NASA wajanja sana

Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.

Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo unatakiwa ufikishiwe kama mwananchi na kuna taarifa zingine hutakiwi kufikishiwa.

Ndiyo!

Hiyo ipo dunia nzima.

So hapa Tanzania kuna taarifa hutakiwi kuzipata lakini pia kuna taarifa za kidunia Tanzania haitakiwi kuzipata, sijui unaelewa hapo. Yaani Tanzania ipo chini ya mataifa fulani, ambayo maybe wanaisaidia kiuchumi na mambo mengine, sasa hao watawala kuna taarifa nyingine zinafanywa siri na hawataki Watanzania wajue. Including wabunge, mawaziri mpaka rais.

Hii ipo kila kona, hata pale Marekani kuna mambo yanafanyika ya CIA rais hatakiwi kujua, yaani unaletewa taarifa jambo lishafanyika. Kwa nini wanaficha? Kwa sababu ya usalama wa raia na mambo mengine.

Sasa tunazipataje hizi taarifa? Hizi taarifa kuna namba kadhaa kuzipata.
1. Mtu aliyefanya jambo fulani baadaye kulitoa hadharani. Mfano mzuri mtu aliyemuua Bob Marley, baadaye alijitokeza na kusema alimuua, alitumwa, akafanya kazi hiyo. So hapo tumepata taarifa kwa mhusika.

2. Hapa tunapata taarifa kwa udukuaji ama ufikaji. Kuna watu wanadukua mafaili kutoka mahali fulani na kuyaleta kwa wananchi. Unamkumbuka Snowden alivyodukua mafaili ya CIA, kijeshi na kisha kuwapa Warusi? So hawa watu wapo, wanadukua taarifa na kutuletea sisi, na sisi tunaambiana. Unashangaa Nyemo amejuaje hili na wakati yupo Dar es Salaam, ni rahisi sana kwa staili hiyo. Na wengine wanafika mahali husika, wanaona vinavyoendelea huko na kutuletea taarifa.

Okay! Sasa hapa nataka nikuambie kitu kimoja. Kuna watu wanakutana na mambo makubwa na kuyaandika kwenye vitabu, vitabu vitanunuliwa na mwisho wa siku yule mtu atachukuliwa ama kitabu kufungiwa, kwa nini? Kwa sababu ametoa taarifa ambayo haitakiwi kutolewa kwa wananchi.

Taarifa hizo zinapopatikana, sasa hapo wanakuja akina James Cameron na kuanza kutengenezea muvi kuhusu kile walichokisikia. Unashangaa kwenye muvi ya Avatar kuna mji unaitwa Pandora. Unashangaa kuna kitu kinaitwa Disney Land. Hujakaa vizuri Muvi ya Thor wanakwambia kuna mji wao unaitwa Asgard. Wakati unajiuliza nini kinaendelea, Marekani anakwambia kule Uarabuni kunaitwa Middle East.

Wakati kichwa kinauma kufikiria hayo, unaambiwa kuna katuni inaitwa Super Mario. Sasa hapa unajichokea zako unasema acha nipumzike kwa kuangalia muvi za adventure, hapo ndipo unaamua kuangalia muvi ya Harry Potter na kukutana na mji unaitwa Hogwarts. Mara mji wa Narnia unakuja kichwani, mara hivi na vile.

Unachoshindwa kujua ni kitu kimoja. Hii miji niliyoitaja hapo yote ipo katika hii dunia yetu sema huwezi kuiona kwa sababu haujaruhusiwa kuvuka lile barafu la Antaktiki kwenda kujionea kwa macho yako. Sasa wale wajanja waliosoma sana na kufuatilia, wakaigundua hii miji ipo, na imeendelea kuliko hata dunia yetu, wakaamua kuiweka kwenye muvi.

Miaka ya 80 hivi kama sikosei, kuna jamaa alipatikana pale Marekani, alikamatwa na pasipoti yake ikaangaliwa, ikagundulika alitoka kwenye nchi iitwayo sijui Tartus, sikumbuki vizuri lakini huo mji hapa katika upande wetu haupo.

CIA walivyoona ishu inaweza kushtukiwa kwa kuwa hiyo nchi ipo kwenye upande mwingine wa dunia, wakasema huyo jamaa ametoka the future, yaani hiyo nchi aliyotoka bado haijaumbwa. Kumbe ipo ila si kwa huku upande wetu.

Halafu Mungu mbona yupo poa sana. Haya mambo aliyaumba kawaida tu sema sisi binadamu tumekuja kuyazuia ili wengine wasiyapate kwa manufaa yetu.

NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.

Ukitoka kwenye phace yetu na ukaingia kwenye phace ya pili ndiyo kuna nchi kama Disney Land, Atlantis, Middle East, Wonderland, Neverland.

Ikatikea ukavuka phace hiyo ambayo nayo imezungukwa na mabarafu, unaingia kwenye phace ya tatu ambapo huko pia kuna nchi kama Pandora, The Land of Oz, Asgard, Narnia Hyrule, Westeros, Tamrier, Super Mario, Mushroom Kingdom na mingine mingi. Hapa utajiuliza mbona miji hii ushaisikia sana kwenye muvi! Ndugu yangu, hakuna siri itakayoweza kubaki siri milele.

So hizi ni taarifa ambazo wewe hutakiwi kuzipata, zimefichwa ila kuna watu ambazo walizinyakua na kuziweka hadharani. Nenda Youtube, andika hata troops in Antractic uone jinsi wanajeshi wanavyolinda huko ili mtu asiingie na kwenda upande mwingine wa dunia hii.

Nilipoanza kuyazungumza haya mambo, wengi wakaja na kusema nyemo muongo, baadaye wanakupigia simu na kukwambia: “Aiseee bro kweli! Kile ulichokisema ni sahihi nimefuatilia na kuyaona”.

Ngoja nitafute ile video ya Neil Hamstrong ambaye inasemekana alikwenda mwezini, jinsi alivyokimbia maswali alipoambiwa na watu wajuao dunia ni tambarare athibitishe kama dunia ni duara. Yeye mwenyewe kayaogopa hayo maswali.

NASA WAJANJA SANA.
Umeandika ujinga
 
unacho kisemq kipo sahih ila kilikuepo kwa wakat wake mfano iyo miji kama atlantis sjui pandora nkuongzee mingine saud arabia unaoion leo zman iliitwa jazira tul arabia tanzania unaon leo zaman iliitwa tangawanyika iran unaion zman iliitwa persian atlantis zilikua island ambazo baaz zmezama atlantis ilizama kwa maj ht ukigoogle utaona mji upo chn yte ajil mabadliko tu ya hal ya hewa so movie unazoon advntre wanaigzia bc kbao uko nyuma majin ayawz kua saiv na yule mtu wa taurus alotoka iyo nchi km pasport yake hakua mtu wa kawaid nae, sema jin hat ukigoogle utaona alikua yupo kzuizin ila bdae alitoeka akiwa selo na kumefungwa inshort acha kuzfany movie km kitu halis ni entertainmnt thit mda mwngne wanaigiza vtu halis
mfan unasema wanalind sjui usivuke kwend uko kwa maslai gn yan wafche tu tusione na watu wa kule nao wanafchwa waspaone kwetu? hy thats fyn inamana ndege aziwez kupaa had anga iyo zpo ndege za bnafs nying tuu akosekan mwamba aruke avuke iyo Bawwaabaat unayosema kwa ndege ni mambo ya conspiracy tu wajinga wachache km wew wanateka attention kwa watu then nuthng els
 
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.

Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo unatakiwa ufikishiwe kama mwananchi na kuna taarifa zingine hutakiwi kufikishiwa.

Ndiyo!

Hiyo ipo dunia nzima.

So hapa Tanzania kuna taarifa hutakiwi kuzipata lakini pia kuna taarifa za kidunia Tanzania haitakiwi kuzipata, sijui unaelewa hapo. Yaani Tanzania ipo chini ya mataifa fulani, ambayo maybe wanaisaidia kiuchumi na mambo mengine, sasa hao watawala kuna taarifa nyingine zinafanywa siri na hawataki Watanzania wajue. Including wabunge, mawaziri mpaka rais.

Hii ipo kila kona, hata pale Marekani kuna mambo yanafanyika ya CIA rais hatakiwi kujua, yaani unaletewa taarifa jambo lishafanyika. Kwa nini wanaficha? Kwa sababu ya usalama wa raia na mambo mengine.

Sasa tunazipataje hizi taarifa? Hizi taarifa kuna namba kadhaa kuzipata.
1. Mtu aliyefanya jambo fulani baadaye kulitoa hadharani. Mfano mzuri mtu aliyemuua Bob Marley, baadaye alijitokeza na kusema alimuua, alitumwa, akafanya kazi hiyo. So hapo tumepata taarifa kwa mhusika.

2. Hapa tunapata taarifa kwa udukuaji ama ufikaji. Kuna watu wanadukua mafaili kutoka mahali fulani na kuyaleta kwa wananchi. Unamkumbuka Snowden alivyodukua mafaili ya CIA, kijeshi na kisha kuwapa Warusi? So hawa watu wapo, wanadukua taarifa na kutuletea sisi, na sisi tunaambiana. Unashangaa Nyemo amejuaje hili na wakati yupo Dar es Salaam, ni rahisi sana kwa staili hiyo. Na wengine wanafika mahali husika, wanaona vinavyoendelea huko na kutuletea taarifa.

Okay! Sasa hapa nataka nikuambie kitu kimoja. Kuna watu wanakutana na mambo makubwa na kuyaandika kwenye vitabu, vitabu vitanunuliwa na mwisho wa siku yule mtu atachukuliwa ama kitabu kufungiwa, kwa nini? Kwa sababu ametoa taarifa ambayo haitakiwi kutolewa kwa wananchi.

Taarifa hizo zinapopatikana, sasa hapo wanakuja akina James Cameron na kuanza kutengenezea muvi kuhusu kile walichokisikia. Unashangaa kwenye muvi ya Avatar kuna mji unaitwa Pandora. Unashangaa kuna kitu kinaitwa Disney Land. Hujakaa vizuri Muvi ya Thor wanakwambia kuna mji wao unaitwa Asgard. Wakati unajiuliza nini kinaendelea, Marekani anakwambia kule Uarabuni kunaitwa Middle East.

Wakati kichwa kinauma kufikiria hayo, unaambiwa kuna katuni inaitwa Super Mario. Sasa hapa unajichokea zako unasema acha nipumzike kwa kuangalia muvi za adventure, hapo ndipo unaamua kuangalia muvi ya Harry Potter na kukutana na mji unaitwa Hogwarts. Mara mji wa Narnia unakuja kichwani, mara hivi na vile.

Unachoshindwa kujua ni kitu kimoja. Hii miji niliyoitaja hapo yote ipo katika hii dunia yetu sema huwezi kuiona kwa sababu haujaruhusiwa kuvuka lile barafu la Antaktiki kwenda kujionea kwa macho yako. Sasa wale wajanja waliosoma sana na kufuatilia, wakaigundua hii miji ipo, na imeendelea kuliko hata dunia yetu, wakaamua kuiweka kwenye muvi.

Miaka ya 80 hivi kama sikosei, kuna jamaa alipatikana pale Marekani, alikamatwa na pasipoti yake ikaangaliwa, ikagundulika alitoka kwenye nchi iitwayo sijui Tartus, sikumbuki vizuri lakini huo mji hapa katika upande wetu haupo.

CIA walivyoona ishu inaweza kushtukiwa kwa kuwa hiyo nchi ipo kwenye upande mwingine wa dunia, wakasema huyo jamaa ametoka the future, yaani hiyo nchi aliyotoka bado haijaumbwa. Kumbe ipo ila si kwa huku upande wetu.

Halafu Mungu mbona yupo poa sana. Haya mambo aliyaumba kawaida tu sema sisi binadamu tumekuja kuyazuia ili wengine wasiyapate kwa manufaa yetu.

NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.

Ukitoka kwenye phace yetu na ukaingia kwenye phace ya pili ndiyo kuna nchi kama Disney Land, Atlantis, Middle East, Wonderland, Neverland.

Ikatikea ukavuka phace hiyo ambayo nayo imezungukwa na mabarafu, unaingia kwenye phace ya tatu ambapo huko pia kuna nchi kama Pandora, The Land of Oz, Asgard, Narnia Hyrule, Westeros, Tamrier, Super Mario, Mushroom Kingdom na mingine mingi. Hapa utajiuliza mbona miji hii ushaisikia sana kwenye muvi! Ndugu yangu, hakuna siri itakayoweza kubaki siri milele.

So hizi ni taarifa ambazo wewe hutakiwi kuzipata, zimefichwa ila kuna watu ambazo walizinyakua na kuziweka hadharani. Nenda Youtube, andika hata troops in Antractic uone jinsi wanajeshi wanavyolinda huko ili mtu asiingie na kwenda upande mwingine wa dunia hii.

Nilipoanza kuyazungumza haya mambo, wengi wakaja na kusema nyemo muongo, baadaye wanakupigia simu na kukwambia: “Aiseee bro kweli! Kile ulichokisema ni sahihi nimefuatilia na kuyaona”.

Ngoja nitafute ile video ya Neil Hamstrong ambaye inasemekana alikwenda mwezini, jinsi alivyokimbia maswali alipoambiwa na watu wajuao dunia ni tambarare athibitishe kama dunia ni duara. Yeye mwenyewe kayaogopa hayo maswali.

NASA WAJANJA SANA.
Mada yako ina flaw moja mbaya, NASA mara CIA mara vitabu. Yaani haina muunganiko.
Tanzania mna siri gani? CIA ni intelligence agencies kama zingine tu, wanaoperate under ODNI, na anakua appointed na rais. Sasa rais kwanini asijue kinachoendelea ?
Mwishowe hizo ni conspiracy theory acha kuangalia too much movies man
 
unacho kisemq kipo sahih ila kilikuepo kwa wakat wake mfano iyo miji kama atlantis sjui pandora nkuongzee mingine saud arabia unaoion leo zman iliitwa jazira tul arabia tanzania unaon leo zaman iliitwa tangawanyika iran unaion zman iliitwa persian atlantis zilikua island ambazo baaz zmezama atlantis ilizama kwa maj ht ukigoogle utaona mji upo chn yte ajil mabadliko tu ya hal ya hewa so movie unazoon advntre wanaigzia bc kbao uko nyuma majin ayawz kua saiv na yule mtu wa taurus alotoka iyo nchi km pasport yake hakua mtu wa kawaid nae, sema jin hat ukigoogle utaona alikua yupo kzuizin ila bdae alitoeka akiwa selo na kumefungwa inshort acha kuzfany movie km kitu halis ni entertainmnt thit mda mwngne wanaigiza vtu halis
mfan unasema wanalind sjui usivuke kwend uko kwa maslai gn yan wafche tu tusione na watu wa kule nao wanafchwa waspaone kwetu? hy thats fyn inamana ndege aziwez kupaa had anga iyo zpo ndege za bnafs nying tuu akosekan mwamba aruke avuke iyo Bawwaabaat unayosema kwa ndege ni mambo ya conspiracy tu wajinga wachache km wew wanateka attention kwa watu then nuthng els
Ujifunze kuweka alama za mitajo mkuu,
 
katika Idadi yetu ya million 60,kuna vijana kama hawa millioni 5.
Yani huyu kama kwenye jina la kura za Urais likawekwa la SUPER MARIO ,atampigia kura.

Usikute yupo serikalini huyu na ana cheo cha kutoa maamuzi.

Aya ,tukutane PANDORA.
 
Mjomba mwanzo nilikuwa nakuelewa lakini baadae nikagundua kwamba kama siyo muvi zimekuharibu basi amka hapo ili ndoto yako hiyo isije kusababisha mengine ukaumbuka hapo
 
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.

Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo unatakiwa ufikishiwe kama mwananchi na kuna taarifa zingine hutakiwi kufikishiwa.

Ndiyo!

Hiyo ipo dunia nzima.

So hapa Tanzania kuna taarifa hutakiwi kuzipata lakini pia kuna taarifa za kidunia Tanzania haitakiwi kuzipata, sijui unaelewa hapo. Yaani Tanzania ipo chini ya mataifa fulani, ambayo maybe wanaisaidia kiuchumi na mambo mengine, sasa hao watawala kuna taarifa nyingine zinafanywa siri na hawataki Watanzania wajue. Including wabunge, mawaziri mpaka rais.

Hii ipo kila kona, hata pale Marekani kuna mambo yanafanyika ya CIA rais hatakiwi kujua, yaani unaletewa taarifa jambo lishafanyika. Kwa nini wanaficha? Kwa sababu ya usalama wa raia na mambo mengine.

Sasa tunazipataje hizi taarifa? Hizi taarifa kuna namba kadhaa kuzipata.
1. Mtu aliyefanya jambo fulani baadaye kulitoa hadharani. Mfano mzuri mtu aliyemuua Bob Marley, baadaye alijitokeza na kusema alimuua, alitumwa, akafanya kazi hiyo. So hapo tumepata taarifa kwa mhusika.

2. Hapa tunapata taarifa kwa udukuaji ama ufikaji. Kuna watu wanadukua mafaili kutoka mahali fulani na kuyaleta kwa wananchi. Unamkumbuka Snowden alivyodukua mafaili ya CIA, kijeshi na kisha kuwapa Warusi? So hawa watu wapo, wanadukua taarifa na kutuletea sisi, na sisi tunaambiana. Unashangaa Nyemo amejuaje hili na wakati yupo Dar es Salaam, ni rahisi sana kwa staili hiyo. Na wengine wanafika mahali husika, wanaona vinavyoendelea huko na kutuletea taarifa.

Okay! Sasa hapa nataka nikuambie kitu kimoja. Kuna watu wanakutana na mambo makubwa na kuyaandika kwenye vitabu, vitabu vitanunuliwa na mwisho wa siku yule mtu atachukuliwa ama kitabu kufungiwa, kwa nini? Kwa sababu ametoa taarifa ambayo haitakiwi kutolewa kwa wananchi.

Taarifa hizo zinapopatikana, sasa hapo wanakuja akina James Cameron na kuanza kutengenezea muvi kuhusu kile walichokisikia. Unashangaa kwenye muvi ya Avatar kuna mji unaitwa Pandora. Unashangaa kuna kitu kinaitwa Disney Land. Hujakaa vizuri Muvi ya Thor wanakwambia kuna mji wao unaitwa Asgard. Wakati unajiuliza nini kinaendelea, Marekani anakwambia kule Uarabuni kunaitwa Middle East.

Wakati kichwa kinauma kufikiria hayo, unaambiwa kuna katuni inaitwa Super Mario. Sasa hapa unajichokea zako unasema acha nipumzike kwa kuangalia muvi za adventure, hapo ndipo unaamua kuangalia muvi ya Harry Potter na kukutana na mji unaitwa Hogwarts. Mara mji wa Narnia unakuja kichwani, mara hivi na vile.

Unachoshindwa kujua ni kitu kimoja. Hii miji niliyoitaja hapo yote ipo katika hii dunia yetu sema huwezi kuiona kwa sababu haujaruhusiwa kuvuka lile barafu la Antaktiki kwenda kujionea kwa macho yako. Sasa wale wajanja waliosoma sana na kufuatilia, wakaigundua hii miji ipo, na imeendelea kuliko hata dunia yetu, wakaamua kuiweka kwenye muvi.

Miaka ya 80 hivi kama sikosei, kuna jamaa alipatikana pale Marekani, alikamatwa na pasipoti yake ikaangaliwa, ikagundulika alitoka kwenye nchi iitwayo sijui Tartus, sikumbuki vizuri lakini huo mji hapa katika upande wetu haupo.

CIA walivyoona ishu inaweza kushtukiwa kwa kuwa hiyo nchi ipo kwenye upande mwingine wa dunia, wakasema huyo jamaa ametoka the future, yaani hiyo nchi aliyotoka bado haijaumbwa. Kumbe ipo ila si kwa huku upande wetu.

Halafu Mungu mbona yupo poa sana. Haya mambo aliyaumba kawaida tu sema sisi binadamu tumekuja kuyazuia ili wengine wasiyapate kwa manufaa yetu.

NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.

Ukitoka kwenye phace yetu na ukaingia kwenye phace ya pili ndiyo kuna nchi kama Disney Land, Atlantis, Middle East, Wonderland, Neverland.

Ikatikea ukavuka phace hiyo ambayo nayo imezungukwa na mabarafu, unaingia kwenye phace ya tatu ambapo huko pia kuna nchi kama Pandora, The Land of Oz, Asgard, Narnia Hyrule, Westeros, Tamrier, Super Mario, Mushroom Kingdom na mingine mingi. Hapa utajiuliza mbona miji hii ushaisikia sana kwenye muvi! Ndugu yangu, hakuna siri itakayoweza kubaki siri milele.

So hizi ni taarifa ambazo wewe hutakiwi kuzipata, zimefichwa ila kuna watu ambazo walizinyakua na kuziweka hadharani. Nenda Youtube, andika hata troops in Antractic uone jinsi wanajeshi wanavyolinda huko ili mtu asiingie na kwenda upande mwingine wa dunia hii.

Nilipoanza kuyazungumza haya mambo, wengi wakaja na kusema nyemo muongo, baadaye wanakupigia simu na kukwambia: “Aiseee bro kweli! Kile ulichokisema ni sahihi nimefuatilia na kuyaona”.

Ngoja nitafute ile video ya Neil Hamstrong ambaye inasemekana alikwenda mwezini, jinsi alivyokimbia maswali alipoambiwa na watu wajuao dunia ni tambarare athibitishe kama dunia ni duara. Yeye mwenyewe kayaogopa hayo maswali.

NASA WAJANJA SANA.
Umelewa?
 
Aliye elewa anielezee kwa ufupi 🙏🏻
Anamaanisha sisi Waafrica is empty. Kila kitu tunawategemea Marekani na NASA watuvumbulie. Halafu tunaanza kuwalaumu kwa nini hawaweki wazi walichovumbua. Mwandishi hajisumbui kujiuliza kwa nini na wao wasiwe advanced,mkavumbua wa kwanza.
(Japo hajasema)
 
Back
Top Bottom