA HESABU ZA SERIKALI, CHARLES KICHERE
Ukaguzi umebaini MSD ilitoa zabuni ya ununuzi wa vifaa vya maabara ambavyo ni vipimo vya COVID 19 kwa kampuni ambayo haikuwa mtengenezaji wa vifaa hivyo kinyume na makatwa ya zabuni, pia ilinunua vifaa hivyo bila kufuata ushauri, baada ya kufika kwa vifaa hivyo wataalamu walibaini havifai kwa matumizi yetu na tayari MSD ilikuwa imelipa fedha zote.

Mashirika ya Umma yanayojiendesha kibiashara yamepata hasara. Mwaka 2022/23, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, sawa na ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22 iliyokuwa Tsh. Bilioni 35.24. Ikumbukwe kuwa Shirika hili lilipokea ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55 kutoka Serikalini.

Shirika la reli limepata hasara ya Tsh. Bilioni 100.70 licha ya kupewa ruzuku ya Tsh. Bilioni 32.81 kutoka Serikalini.

TANOIL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 76.56, ongezeko la Bilioni 68.72 kutoka hasara ya mwaka 2021/22.

Shirika la Posta limepata hasara ya Tsh. Bilioni 1.34.

NHIF umeendelea kupata hasa kwa mwaka wa 5 mfululizo ambapo mwaka 2022/23 umepata hasara ya Tsh. Bilioni 156.77. Hata hivyo, NHIF imeikopesha Serikali Bilioni 208 ambazo hazijalipwa hadi sasa.

View attachment 2947164
View attachment 2947166
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 kutoka kwa Charles Kichere Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.
View attachment 2947196
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Mwaka 2022/2023 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo CP. Salum Hamduni Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.​

Vipi kwenye ripoti ya CAG amengusia Samia katumia gharama kiasi gani kwa safari zake za nje???

(Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), CP Salum Rashid Hamduni)

Bila shaka ni Mzanzibari huyu,


Je hivi huko Zanzibar Kuna Mtanganyika yeyote ambaye Kachanguliwa japo ukuu wa wilaya?

Je Zanzibar si sehemu ya Tanzania?

Kama ni sehemu ya Tanzania akina Shaka Hamdu Shaka ni wakuu wa wilaya Tanganyika inakuwaje Watanganyika kutokuwa ndani ya teuzi za Tanzania Visiwani?
 
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024.


View: https://www.youtube.com/watch?v=6yQwHaO3rEA

MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA TAKUKURU CP SALUM RASHID HAMDUNI

View attachment 2946700

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), CP Salum Rashid Hamduni anawasilisha Taarifa ya Utendaji kazi wa TAKUKURU kwa Mwaka 2022/2023, Ikulu Mkoani Dodoma, leo Machi 28, 2024.

Amesema walifanya tathmini ya Miradi 1,800, walibaini Miradi 171 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 143.3 ilibainika kuwa na utekelezaji hafifu na hivyo kuanzisha uchunguzi.



Akizungumzia tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka, CP Salum Rashid Hamduni, amesema walifanya Uchambuzi kuhusu Mfumo wa Uzingatiaji wa taratibu za Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ambapo Vituo 38 vilihusika.

Asilimia 79 ya Vituo vilivyochambuliwa vilizingatia Sheria kwa kuwa na Vibali vya Ujenzi kutoka Halmashauri ambapo Ujenzi umefanyika, Asilimia 21 ya Vituo havikuwa na leseni wakati zoezi la Ufuatiliaji linafanyika.

Pia, walibaini Ongezeko la maombi ya Ubadilishwaji wa Matumizi ya Ardhi kutoka Matumizi ya awali na kuwa Matumizi ya Vituo vya Mafuta, pamoja na tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka na kuleta Changamoto ya Usalama wa Watu waishio karibu.

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUUU WA HESABU ZA SERIKALI, CHARLES KICHERE
Ukaguzi umebaini MSD ilitoa zabuni ya ununuzi wa vifaa vya maabara ambavyo ni vipimo vya COVID 19 kwa kampuni ambayo haikuwa mtengenezaji wa vifaa hivyo kinyume na makatwa ya zabuni, pia ilinunua vifaa hivyo bila kufuata ushauri, baada ya kufika kwa vifaa hivyo wataalamu walibaini havifai kwa matumizi yetu na tayari MSD ilikuwa imelipa fedha zote.

Mashirika ya Umma yanayojiendesha kibiashara yamepata hasara. Mwaka 2022/23, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, sawa na ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22 iliyokuwa Tsh. Bilioni 35.24. Ikumbukwe kuwa Shirika hili lilipokea ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55 kutoka Serikalini.

Shirika la reli limepata hasara ya Tsh. Bilioni 100.70 licha ya kupewa ruzuku ya Tsh. Bilioni 32.81 kutoka Serikalini.

TANOIL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 76.56, ongezeko la Bilioni 68.72 kutoka hasara ya mwaka 2021/22.

Shirika la Posta limepata hasara ya Tsh. Bilioni 1.34.

NHIF umeendelea kupata hasa kwa mwaka wa 5 mfululizo ambapo mwaka 2022/23 umepata hasara ya Tsh. Bilioni 156.77. Hata hivyo, NHIF imeikopesha Serikali Bilioni 208 ambazo hazijalipwa hadi sasa.

View attachment 2947164
View attachment 2947166
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 kutoka kwa Charles Kichere Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.
View attachment 2947196
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Mwaka 2022/2023 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo CP. Salum Hamduni Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.​

Kupotezeana muda tu, hakuna cha maana kitakachotokea, serikali wakikosa cha kufanya, hutqywrisha shughuri yoyote ili wananchi wajue majizi Yao yapo
 
atcl-cargo-720x470.jpg

DODOMA: MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limepata hasara ya Sh Bilioni 56.64 sawa na ongezeko la asilimia 61 kutoka hasara ya Sh Bilioni 35.24 kwa mwaka uliopita.

Akiwasilisha ripoti ya utendaji kazi wa serikali na Mashirika mbalimbali ya umma, CAG Kichere amesema kwa upande wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hasara imepungua kutoka Sh Bilioini 205.95 kwa mwaka wa fedha 2021/22 hadi Sh Bilioni 156.77 kwa mwaka wa fedha 2022/23.

Aidha amesema michango ya wanachama imeongezeka kwa asilimia 14.6 na matumizi yameongezeka kwa asilimia 10.
chanzo. ATCL yapata hasara Sh Bil.56 - HabariLeo

Ushauri wangu kuhusu hili shirika la ndege lipewe wawekezaji kwani itafika wakati litafilisika kabisa Serikali haiwezi kuliendesha hili shirika litakuw alinatangaza kila siku hasara badala ya faida Bora shirika Libinafsishe wapewe Wawekezaji.Serikali iwe inapata kodi kutoka katika hili shirika kuliko Serikali kuliomgoza.

MSIGWA: AKILI NDOGO ITAWALE AKILI KUBWA​

 
Hiyo hasara ya atcl imetokana na nini???
Naona wanaZidi kununua midege tu

Ova
 
Magufuli is gone. You should move on. Life's for the living.
We have to learn from past mistakes so as to build a better future. You people are mere twats when it comes to criticising a man you worshipped as god.
 
Back
Top Bottom