NASA wajanja sana

jamaikatz

Member
Jul 11, 2023
51
132
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.

Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo unatakiwa ufikishiwe kama mwananchi na kuna taarifa zingine hutakiwi kufikishiwa.

Ndiyo!

Hiyo ipo dunia nzima.

So hapa Tanzania kuna taarifa hutakiwi kuzipata lakini pia kuna taarifa za kidunia Tanzania haitakiwi kuzipata, sijui unaelewa hapo. Yaani Tanzania ipo chini ya mataifa fulani, ambayo maybe wanaisaidia kiuchumi na mambo mengine, sasa hao watawala kuna taarifa nyingine zinafanywa siri na hawataki Watanzania wajue. Including wabunge, mawaziri mpaka rais.

Hii ipo kila kona, hata pale Marekani kuna mambo yanafanyika ya CIA rais hatakiwi kujua, yaani unaletewa taarifa jambo lishafanyika. Kwa nini wanaficha? Kwa sababu ya usalama wa raia na mambo mengine.

Sasa tunazipataje hizi taarifa? Hizi taarifa kuna namba kadhaa kuzipata.
1. Mtu aliyefanya jambo fulani baadaye kulitoa hadharani. Mfano mzuri mtu aliyemuua Bob Marley, baadaye alijitokeza na kusema alimuua, alitumwa, akafanya kazi hiyo. So hapo tumepata taarifa kwa mhusika.

2. Hapa tunapata taarifa kwa udukuaji ama ufikaji. Kuna watu wanadukua mafaili kutoka mahali fulani na kuyaleta kwa wananchi. Unamkumbuka Snowden alivyodukua mafaili ya CIA, kijeshi na kisha kuwapa Warusi? So hawa watu wapo, wanadukua taarifa na kutuletea sisi, na sisi tunaambiana. Unashangaa Nyemo amejuaje hili na wakati yupo Dar es Salaam, ni rahisi sana kwa staili hiyo. Na wengine wanafika mahali husika, wanaona vinavyoendelea huko na kutuletea taarifa.

Okay! Sasa hapa nataka nikuambie kitu kimoja. Kuna watu wanakutana na mambo makubwa na kuyaandika kwenye vitabu, vitabu vitanunuliwa na mwisho wa siku yule mtu atachukuliwa ama kitabu kufungiwa, kwa nini? Kwa sababu ametoa taarifa ambayo haitakiwi kutolewa kwa wananchi.

Taarifa hizo zinapopatikana, sasa hapo wanakuja akina James Cameron na kuanza kutengenezea muvi kuhusu kile walichokisikia. Unashangaa kwenye muvi ya Avatar kuna mji unaitwa Pandora. Unashangaa kuna kitu kinaitwa Disney Land. Hujakaa vizuri Muvi ya Thor wanakwambia kuna mji wao unaitwa Asgard. Wakati unajiuliza nini kinaendelea, Marekani anakwambia kule Uarabuni kunaitwa Middle East.

Wakati kichwa kinauma kufikiria hayo, unaambiwa kuna katuni inaitwa Super Mario. Sasa hapa unajichokea zako unasema acha nipumzike kwa kuangalia muvi za adventure, hapo ndipo unaamua kuangalia muvi ya Harry Potter na kukutana na mji unaitwa Hogwarts. Mara mji wa Narnia unakuja kichwani, mara hivi na vile.

Unachoshindwa kujua ni kitu kimoja. Hii miji niliyoitaja hapo yote ipo katika hii dunia yetu sema huwezi kuiona kwa sababu haujaruhusiwa kuvuka lile barafu la Antaktiki kwenda kujionea kwa macho yako. Sasa wale wajanja waliosoma sana na kufuatilia, wakaigundua hii miji ipo, na imeendelea kuliko hata dunia yetu, wakaamua kuiweka kwenye muvi.

Miaka ya 80 hivi kama sikosei, kuna jamaa alipatikana pale Marekani, alikamatwa na pasipoti yake ikaangaliwa, ikagundulika alitoka kwenye nchi iitwayo sijui Tartus, sikumbuki vizuri lakini huo mji hapa katika upande wetu haupo.

CIA walivyoona ishu inaweza kushtukiwa kwa kuwa hiyo nchi ipo kwenye upande mwingine wa dunia, wakasema huyo jamaa ametoka the future, yaani hiyo nchi aliyotoka bado haijaumbwa. Kumbe ipo ila si kwa huku upande wetu.

Halafu Mungu mbona yupo poa sana. Haya mambo aliyaumba kawaida tu sema sisi binadamu tumekuja kuyazuia ili wengine wasiyapate kwa manufaa yetu.

NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.

Ukitoka kwenye phace yetu na ukaingia kwenye phace ya pili ndiyo kuna nchi kama Disney Land, Atlantis, Middle East, Wonderland, Neverland.

Ikatikea ukavuka phace hiyo ambayo nayo imezungukwa na mabarafu, unaingia kwenye phace ya tatu ambapo huko pia kuna nchi kama Pandora, The Land of Oz, Asgard, Narnia Hyrule, Westeros, Tamrier, Super Mario, Mushroom Kingdom na mingine mingi. Hapa utajiuliza mbona miji hii ushaisikia sana kwenye muvi! Ndugu yangu, hakuna siri itakayoweza kubaki siri milele.

So hizi ni taarifa ambazo wewe hutakiwi kuzipata, zimefichwa ila kuna watu ambazo walizinyakua na kuziweka hadharani. Nenda Youtube, andika hata troops in Antractic uone jinsi wanajeshi wanavyolinda huko ili mtu asiingie na kwenda upande mwingine wa dunia hii.

Nilipoanza kuyazungumza haya mambo, wengi wakaja na kusema nyemo muongo, baadaye wanakupigia simu na kukwambia: โ€œAiseee bro kweli! Kile ulichokisema ni sahihi nimefuatilia na kuyaonaโ€.

Ngoja nitafute ile video ya Neil Hamstrong ambaye inasemekana alikwenda mwezini, jinsi alivyokimbia maswali alipoambiwa na watu wajuao dunia ni tambarare athibitishe kama dunia ni duara. Yeye mwenyewe kayaogopa hayo maswali.

NASA WAJANJA SANA.
 
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.

Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo unatakiwa ufikishiwe kama mwananchi na kuna taarifa zingine hutakiwi kufikishiwa.

Ndiyo!

Hiyo ipo dunia nzima.

So hapa Tanzania kuna taarifa hutakiwi kuzipata lakini pia kuna taarifa za kidunia Tanzania haitakiwi kuzipata, sijui unaelewa hapo. Yaani Tanzania ipo chini ya mataifa fulani, ambayo maybe wanaisaidia kiuchumi na mambo mengine, sasa hao watawala kuna taarifa nyingine zinafanywa siri na hawataki Watanzania wajue. Including wabunge, mawaziri mpaka rais.

Hii ipo kila kona, hata pale Marekani kuna mambo yanafanyika ya CIA rais hatakiwi kujua, yaani unaletewa taarifa jambo lishafanyika. Kwa nini wanaficha? Kwa sababu ya usalama wa raia na mambo mengine.

Sasa tunazipataje hizi taarifa? Hizi taarifa kuna namba kadhaa kuzipata.
1. Mtu aliyefanya jambo fulani baadaye kulitoa hadharani. Mfano mzuri mtu aliyemuua Bob Marley, baadaye alijitokeza na kusema alimuua, alitumwa, akafanya kazi hiyo. So hapo tumepata taarifa kwa mhusika.

2. Hapa tunapata taarifa kwa udukuaji ama ufikaji. Kuna watu wanadukua mafaili kutoka mahali fulani na kuyaleta kwa wananchi. Unamkumbuka Snowden alivyodukua mafaili ya CIA, kijeshi na kisha kuwapa Warusi? So hawa watu wapo, wanadukua taarifa na kutuletea sisi, na sisi tunaambiana. Unashangaa Nyemo amejuaje hili na wakati yupo Dar es Salaam, ni rahisi sana kwa staili hiyo. Na wengine wanafika mahali husika, wanaona vinavyoendelea huko na kutuletea taarifa.

Okay! Sasa hapa nataka nikuambie kitu kimoja. Kuna watu wanakutana na mambo makubwa na kuyaandika kwenye vitabu, vitabu vitanunuliwa na mwisho wa siku yule mtu atachukuliwa ama kitabu kufungiwa, kwa nini? Kwa sababu ametoa taarifa ambayo haitakiwi kutolewa kwa wananchi.

Taarifa hizo zinapopatikana, sasa hapo wanakuja akina James Cameron na kuanza kutengenezea muvi kuhusu kile walichokisikia. Unashangaa kwenye muvi ya Avatar kuna mji unaitwa Pandora. Unashangaa kuna kitu kinaitwa Disney Land. Hujakaa vizuri Muvi ya Thor wanakwambia kuna mji wao unaitwa Asgard. Wakati unajiuliza nini kinaendelea, Marekani anakwambia kule Uarabuni kunaitwa Middle East.

Wakati kichwa kinauma kufikiria hayo, unaambiwa kuna katuni inaitwa Super Mario. Sasa hapa unajichokea zako unasema acha nipumzike kwa kuangalia muvi za adventure, hapo ndipo unaamua kuangalia muvi ya Harry Potter na kukutana na mji unaitwa Hogwarts. Mara mji wa Narnia unakuja kichwani, mara hivi na vile.

Unachoshindwa kujua ni kitu kimoja. Hii miji niliyoitaja hapo yote ipo katika hii dunia yetu sema huwezi kuiona kwa sababu haujaruhusiwa kuvuka lile barafu la Antaktiki kwenda kujionea kwa macho yako. Sasa wale wajanja waliosoma sana na kufuatilia, wakaigundua hii miji ipo, na imeendelea kuliko hata dunia yetu, wakaamua kuiweka kwenye muvi.

Miaka ya 80 hivi kama sikosei, kuna jamaa alipatikana pale Marekani, alikamatwa na pasipoti yake ikaangaliwa, ikagundulika alitoka kwenye nchi iitwayo sijui Tartus, sikumbuki vizuri lakini huo mji hapa katika upande wetu haupo.

CIA walivyoona ishu inaweza kushtukiwa kwa kuwa hiyo nchi ipo kwenye upande mwingine wa dunia, wakasema huyo jamaa ametoka the future, yaani hiyo nchi aliyotoka bado haijaumbwa. Kumbe ipo ila si kwa huku upande wetu.

Halafu Mungu mbona yupo poa sana. Haya mambo aliyaumba kawaida tu sema sisi binadamu tumekuja kuyazuia ili wengine wasiyapate kwa manufaa yetu.

NASA wanajua kuna sehemu inaitwa Bawwaabaat (Unaweza kugoogle) hiyo ndiyo sehemu ambayo haina barafu na ina mlango wa kuingia kwenye huo ulimwengu mwingine. Yaani si tumezungukwa na duara la barafu ambalo linakontroo bahari zatu, sasa kuna sehemu mlango mkubwa ambao hauna barafu ambayo ndiyo hutumika kwenda kwenye baadhi ya hizo nchi nilizokutajia. Ila huwezi kwenda kwa sababu tayari kuna ulinzi, ukionekana huko ni kupigwa risasi tu, na hakuna kesi.

Ukitoka kwenye phace yetu na ukaingia kwenye phace ya pili ndiyo kuna nchi kama Disney Land, Atlantis, Middle East, Wonderland, Neverland.

Ikatikea ukavuka phace hiyo ambayo nayo imezungukwa na mabarafu, unaingia kwenye phace ya tatu ambapo huko pia kuna nchi kama Pandora, The Land of Oz, Asgard, Narnia Hyrule, Westeros, Tamrier, Super Mario, Mushroom Kingdom na mingine mingi. Hapa utajiuliza mbona miji hii ushaisikia sana kwenye muvi! Ndugu yangu, hakuna siri itakayoweza kubaki siri milele.

So hizi ni taarifa ambazo wewe hutakiwi kuzipata, zimefichwa ila kuna watu ambazo walizinyakua na kuziweka hadharani. Nenda Youtube, andika hata troops in Antractic uone jinsi wanajeshi wanavyolinda huko ili mtu asiingie na kwenda upande mwingine wa dunia hii.

Nilipoanza kuyazungumza haya mambo, wengi wakaja na kusema nyemo muongo, baadaye wanakupigia simu na kukwambia: โ€œAiseee bro kweli! Kile ulichokisema ni sahihi nimefuatilia na kuyaonaโ€.

Ngoja nitafute ile video ya Neil Hamstrong ambaye inasemekana alikwenda mwezini, jinsi alivyokimbia maswali alipoambiwa na watu wajuao dunia ni tambarare athibitishe kama dunia ni duara. Yeye mwenyewe kayaogopa hayo maswali.

NASA WAJANJA SANA.
MBONA MARUDIO YA HII THREAD

Mhaya

 
Kwa mara ya kwanza naona jamaa ume toa comment cool kabisa...
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ .
Kuwa hivo hivo mkuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Eh itakuwa umenichanganya mkuu, mbona mm cjawah kutoa harsh comment
 
Sio harsh comment mkuu .
Ila kuna comment unatoaga yaani mtu unawaza mara mbili mbili hivi why ka comment hivi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Unasema au jamaa anatumia mjani.
Hapana Bhana, labla kama hy mada iwe ya kijinga hvy na Mm ntajibu kijinga hvy hvy.
 
Hapana Bhana, labla kama hy mada iwe ya kijinga hvy na Mm ntajibu kijinga hvy hvy.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Sawa sawa mkuu...
Mara nyingi huwa nakalili tu kuna comment nikiona najua ni nani...๐Ÿ˜‚
 
Huyu ni nyemo analeta conspiracy theory kwa vitu vilivyokuwa proved ,satellites zilivyo nyingi ivyo na dunia ilivyoendelea kwa technologia bado unakuja na hoja ya kijinga karne hii dunia iko flat?,huku ni kukosa maarifa
 
Back
Top Bottom