Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,124
- 94,400
NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.
Hapa panahitaji visheti vya kutosha kuweza kumaliza hili birika la kahawa...