Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 1,202
- 2,871
Sawa haya lala usingizi
View attachment 2949558
Tutakosa hizi heka heka
Anashangilua utazana huyo Gambi huwa anampatia nusu ya Mshahara wake, nchi imejaa wajinga sana hiiMngekuwa mnaipenda Tanzania kama mnavyoipenda ccm..
Tungekuwa mbali sana.
Then tupo tunaipenda Tz kuliko ccm ama chadema..
Una uhakika atafika kwenye uchaguzi salama?Mrisho Gambo nyota yake inazidi kung'ara
Lema labda akimbilie Nusu mkate Moshi mjini
Nawatakieni Pasaka Njema 😄
Wahalifu hawajawahi shinda vitaCombo yake na Sabaya mjiandae
Ulikosea sana ulipoacha kuandika namba yako ya simuMimi sina neno wala cha kuandika leo.
Kwamba wangeshindwa bila yeye kuwa Arusha?Ila CCM kuna namna ukiwa kibaka wanakukubali sana yaani wanajificha kwenye giza afu wanakutuma kwenye mwanga sasa makonda yeye anafurahi pesa inaingia Ila sijui uko mbeleni ngoja tuone wanamtegemea awasaidie kupora kura za Arusha 2025.
Nimesikitika sana, naamini angeingia zanzibar kwa kupiga mbizi🤣Zile Ziara zote Nchi nzima na majivuno yoote haya ndio Matunda yake?
Hata miezi mitatu bado.
Jibu la kijinga hili; tunajifariji kitu gani.Mnajifariji tu......Mwenezi alikuwa juu ya Mawaziri hadi PM anabow down.
HahajNimesikitika sana, naamini angeingia zanzibar kwa kupiga mbizi🤣
Unajuaje Kama Makonda atadumu Hadi mwakani?Mrisho Gambo nyota yake inazidi kung'ara
Lema labda akimbilie Nusu mkate Moshi mjini
Nawatakieni Pasaka Njema 😄
Ccm tusipoipata 2025, itachukua muda sanaZile Ziara zote Nchi nzima na majivuno yoote haya ndio Matunda yake?
Hata miezi mitatu bado.
Lema kazi anayo 😂haya, kama kawaida ya Makonda mwakani anachukua form ya kugombea Arusha mjini.
qumamkee