Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,521
- 36,920
Makonda kashuka,ila kapelekwa Arusha strategically sana
Kunionya kuhusiana na niniTulikuonya mara nyingi sana lakini ukatupuuza
sio bahat mkuu wahusika wa teuzi hawaelewi wafanye nini wanabahatisha tuWatu wanabahati sana Dr Mhede amefeli TRA akafeli DART tena kapewa kazi?
Wasalimie akina Cocco chanel walipo.
Kiboko yake si ndo angekua mwenezi wa Chama taifa? Yaani mtu wa jimboni tu analetewa mkuu wa mkoa amdhibiti? Tena mkuu wa mkoa aliyekua kwenye chama ngazi ya Taifa?Lema kazi anayo, ameletewa kiboko yake
Chama kitakwenda maana ametoka Mheshimiwa Makonda lakini chama kipo na kitakwenda kuwasikilizaMimi nawaza ile mikoa ya kusini ambako aliahidi kutudi itakuwaje sasa.
Kwamba Bila Makonda Ccm ingeshindwa Arusha? Ndivyo unavyojaribu kufikiri?Makonda kashuka,ila kapelekwa Arusha strategically sana
Sijui kwanini nimejikuta nakuonea Huruma Usiki huu.Chama kitakwenda maana ametoka Mheshimiwa Makonda lakini chama kipo na kitakwenda kuwasikiliza
Mkuu vipi, umeachwa tena?Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Ofcourse hakuna maneno mengine ya kujifariji so far...Umeogopa nini kunitagi? 🤣🤣🤣
Ubunge wa viti maalum viliisha? Nikumbushe...
Njia nyororo.. sasa Arusha itapata wafatiliaji na kutakucha kwenye habari n.k. Utalii pia na mengi mengi..
Kazi iendeleee
Huruma ya niniSijui kwanini nimejikuta nakuonea Huruma Usiki huu.
Umepigwa za UsoHuruma ya nini
Kama kawaida yakoNaskia wananchi wamebubujikwa na machozi wakisherehekea pdf kutoka ikulu
Nimepigwaje ndugu yangu.Umepigwa za Uso