Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye.

Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya kustaafu bado iko mbali saaana.

Wapo wengine wanaoongea kwa kuwa kikokotoo kipya kimewagusa kwa namna moja ama nyingine.

Kama Mwanazuoni wa Hifadhi ya Jamii, Naomba nifafanue baadhi ya mambo kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu.

Kikokotoo kipya cha:
1/580 × APE x PoS x 12.5 x 33%

Na kikokotoo cha zamani cha LAPF na PSPF yaani

1/540 × LAS x PoS x 15.5 x 50%

(LAS = Last Annual Salary na PoS = Period of Service)
APE = Annual Pensionable Emoluments
1/540 = Acrual factor
15.5=Commutation Factor
50%=Commutation Rate


Usipojifunza jinsi ya vikokotoo hivyo viliundwa utashindwa kuishawishi Serikali kipi kirekebishwe na kwa nini. Ni kama unakuwa unaongea kitu usichojua.

Kusema Serikali ikulipe pesa yako yote ni ujinga ujinga mkubwa saaana ambao watumishi wa umma wenye ujinga ndiyo watapromoti hoja hii.

Vikokotoo vyote hivyo vina uzuri na ubaya wake. Kama wewe siyo mchambuzi utashabikia tu lolote bila kujua vizuri matokeo yake.

Sheria za Kikokotoo cha PSPF na LAPF kilikuwa na mapungufu meengi sana. Bahati mbaya mapungufu hayo hakuna watalaam wanaoyadadavua sasa hivi.

Wanachama waliokuwa PSPF na LAPF kikokotoo chao kilikuwa na mapungufu kibao ukiacha upande wa Kiinua mgongo tu vipengere vingine vyote havikuwa vizuri.

Kikokotoo cha wanachama waliokuwa PPF, GEPF na NSSF kilikuwa hiki hapa:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%.

(APE = Annual Pensionable Emoluments na PoS = Period of Service/Contribution)

Makundi haya ya wanachama ambao ni zaidi ya 81% ya wanachama wote wa mifuko iliyokuwepo kwao kikokotoo kipya kimewaongezea mkupuo wa mafao waliokuwa wanapata kwa 8%. Yaani iko hivi:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%

Hapo kwenye asilimia 25 kwa kikokotoo kipya wao imekuwa 33% ambayo ni ongezeko la 8%.

Sasa watumishi wa umma wote wamepewa kikokotoo kimoja bila kujali wako idara ipi.

Zamani (2004 hadi 2018) waliokuwa Serikali kuu na serikali za mitaa yaa LAPF na PSPF walikuwa wakilipwa Mkupuo Mkubwa saaana kwa Kikokotoo hiki hapa cha 1/540 × LAS x PoS x 15.5 × 50% kwa sababu kikokotoo hicho cha Serikali Kuu kilizingatia Last Month Salary

Na wale wa sekta binafsi chini ya NSSF na PPF walitumia kikokotoo kilichozingatia Wastani wa Mshahara wa miaka mitatu.

Kwa hiyo tunafanyaje? Tuchukue kikokotoo cha serikali Kuu kiwe cha wanachama wote wa sekta binafsi na umma halafu mfuko uishiwe nguvu kulipa mafao baada ya miaka 5???

Au tuchukue kikokotoo cha sekta binafsi kilichokuwa kinatumika NSSF, PPF na GEPF kiwe cha wote na kiboreshwe kidogo from 25% to 33% na mfuko uweze kujiendesha kwa miaka mingi???? Kipi bora??

Maamuzi yaliyochukuliwa na serikali mwaka 2018 yalikuwa ya kuwatazama wanachama 81% waliokuwa mifuko ya NSSF, PPF, na GEPF ili wafanyakazi wote wafanane kwenye mafao ya uzeeni.

Yaani serikali ililenga kufanya pensheni ya kila mwezi na malipo ya Mkupuo yawe na usawa pamoja na watumishi wa umma waliokuwa na kikokotoo kikubwa kwa kutazama factors za uendelevu wa mfuko mpya wa PSSSF.

Mwaka 2014 hadi 2018 wastaafu wa serikali Kuu waliokuwa chini ya PSPF walikuwa wamefikia mahali Papaya sana hadi mafao yao yalikuwa hayapatikani tena kutokana na PSPF kushindwa kujiendesha kwa sababu ya madeni makubwa ambayo serikali ilikuwa inadaiwa tangu 1999.

Watu waliokuwa wanastaafu miaka hiyo 2014 hadi 2018 walikuwa wanaambiwa wasubiri. Walisubiri saaana mpaka Mwaka 2018 December mifuko ilipounganishwa zikachukuliwa fedha za LAPF na PPF kuwalipa wastaafu waliokuwa wamekaa mtaani bila mafao kwa zaidi ya miaka 2 hadi 3 bila mafao.

Ni bahati mbaya saaana kwamba tuna wanasiasa na wanachama wanaosahau mapema tulipotoka.

USHAURI MBAYA NI HUU

Kudai Kwamba wastaafu walipwe pesa zote (100%) na waendelee na maisha yao. Huu ni ushauri mbaya saaana kuishauri serikali.

Kwamba kwa nini wastaafu wawekewe pesa za kulipwa kila mwezi kidogo kidogo? Hili ni swali la kitoto litokanalo na kutojua maana ya Society Protection

Ukisikia mtumishi wa umma anadai hataki pensheni ya kila mwezi anaomba alipwe pesa zake zote aendelee na maisha yake ujue kuwa huyo siyo mtumishi wa umma. Ni Mjasiriamali.

Na Bahati mbaya watumishi wa umma asilimia 95 siyo wajasiriamali. Ni wategemezi wa mishahara ya kila mwezi.

Akilipwa pesa yote halafu ikaisha social economic crisis itakayotokea katika jamii ya wazee itazidi ile ya wazee wa East Africa Community waliovua nguo barabarani wakidai Pension ya kila mwezi.

Ukitaka kujua utamu wa pension ya kila mwezi kabla hujashauri utaratibu wa pension ufutwe, nakuomba ukawaulize waliostaafu miaka 10 iliyopita.

Waulize kama pesa kubwa ya kikokotoo kikubwa walicholipwa 2010 mpaka leo pesa ipo?

Kawaulize Tegemeo lao kuu la pesa ya kila mwezi ni wapi? Hawa wazee ukitaka ukosane nao ondoa utaratibu wa pension ya kila mwezi.

Waulize utamu wa pension na utamu wa kiinua mgongo ni kipi kitamu zaidi.

Kawaulize wazee waliostaafu 2010 kati ya Pension na Burungutu la pesa unayopewa ukistaafu ni kipi kiongezwe kiwe kikubwa?

Waulize kati ya Pension ya kila mwezi na kiinua mgongo(gratuity) wanashauri kipi kiongezwe?.

Ukiwauliza waliostaafu miaka 10 iliyopita wao wanaomba pension iongezeke iwe kubwa saaana.

Ukiwauliza wazee wastaafu Watarajiwa kipi kiongezwe, wao wataomba kiinua mgongo ndicho kiongezwe.

Hii inatokana na kwamba ni vigumu sana mstaafu mwenyewe tarajiwa kupendekeza alipwe nini kama hajafika huko uzeeni.

Wazee waliolipwa mafao kwa kikokotoo cha LAPF na PSPF miaka 5 iliyopita asilimia 90 yao tegemeo lao kuu kwa sasa ni pension ya kila mwezi pamoja na kwamba walilipwa kikokotoo kikubwa.

Hoja nyingine inayopotoshwa ni hii kwamba mstaafu analipwa pesa fulani na nyingine inabakia kwenye Mfuko kwa ajili ya kulipwa kidogo kidogo kama pension.

Huu nao ni uongo wa Mtaani umeshageuzwa kuwa kama ukweli.

Ukweli ni kwamba Hakuna pesa inayobakia kwenye Mfuko.

Mstaafu huwa analipwa pesa zote alizochangia yeye na Mwajiri wake (5% na 15%) halafu Mfuko unaongeza nyingine kutoka kwenye uwekezaji na kisha anaanza kulipwa pension kila mwezi. Hapo unasemaje kuna pesa imebakia PSSSF au NSSF.

Ukweli ni kwamba Mstaafu akishalipwa kiinua mgongo ambacho huwa mara nyingi ni zaidi ya hata michango yake yote anaanza kulipwa Monthly Pension ambayo mara nyingi huwa ni zaidi ya 40% hadi 50% ya mshahara wake (Net pay) aliyokuwa analipwa akiwa kazini.

Ukweli ni kwamba Pension hiyo atalipwa maisha yake yote yaliyoko mbele Hata kama akiishi miaka 50 au zaidi baada ya kustaafu.

Ndugu wafanyakazi wenzangu kama tunaomba mafao makubwa tuwe tayari kuongeza uchangiaji yaani badala ya kuchangia 5% au 10% ya mishahara yetu tukubaliane kiasi kiongezwe kiwe 10% au 15% na Mwajiri atuongezee 15% au 20%

Au pia kama tukitaka mafao makubwa tukubaliane mfumo wa pension ya kila mwezi uondolewe ili kila mtu akistaafu alipwe Kiinua mgongo kama wabunge na Madiwani halafu pension isiwepo.

Au tuchague mfumo wa pension kwa wote ambapo hakuna kuchangia chochote kila mwezi na kila mwananchi akitimiza miaka 55 au 60 anaenda HAZINA kuu ya Serikali kuchukua Kiinua mgongo chake bila kujali alikuwa mwajiriwa au Mjasiriamali.

Au tuchague kuwa na Mifuko mingi ya pension na kila mfuko ujipangie mafao utakayotoa chini ya Sheria za ushindani na serikali isiingilie lolote zaidi ya kuweka Sheria na sera za kuwalinda wateja wa Skimu hizo.

Imeandikwa na
FADEMO DIRECTOR.
Social Security Practioner with 19 years of Field Experience
Rubbish
 
Kikotoo kimeletwa kuficha aibu ya serikali Kwa matumizi mabaya ya fedha za mifuko kwenye miradi isiyozalisha kama ujenzi wa majumba bila utaratibu ambayo yamefeli kuleta faida!!

Sasa wanakosa mamilioni ya kuwalipa wastaafu Kwa kikotoo Cha zamani ndio maana wastaafu wanateseka TU Kwa miaka mingi!!

Hizo formula ni blah blah tu!
 
Kwani wak

Kwani wakipewa fedha zao zote hawawezi kuendelea kuwa nazo mpaka pale umauti utakapo wakuta?
Wakizitumia zote zikaisha bado jamii itabidi kuwatunza..., ni aibu / hatari kuwa na jamii ya wazee omba omba na pia ni mzigo kwa watakaokuwa wanawatunza kipindi hicho kuhakikisha pia wanatoa pesa ya kuwatunza wazee... Biashara nyingi sio Bongo tu bali duniani 9 kati ya kumi zinazoanzishwa zinafeli ndani ya miaka mitano hivyo percentage-wise wengi wa hawa wazee watazipoteza au kutapeliwa....
Umesema habari za mfuko kukosa uwezo wa kuendelea kujiendesha,kwani muanzolishi wa huo mfuko ni mtumishi?

Aliyeuanzisha huo mfuko matarajio yake ilikuwa ni yapi na sasa anapata nini?
Mifuko hii ilianzishwa kama social security wanaofanya kazi sasa kuwachangia wazee ambao na wao siku wakizeeka watachangiwa siku wakistaafu..., ndio maana nchi kama Japana yenye ambayo ilikuwa na welfare system nzuri ya from Cradle to the Grave system zao zilipata shida baada ya wazee kuishi muda mrefu na wachangiaji kuwa wachache (yaani wazee wengi kuliko wanaowapa support) kufanya counter duniani ndio hapo unasikia watu wanaongeza umri wa watu ku-retire... All in all ni kuhakikisha Kibubu kilichopo kinawapa tufedha wazee until the day they die.....
 
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye.

Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya kustaafu bado iko mbali saaana.

Wapo wengine wanaoongea kwa kuwa kikokotoo kipya kimewagusa kwa namna moja ama nyingine.

Kama Mwanazuoni wa Hifadhi ya Jamii, Naomba nifafanue baadhi ya mambo kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu.

Kikokotoo kipya cha:
1/580 × APE x PoS x 12.5 x 33%

Na kikokotoo cha zamani cha LAPF na PSPF yaani

1/540 × LAS x PoS x 15.5 x 50%

(LAS = Last Annual Salary na PoS = Period of Service)
APE = Annual Pensionable Emoluments
1/540 = Acrual factor
15.5=Commutation Factor
50%=Commutation Rate


Usipojifunza jinsi ya vikokotoo hivyo viliundwa utashindwa kuishawishi Serikali kipi kirekebishwe na kwa nini. Ni kama unakuwa unaongea kitu usichojua.

Kusema Serikali ikulipe pesa yako yote ni ujinga ujinga mkubwa saaana ambao watumishi wa umma wenye ujinga ndiyo watapromoti hoja hii.

Vikokotoo vyote hivyo vina uzuri na ubaya wake. Kama wewe siyo mchambuzi utashabikia tu lolote bila kujua vizuri matokeo yake.

Sheria za Kikokotoo cha PSPF na LAPF kilikuwa na mapungufu meengi sana. Bahati mbaya mapungufu hayo hakuna watalaam wanaoyadadavua sasa hivi.

Wanachama waliokuwa PSPF na LAPF kikokotoo chao kilikuwa na mapungufu kibao ukiacha upande wa Kiinua mgongo tu vipengere vingine vyote havikuwa vizuri.

Kikokotoo cha wanachama waliokuwa PPF, GEPF na NSSF kilikuwa hiki hapa:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%.

(APE = Annual Pensionable Emoluments na PoS = Period of Service/Contribution)

Makundi haya ya wanachama ambao ni zaidi ya 81% ya wanachama wote wa mifuko iliyokuwepo kwao kikokotoo kipya kimewaongezea mkupuo wa mafao waliokuwa wanapata kwa 8%. Yaani iko hivi:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%

Hapo kwenye asilimia 25 kwa kikokotoo kipya wao imekuwa 33% ambayo ni ongezeko la 8%.

Sasa watumishi wa umma wote wamepewa kikokotoo kimoja bila kujali wako idara ipi.

Zamani (2004 hadi 2018) waliokuwa Serikali kuu na serikali za mitaa yaa LAPF na PSPF walikuwa wakilipwa Mkupuo Mkubwa saaana kwa Kikokotoo hiki hapa cha 1/540 × LAS x PoS x 15.5 × 50% kwa sababu kikokotoo hicho cha Serikali Kuu kilizingatia Last Month Salary

Na wale wa sekta binafsi chini ya NSSF na PPF walitumia kikokotoo kilichozingatia Wastani wa Mshahara wa miaka mitatu.

Kwa hiyo tunafanyaje? Tuchukue kikokotoo cha serikali Kuu kiwe cha wanachama wote wa sekta binafsi na umma halafu mfuko uishiwe nguvu kulipa mafao baada ya miaka 5???

Au tuchukue kikokotoo cha sekta binafsi kilichokuwa kinatumika NSSF, PPF na GEPF kiwe cha wote na kiboreshwe kidogo from 25% to 33% na mfuko uweze kujiendesha kwa miaka mingi???? Kipi bora??

Maamuzi yaliyochukuliwa na serikali mwaka 2018 yalikuwa ya kuwatazama wanachama 81% waliokuwa mifuko ya NSSF, PPF, na GEPF ili wafanyakazi wote wafanane kwenye mafao ya uzeeni.

Yaani serikali ililenga kufanya pensheni ya kila mwezi na malipo ya Mkupuo yawe na usawa pamoja na watumishi wa umma waliokuwa na kikokotoo kikubwa kwa kutazama factors za uendelevu wa mfuko mpya wa PSSSF.

Mwaka 2014 hadi 2018 wastaafu wa serikali Kuu waliokuwa chini ya PSPF walikuwa wamefikia mahali Papaya sana hadi mafao yao yalikuwa hayapatikani tena kutokana na PSPF kushindwa kujiendesha kwa sababu ya madeni makubwa ambayo serikali ilikuwa inadaiwa tangu 1999.

Watu waliokuwa wanastaafu miaka hiyo 2014 hadi 2018 walikuwa wanaambiwa wasubiri. Walisubiri saaana mpaka Mwaka 2018 December mifuko ilipounganishwa zikachukuliwa fedha za LAPF na PPF kuwalipa wastaafu waliokuwa wamekaa mtaani bila mafao kwa zaidi ya miaka 2 hadi 3 bila mafao.

Ni bahati mbaya saaana kwamba tuna wanasiasa na wanachama wanaosahau mapema tulipotoka.

USHAURI MBAYA NI HUU

Kudai Kwamba wastaafu walipwe pesa zote (100%) na waendelee na maisha yao. Huu ni ushauri mbaya saaana kuishauri serikali.

Kwamba kwa nini wastaafu wawekewe pesa za kulipwa kila mwezi kidogo kidogo? Hili ni swali la kitoto litokanalo na kutojua maana ya Society Protection

Ukisikia mtumishi wa umma anadai hataki pensheni ya kila mwezi anaomba alipwe pesa zake zote aendelee na maisha yake ujue kuwa huyo siyo mtumishi wa umma. Ni Mjasiriamali.

Na Bahati mbaya watumishi wa umma asilimia 95 siyo wajasiriamali. Ni wategemezi wa mishahara ya kila mwezi.

Akilipwa pesa yote halafu ikaisha social economic crisis itakayotokea katika jamii ya wazee itazidi ile ya wazee wa East Africa Community waliovua nguo barabarani wakidai Pension ya kila mwezi.

Ukitaka kujua utamu wa pension ya kila mwezi kabla hujashauri utaratibu wa pension ufutwe, nakuomba ukawaulize waliostaafu miaka 10 iliyopita.

Waulize kama pesa kubwa ya kikokotoo kikubwa walicholipwa 2010 mpaka leo pesa ipo?

Kawaulize Tegemeo lao kuu la pesa ya kila mwezi ni wapi? Hawa wazee ukitaka ukosane nao ondoa utaratibu wa pension ya kila mwezi.

Waulize utamu wa pension na utamu wa kiinua mgongo ni kipi kitamu zaidi.

Kawaulize wazee waliostaafu 2010 kati ya Pension na Burungutu la pesa unayopewa ukistaafu ni kipi kiongezwe kiwe kikubwa?

Waulize kati ya Pension ya kila mwezi na kiinua mgongo(gratuity) wanashauri kipi kiongezwe?.

Ukiwauliza waliostaafu miaka 10 iliyopita wao wanaomba pension iongezeke iwe kubwa saaana.

Ukiwauliza wazee wastaafu Watarajiwa kipi kiongezwe, wao wataomba kiinua mgongo ndicho kiongezwe.

Hii inatokana na kwamba ni vigumu sana mstaafu mwenyewe tarajiwa kupendekeza alipwe nini kama hajafika huko uzeeni.

Wazee waliolipwa mafao kwa kikokotoo cha LAPF na PSPF miaka 5 iliyopita asilimia 90 yao tegemeo lao kuu kwa sasa ni pension ya kila mwezi pamoja na kwamba walilipwa kikokotoo kikubwa.

Hoja nyingine inayopotoshwa ni hii kwamba mstaafu analipwa pesa fulani na nyingine inabakia kwenye Mfuko kwa ajili ya kulipwa kidogo kidogo kama pension.

Huu nao ni uongo wa Mtaani umeshageuzwa kuwa kama ukweli.

Ukweli ni kwamba Hakuna pesa inayobakia kwenye Mfuko.

Mstaafu huwa analipwa pesa zote alizochangia yeye na Mwajiri wake (5% na 15%) halafu Mfuko unaongeza nyingine kutoka kwenye uwekezaji na kisha anaanza kulipwa pension kila mwezi. Hapo unasemaje kuna pesa imebakia PSSSF au NSSF.

Ukweli ni kwamba Mstaafu akishalipwa kiinua mgongo ambacho huwa mara nyingi ni zaidi ya hata michango yake yote anaanza kulipwa Monthly Pension ambayo mara nyingi huwa ni zaidi ya 40% hadi 50% ya mshahara wake (Net pay) aliyokuwa analipwa akiwa kazini.

Ukweli ni kwamba Pension hiyo atalipwa maisha yake yote yaliyoko mbele Hata kama akiishi miaka 50 au zaidi baada ya kustaafu.

Ndugu wafanyakazi wenzangu kama tunaomba mafao makubwa tuwe tayari kuongeza uchangiaji yaani badala ya kuchangia 5% au 10% ya mishahara yetu tukubaliane kiasi kiongezwe kiwe 10% au 15% na Mwajiri atuongezee 15% au 20%

Au pia kama tukitaka mafao makubwa tukubaliane mfumo wa pension ya kila mwezi uondolewe ili kila mtu akistaafu alipwe Kiinua mgongo kama wabunge na Madiwani halafu pension isiwepo.

Au tuchague mfumo wa pension kwa wote ambapo hakuna kuchangia chochote kila mwezi na kila mwananchi akitimiza miaka 55 au 60 anaenda HAZINA kuu ya Serikali kuchukua Kiinua mgongo chake bila kujali alikuwa mwajiriwa au Mjasiriamali.

Au tuchague kuwa na Mifuko mingi ya pension na kila mfuko ujipangie mafao utakayotoa chini ya Sheria za ushindani na serikali isiingilie lolote zaidi ya kuweka Sheria na sera za kuwalinda wateja wa Skimu hizo.

Imeandikwa na
FADEMO DIRECTOR.
Social Security Practioner with 19 years of Field Experience
Swali la kujibu. Ni kwa nini hakiwahusu wabunge na Mawaziri?
 
Utumbo tu.
Expected pensioners ni proportion ndogo sana ya jamii.
Sasa serikali ndio inawajali sana hawa kuliko wasio watumishi (wakulima, wafanyabiashara), kiasi kwamba inataka iwatunzie pesa zao???

Serikali inazichukua hizo pesa, ikisingizia kuwantuzia, lakini inawekeza, na dividends haziwahusu wanachama. Si ujinga huo?

Inatengeneza taratibu za uendeshaji wa mifuko hiyo, taratibu zenyewe ni za kipigaji, na mifuko inaishiwa.

Mtoa mada unajua kabisa kuwa lengo kuu la hiyo mifuko sio welfare ya mtumishi, bali ni namna ya kumnyonga zaidi.

Kila mtu apewe chake.
Anayependa kuwekewa na serikali, awekewe, asiyetaka apewe akajue mwenyewe atakachofanya.

Vinginevyo kama ni lazima kwa watumishi wote, basi kikokotoo kitumike bila ubaguzi wa wafanyakazi wa kawaida, beki tatu, waziri au mbunge, wote watumie kikokotoo kimoja. Sheeeenzi sana!
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Nimesoma Mpaka Nusu na nimeona nisimalize maana Huwezi kushindwa kujua kuhusu Harufu ya Kitu
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Yaani wewe ni POPOMA!

Nilitegemea utatoa mfano
Wa aliyekuwa kikokotoo Cha zamani alikuwa anapata ngapi mfano amestaafu na mshahara wa basic 1,500,000

Na huyu wa kikokotoo kipya atapata ngapi
Kwa basic hiyo hiyo...


Halafu uweke pension Kila mwezi
Huyu wa zamani anapata ngapi na huyu wa kikokotoo kipya atapata ngapi
Kwa muda Gani..

Vinginevyo wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine...
Kwa kifupi wewe ni lipumbavu lenye uwezo wa kutumia mtandao
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Kwani wak

Kwani wakipewa fedha zao zote hawawezi kuendelea kuwa nazo mpaka pale umauti utakapo wakuta?

Umesema habari za mfuko kukosa uwezo wa kuendelea kujiendesha,kwani muanzolishi wa huo mfuko ni mtumishi?

Aliyeuanzisha huo mfuko matarajio yake ilikuwa ni yapi na sasa anapata nini?
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
Mimi Ni mtumishi na Nashukuru Nimebakiza miaka 8 nistaafu..
Ninao Rafiki zangu wengi sanaa (You can imagine)..

Waliostaafu najua kikokotoo vizuri sana..
Kumnyima mtumishi 50% ni Udhulumaji
 
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye.

Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya kustaafu bado iko mbali saaana.

Wapo wengine wanaoongea kwa kuwa kikokotoo kipya kimewagusa kwa namna moja ama nyingine.

Kama Mwanazuoni wa Hifadhi ya Jamii, Naomba nifafanue baadhi ya mambo kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu.

Kikokotoo kipya cha:
1/580 × APE x PoS x 12.5 x 33%

Na kikokotoo cha zamani cha LAPF na PSPF yaani

1/540 × LAS x PoS x 15.5 x 50%

(LAS = Last Annual Salary na PoS = Period of Service)
APE = Annual Pensionable Emoluments
1/540 = Acrual factor
15.5=Commutation Factor
50%=Commutation Rate


Usipojifunza jinsi ya vikokotoo hivyo viliundwa utashindwa kuishawishi Serikali kipi kirekebishwe na kwa nini. Ni kama unakuwa unaongea kitu usichojua.

Kusema Serikali ikulipe pesa yako yote ni ujinga ujinga mkubwa saaana ambao watumishi wa umma wenye ujinga ndiyo watapromoti hoja hii.

Vikokotoo vyote hivyo vina uzuri na ubaya wake. Kama wewe siyo mchambuzi utashabikia tu lolote bila kujua vizuri matokeo yake.

Sheria za Kikokotoo cha PSPF na LAPF kilikuwa na mapungufu meengi sana. Bahati mbaya mapungufu hayo hakuna watalaam wanaoyadadavua sasa hivi.

Wanachama waliokuwa PSPF na LAPF kikokotoo chao kilikuwa na mapungufu kibao ukiacha upande wa Kiinua mgongo tu vipengere vingine vyote havikuwa vizuri.

Kikokotoo cha wanachama waliokuwa PPF, GEPF na NSSF kilikuwa hiki hapa:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%.

(APE = Annual Pensionable Emoluments na PoS = Period of Service/Contribution)

Makundi haya ya wanachama ambao ni zaidi ya 81% ya wanachama wote wa mifuko iliyokuwepo kwao kikokotoo kipya kimewaongezea mkupuo wa mafao waliokuwa wanapata kwa 8%. Yaani iko hivi:

1/580 × APE x PoS x 12.5 x 25%

Hapo kwenye asilimia 25 kwa kikokotoo kipya wao imekuwa 33% ambayo ni ongezeko la 8%.

Sasa watumishi wa umma wote wamepewa kikokotoo kimoja bila kujali wako idara ipi.

Zamani (2004 hadi 2018) waliokuwa Serikali kuu na serikali za mitaa yaa LAPF na PSPF walikuwa wakilipwa Mkupuo Mkubwa saaana kwa Kikokotoo hiki hapa cha 1/540 × LAS x PoS x 15.5 × 50% kwa sababu kikokotoo hicho cha Serikali Kuu kilizingatia Last Month Salary

Na wale wa sekta binafsi chini ya NSSF na PPF walitumia kikokotoo kilichozingatia Wastani wa Mshahara wa miaka mitatu.

Kwa hiyo tunafanyaje? Tuchukue kikokotoo cha serikali Kuu kiwe cha wanachama wote wa sekta binafsi na umma halafu mfuko uishiwe nguvu kulipa mafao baada ya miaka 5???

Au tuchukue kikokotoo cha sekta binafsi kilichokuwa kinatumika NSSF, PPF na GEPF kiwe cha wote na kiboreshwe kidogo from 25% to 33% na mfuko uweze kujiendesha kwa miaka mingi???? Kipi bora??

Maamuzi yaliyochukuliwa na serikali mwaka 2018 yalikuwa ya kuwatazama wanachama 81% waliokuwa mifuko ya NSSF, PPF, na GEPF ili wafanyakazi wote wafanane kwenye mafao ya uzeeni.

Yaani serikali ililenga kufanya pensheni ya kila mwezi na malipo ya Mkupuo yawe na usawa pamoja na watumishi wa umma waliokuwa na kikokotoo kikubwa kwa kutazama factors za uendelevu wa mfuko mpya wa PSSSF.

Mwaka 2014 hadi 2018 wastaafu wa serikali Kuu waliokuwa chini ya PSPF walikuwa wamefikia mahali Papaya sana hadi mafao yao yalikuwa hayapatikani tena kutokana na PSPF kushindwa kujiendesha kwa sababu ya madeni makubwa ambayo serikali ilikuwa inadaiwa tangu 1999.

Watu waliokuwa wanastaafu miaka hiyo 2014 hadi 2018 walikuwa wanaambiwa wasubiri. Walisubiri saaana mpaka Mwaka 2018 December mifuko ilipounganishwa zikachukuliwa fedha za LAPF na PPF kuwalipa wastaafu waliokuwa wamekaa mtaani bila mafao kwa zaidi ya miaka 2 hadi 3 bila mafao.

Ni bahati mbaya saaana kwamba tuna wanasiasa na wanachama wanaosahau mapema tulipotoka.

USHAURI MBAYA NI HUU

Kudai Kwamba wastaafu walipwe pesa zote (100%) na waendelee na maisha yao. Huu ni ushauri mbaya saaana kuishauri serikali.

Kwamba kwa nini wastaafu wawekewe pesa za kulipwa kila mwezi kidogo kidogo? Hili ni swali la kitoto litokanalo na kutojua maana ya Society Protection

Ukisikia mtumishi wa umma anadai hataki pensheni ya kila mwezi anaomba alipwe pesa zake zote aendelee na maisha yake ujue kuwa huyo siyo mtumishi wa umma. Ni Mjasiriamali.

Na Bahati mbaya watumishi wa umma asilimia 95 siyo wajasiriamali. Ni wategemezi wa mishahara ya kila mwezi.

Akilipwa pesa yote halafu ikaisha social economic crisis itakayotokea katika jamii ya wazee itazidi ile ya wazee wa East Africa Community waliovua nguo barabarani wakidai Pension ya kila mwezi.

Ukitaka kujua utamu wa pension ya kila mwezi kabla hujashauri utaratibu wa pension ufutwe, nakuomba ukawaulize waliostaafu miaka 10 iliyopita.

Waulize kama pesa kubwa ya kikokotoo kikubwa walicholipwa 2010 mpaka leo pesa ipo?

Kawaulize Tegemeo lao kuu la pesa ya kila mwezi ni wapi? Hawa wazee ukitaka ukosane nao ondoa utaratibu wa pension ya kila mwezi.

Waulize utamu wa pension na utamu wa kiinua mgongo ni kipi kitamu zaidi.

Kawaulize wazee waliostaafu 2010 kati ya Pension na Burungutu la pesa unayopewa ukistaafu ni kipi kiongezwe kiwe kikubwa?

Waulize kati ya Pension ya kila mwezi na kiinua mgongo(gratuity) wanashauri kipi kiongezwe?.

Ukiwauliza waliostaafu miaka 10 iliyopita wao wanaomba pension iongezeke iwe kubwa saaana.

Ukiwauliza wazee wastaafu Watarajiwa kipi kiongezwe, wao wataomba kiinua mgongo ndicho kiongezwe.

Hii inatokana na kwamba ni vigumu sana mstaafu mwenyewe tarajiwa kupendekeza alipwe nini kama hajafika huko uzeeni.

Wazee waliolipwa mafao kwa kikokotoo cha LAPF na PSPF miaka 5 iliyopita asilimia 90 yao tegemeo lao kuu kwa sasa ni pension ya kila mwezi pamoja na kwamba walilipwa kikokotoo kikubwa.

Hoja nyingine inayopotoshwa ni hii kwamba mstaafu analipwa pesa fulani na nyingine inabakia kwenye Mfuko kwa ajili ya kulipwa kidogo kidogo kama pension.

Huu nao ni uongo wa Mtaani umeshageuzwa kuwa kama ukweli.

Ukweli ni kwamba Hakuna pesa inayobakia kwenye Mfuko.

Mstaafu huwa analipwa pesa zote alizochangia yeye na Mwajiri wake (5% na 15%) halafu Mfuko unaongeza nyingine kutoka kwenye uwekezaji na kisha anaanza kulipwa pension kila mwezi. Hapo unasemaje kuna pesa imebakia PSSSF au NSSF.

Ukweli ni kwamba Mstaafu akishalipwa kiinua mgongo ambacho huwa mara nyingi ni zaidi ya hata michango yake yote anaanza kulipwa Monthly Pension ambayo mara nyingi huwa ni zaidi ya 40% hadi 50% ya mshahara wake (Net pay) aliyokuwa analipwa akiwa kazini.

Ukweli ni kwamba Pension hiyo atalipwa maisha yake yote yaliyoko mbele Hata kama akiishi miaka 50 au zaidi baada ya kustaafu.

Ndugu wafanyakazi wenzangu kama tunaomba mafao makubwa tuwe tayari kuongeza uchangiaji yaani badala ya kuchangia 5% au 10% ya mishahara yetu tukubaliane kiasi kiongezwe kiwe 10% au 15% na Mwajiri atuongezee 15% au 20%

Au pia kama tukitaka mafao makubwa tukubaliane mfumo wa pension ya kila mwezi uondolewe ili kila mtu akistaafu alipwe Kiinua mgongo kama wabunge na Madiwani halafu pension isiwepo.

Au tuchague mfumo wa pension kwa wote ambapo hakuna kuchangia chochote kila mwezi na kila mwananchi akitimiza miaka 55 au 60 anaenda HAZINA kuu ya Serikali kuchukua Kiinua mgongo chake bila kujali alikuwa mwajiriwa au Mjasiriamali.

Au tuchague kuwa na Mifuko mingi ya pension na kila mfuko ujipangie mafao utakayotoa chini ya Sheria za ushindani na serikali isiingilie lolote zaidi ya kuweka Sheria na sera za kuwalinda wateja wa Skimu hizo.

Imeandikwa na
FADEMO DIRECTOR.
Social Security Practioner with 19 years of Field Experience
Bosi nchi hii ina wajinga wengi sana. Badala ya kutafuta ufumbuzi kwenye kuhakikisha watanzania wanapata elimu ya fedha na uwekezaji mapema minitu unakuta ina midevu inasema kikokotoo kibaya. Ukiuliza ubaya wake nini eti apewe hela zote, ukiuliza ukipewa eti nikifa niwe nimechukua hela yako, ukiukiliza je kwani ukiwa unapata kila mwezi ukifa hela yako si watapewa warithi yanasema oh mi nataka hela yangu yaani ni full ujinga mno.
 
Mstaafu mwenzio mwenye Cheo sawa na weww alikula milion 80 wew leo unaenda kuambulia mil 20 alafua anatokea mbwa mmoja anakwambia usenge wa calculator.... kunaa mtu atakulaa chumaa wazi waziii watu wa machungu sanaa na huu upuuzi unaoendeleaa.
 
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
Umejibu tofauti na ulivyoulizwa. Toa mfano halisi kama ulivyoulizwa.
 
Mimi Ni mtumishi na Nashukuru Nimebakiza miaka 8 nistaafu..
Ninao Rafiki zangu wengi sanaa (You can imagine)..

Waliostaafu najua kikokotoo vizuri sana..
Kumnyima mtumishi 50% ni Udhulumaji
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Mie huwa nashangaa watu wanachanganya mada. Baada ya kukusoma unachozungumzia ni umuhimu wa ama kulipwa fedha zote au kubakiza upewe pension.
Kwa uelewa wangu mifuko ya jamii iko kwenye kundi la bima. Unawekeza ili baadaye upate mpaka hapo maisha yatakapokuchukua.
Najiuliza, kama mtu amefanya kazi miaka 30 hakuje nga, hana shamba, hana biashara. Anawezaje kupewa fedha za mkupuo ndio aanzishe mambo hayo akiwa hana ujuzi wowote? Nadhani ni ngumu. Watu wanapewa fedha wanakuwa wehu (sio wehu wa kurukwa na akili). Wakishtuka zimeisha. Au wanaazisha tu miradi ambayo haidumu maana matumizi yanabaki yaleyale na hana usimamizi bora. Hakuna mradi watakaoanzisha utakaopata faida zaidi ya pensheni ya kila mwezi.
Ni heri pensheni wangepigania pensheni kuongezwa kuliko kulipwa fedha zote ili zikiisha wasibaki na kitu.
Jamani, nayaona nina miaka 5 baada ya kustaafu. Pensheni nzuri jamani.
Nalipongeza andiko lako.
 
Bosi nchi hii ina wajinga wengi sana. Badala ya kutafuta ufumbuzi kwenye kuhakikisha watanzania wanapata elimu ya fedha na uwekezaji mapema minitu unakuta ina midevu inasema kikokotoo kibaya. Ukiuliza ubaya wake nini eti apewe hela zote, ukiuliza ukipewa eti nikifa niwe nimechukua hela yako, ukiukiliza je kwani ukiwa unapata kila mwezi ukifa hela yako si watapewa warithi yanasema oh mi nataka hela yangu yaani ni full ujinga mno.
kwani kiongozi iyo ela ni ya kwenu au ya wanachama wenu?
 
Back
Top Bottom