Search results

  1. Newbies

    Wachezaji waliofukuzwa uwanjani kwa kelele za mashabiki wasiojua mpira

    Nikweli usiopingika kuwa Soka la tanzania limetawaliwa na mashabiki wanaoendeshwa na mihemko, hii hapa Orodha ya wachezaji wazuri waliokimbia Clabu zao na kutundika Daluga au kuhamia vilabu vingine 1. David Molinga , Yanga, huyu alikuwa mchezaji nzuri aliyeweza kufungua zaidi ya goli 7 kwa...
  2. Newbies

    Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani

    Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau? ======= Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka...
  3. Newbies

    Je, kumwaga mbegu za kiume mara kwa mara nikinga dhidi ya saratani ya tezi dume?

    Linapokuja suala la afya ya wanaume, saratani ya kibofu cha mkojo inachukua nafasi kubwa. Ni aina ya pili ya saratani inayogunduliwa kwa wingi kwa wanaume duniani kote, ikifuatiwa na saratani ya mapafu. Kwa sababu tezi dume ni kiungo cha uzazi ambacho kazi yake kuu ni kusaidia kuzalisha mbegu za...
  4. Newbies

    Nafasi za uteuzi zipewe watu wenye uwezo kiuchumi

    Ipo haha ya kizingatia zaidi watu wenye nguvu kiuchumi kushika nafasi kubwa kubwa kwenye vyama serikali na Taasisi ambao kwa nafasi kubwa tunaweza kupunguza, Rushwa, wizi, na kuongeza mentality ya maendeleo. Watu Hawa wanaweza kuwa Bora kwenye ufanizi kuliko wale wasio jiweza kiuchumi ambao...
  5. Newbies

    Tetesi: Simba kuibomoa Yanga, Azam

    Kwa taarifa ambazo nimepenyezewa nikuwa Simba imejipanga kufanya kufuru kwa KUIBOMOA YANGA huku ikipanga Kuondoka na wachezaji wanne kutoka Yanga na wachezaji wawili kutoka Azam. Simba inajiandaa kunasa saini za wachezaji Hawa kutoka Yanga ambao wamepangiwa Dau Nono la usajili pamoja na...
  6. Newbies

    Watu wengi hawajui kuwa mitishamba inaharibu ini na figol

    Watu wengi wamekulia katika jamii ambazo wanaoamini dawa za mitoshamba hazina madhara na kuwa unaweza kutumia tu kiholela holela hata Kama huna ujuzi nao. Ukweli Ni kuwa mitoshamba Kama isipotumika kwa umakini na kizingatia kipimo stahiki ukawa unabugia tu unaharibu Figo. Utakuta MTU...
  7. Newbies

    Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki

    Kwanini usajili wa Simba HAUAMINIKI? Simba wanaweza kusajili wachezaji 7 lakini atakayeonesha kiwango Ni mmoja au hakuna hivi Hawa jamaa wanatumia mfumo gani kupata wachezaji? Simba kjikite kwenye usajili wa ndani Kama walivyopatikana kina Mohamedi ibrahimu, kichuya, Mzamiru, n.k Usajili ujao...
  8. Newbies

    Simba Vs Yanga kutoa Sare 1-1 kesho April 20, 2024

    Kitawaka kesho wakati miamba miwili ya Soka la Tanzania Simba watakiwasha Dhidi ya Yanga. Mchezo ukipita ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi mnono, lakini hiyo kesho tutarajie mchezo huo kukamilika kwa Sare hasa sare ya goli moja kwa Moja
  9. Newbies

    Tanzania Ni nchi maskini viongozi baneni matumizi

    Tanzania Ni miongoni mwa nchi maskini huku wananchi wakiishi chini ya Dolla 1 huku kipato Cha wastani kikiwa hakizidi Dola 2.5 kwa siku. Nimuhimu kubana matumizi
  10. Newbies

    Majiji Tajiri Africa

    TOP 23 RICHEST CITIES IN AFRICA 🌍 1. 🇿🇦Johannesburg ($276 Billion) 2. 🇿🇦Cape Town ($155 Billion) 3. 🇪🇬Cairo ($140 Billion) 4. 🇳🇬 Lagos ($108 Billion) 5. 🇰🇪 Nairobi ($85 Billion) 6. 🇿🇦 Durban ($55 Billion) 7. 🇦🇴Luanda ($49 Billion) 8. 🇿🇦Pretoria ($48 Billion) 9. 🇲🇦Casablanca...
  11. Newbies

    Orodha ya clabu tajiri zenye dhamani kubwa zaidi Africa

    Most valuable football clubs in Africa as of the 2023/2024 season, by market value 1)- El Ahly sc, Egypt 🇪🇬,30.5 million euros 2)- Mamelodi Sundowns, South Africa 🇿🇦 - 29.15 million euros 3)- Pyramid FC, Egypt 🇪🇬, 21.73 million euros 4)- Orlando Pirates, South Africa 🇿🇦 19.55...
  12. Newbies

    Nchi zenye uchumi imara GDP kubwa Duniani 2024

    Biggest economies by GDP ( PPP) in 2024 (World) 1. 🇨🇳China: $32.89 Trillion 2.🇺🇲USA: $26.94T 3. 🇮🇳India: $13.11 T 4.🇯🇵Japan: $6.46T 5.🇩🇪Germany: $5.55T 6.🇷🇺 Russia: $5.05T 7. 🇮🇩Indonesia: $4.3T 8.🇧🇷Brazil: $4.01T 9.🇬🇧UK: $3.87T 10.🇫🇷 France: 3.86T 11.🇹🇷 Turkey: 3.80 T 12.🇲🇽 Mexico...
  13. Newbies

    Nchi za Afrika zinazotembelewa na watalii kwa wingi

    Top most visited African countries by Tourists 1)- Morocco 🇲🇦 13.2 million visitors 2)- Egypt 🇪🇬 11.3 million visitors 3)- South Africa 🇿🇦 11.5 million visitors 4)- Tunisia 🇹🇳 8.3 million visitors 5)- Zimbabwe 🇿🇼 6.3 million visitors 6)- Côte d’Ivoire 🇨🇮 7) - Uganda 🇺🇬 8)- Kenya 🇰🇪 9)-...
  14. Newbies

    Orodha ya Wanawake matajiri Afrika

    Orodha ya wanawake wenye vibunda Africa. Top 10 Richest African Women: 1. Isabel dos Santos(🇦🇴) - $2.2 Billion 2. Folorunso Alakija(🇳🇬) - $1 Billion 3. Ngina Kenyatta (🇰🇪) - $1 Billion 4. Hajia Bola Shagaya (🇳🇬) - $800M 5. Wendy Appelbaum (🇿🇦) - $600M 6. Yvonne Ike (🇳🇬) - $600M 7. Sharon...
  15. Newbies

    UTABIRI: Simba kutoka sare ya 1-1 na Al Ahly

    Mchezo utapigwa kesho utabiri wetu Ni 1-1😆
  16. Newbies

    Ujumbe kwa wenye mamlaka ya kuajiri

    Mdau anasema, tafadhali Sana usialike watafutaji wa kazi kwenye usaili Kama ulipanga kuitoa nafasi hiyo ya kazi kwa ndugu jamaa au marafiki. Wapo wanaokuja katika usaili kwa Nauli za kuazima Tena kwa umbali mrefu😭 imenihuzunisha Sana.
  17. Newbies

    HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

    HR flani alilalamika wahitimu wengi Ni weupe vichwani na kuuliza Nini kifanyike Nilikuwa na haya yakujibu! Ushauri chakufanya Ni kwanza wakufunzi hasa wa vyuo vikuu waanze kufundishwa maarifa ya kisasa Pili tujaribu kuchukua wakufunzi kutoka vyuo Bora vya nje inaweza kuwa kwa mpango wa...
  18. Newbies

    Nchi zenye Amani zaidi Africa

    Kwa mujibu wa Africa fact zone hii hapa ndio Orodha ya nchi zenye Amani ya moyo Africa's Most Peaceful Countries 1. Mauritius 2. Botswana 3. Sierra Leone 4. Ghana 5. Senegal 6. Madagascar 7. Namibia 8. The Gambia 9. Zambia 10. Liberia 11. Malawi 12. Tunisia 13. Equatorial Guinea 14...
  19. Newbies

    Sarafu Afrika zenye nguvu dhidi ya Dollar

    Top African currencies from the strongest to the weakest as of 15th February 2024 in comparison with the USA Dollar 1 USD = 1. Tunisian Dinar: 3.15 2. Libyan Dinar: 4.85 3. Moroccan Dirham: 10.06 4. Ghanaian Cedi: 12.45 5. Botswana's Pula: 13.73 6. Seychelles' Rupee: 13.33 7. Eritrean...
Back
Top Bottom