Kwa shambulio hili la Israel basi vita baina yao ndio basi. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,471
11,454
Lengo halisi la Israel inaonekana ni Rafah na ile kurusha droni tatu Iran ambazo zimedunguliwa ilikuwa ni kuzubaisha ulimwengu lengo halisi likiwa ni kuingia Rafah ikijua Iran haitaiuliza kitu.

Huku watu wamecharuka kujadili shambulio la Israel lililotangazwa na US kwa upande wake Israel ndio imeongeza kasi ya kuishambulia Rafah.

Israel imejua ikiishambulia Iran kweli basi madhara kwake yatakuwa makubwa sana kama mfano uliotolewa na Iran hapo majuzi.Ama kwa upande wa Rafah imejiona iko huru kwenda kufanya maangamizi bila upinzani mkubwa kama ambavyo imefanya kwa miezi 6 iliyopita.

Kama ni upinzani basi itakuwa ni ule wa kimiujiza kama ambavyo pia umejitokeza katika kipindi hicho cha miezi sita kililichotarajiwa kuwa cha wiki chache tu kwa vile Hamas hawana silaha kali kama za Israel
 
Mkuu, ni vyema tukaendelea kuombea kusitokee maafa zaidi, tukisema hakujatokea lolote kule Iran ni kujaribu kujidanganya kwamba technology haipo na haifanyi kazi, hilo ni moja wapo la ghala la siraha lililolipuliwa na ndege vita ya kiyahudi huko Iran
1713522437347.jpg
 
Mbona jamaa yako ndiyo hana akili! Anaokoteza picha za zamani mtandaoni anafikiri wote ni wajinga kama yeye.
You will never know what happened yesterday in Iran: its all speculations.


🇮🇱 After the yesterday Israeli attack on Iran, people who never in their life read a book on how Israel operates for the last 50 years, yet again they start with the see how foolish the attack was Etc.....


Here are some facts so you don't look like a moron when you talk in front of people who know.....


The way Israel attacks major enemies for the last 50+ years, is exactly the reason why, the Mossad is in every action film and TV show, you can see it a bit from yesterdays attack;
🎯Can someone say what was attacked?
🎯Can someone say how they attacked?
🎯Can someone say how big it was?
The reason why no one can answer this questions with facts and not speculations is, because Israel will never ever talk, and Iran from shame will never admit,
for all you know it might be that 3 nuclear reactors are missing, or 3 army bases, or nothing, the point is that "YOU WILL NEVER KNOW", and everyone else is just speculating based on his hate or love to Israel.


Its not the first time they do it like this.


In 1981, Israel carried out a pre-emptive airstrike on the Osirak nuclear reactor near Baghdad, Iraq. Codenamed "Operation Opera," the strike involved eight F-16 fighter jets accompanied by six F-15 escort planes. The reactor, which Israel believed was being used to develop nuclear weapons, was heavily damaged in the attack, effectively ruining Iraq's nuclear program.


Similarly, in 2007, Israel conducted a covert airstrike on a suspected nuclear facility in northeastern Syria. This operation, known as "Operation Orchard," targeted the Al-Kibar facility, which was allegedly being built with North Korean assistance to produce plutonium for nuclear weapons. Israeli F-15 and F-16 fighter jets reportedly penetrated Syrian airspace, striking the facility with precision-guided bombs. The strike shot down Syria's nuclear ambitions.


Following the airstrikes on the nuclear facilities in Iraq and Syria, neither country officially claimed responsibility for the attacks. Israel maintained a policy of ambiguity regarding its involvement in such operations, neither confirming nor denying its role.


In the case of the Osirak reactor in Iraq, despite widespread speculation, Israel did not publicly acknowledge its responsibility for the strike. Iraq, under Saddam Hussein's regime, was too embarrassed to admit the vulnerability of its nuclear program to such an attack, and instead, blamed Iran and its allies.


Similarly, after the bombing of the Al-Kibar facility in Syria, there was no official confirmation of Israeli involvement. The Syrian government, led by Bashar al-Assad, remained silent on the matter, possibly due to embarrassment over the apparent breach of its air defenses and the exposure of its covert nuclear ambitions.


🎯YOU WILL NEVER KNOW WHAT HAPPENED🎯
 
Mkuu, ni vyema tukaendelea kuombea kusitokee maafa zaidi, tukisema hakujatokea lolote kule Iran ni kujaribu kujidanganya kwamba technology haipo na haifanyi kazi, hilo ni moja wapo la ghala la siraha lililolipuliwa na ndege vita ya kiyahudi huko Iran
View attachment 2968389
Hapa Ni Syria acha Kudanganya watu. Hii ni Oil REFINERY YA SYRIA
 
Hili nimelisema sana kwenye nyuzi nyingi humu
Hakuna vita inayoweza kutokea bali kutunishiana misuli tu kidogo

Ukiamua vita ujue kuna madhara ya kiuchumi na hakuna nchi duniani iliyoshinda vita bila maumivu

Kama kupigana basi India na Pakistan wangezipiga zamani sana lakini huwa tunaona wanauwana walinzi tu mpakani

Halafu maisha yanaendelea
Vita ni Africa tu ndio wasiokuwa na akili
 
Mashirika ya habari yanayoeleweka ulimwenguni yameripoti uwepo wa mashambulizi kwenye nchi tatu, Iran, Syria na Iraq.

Huku naona wasiojielewa wanakuja na taarifa za vyombo vya habari vya Iran kukanusha, hivi mlitegemea Iran waseme wamepigwa?

Akili zenu mnazielewa wenyewe. Issue hapo sio kutunishiana misuli, ni kupigana, Iran kapiga zikadunguliwa, Israel akajibu kwa kushambulia nchi tatu.

Ndio maana hao kina Iraq wameamua kujinyamazia hawatai kubisha yawakute makubwa zaidi, Iran kama wanajiweza kazi kwao...

Niko zangu huku Tz sitaki unafiki wa kusema wakubwa wakipigana wadogo tunaumia, kwani sisi tuna raha gani hapa kwetu mpaka tuogope kuumizwa na vita vya nje? Tumeshazoea nauli za daladala kupanda hata kama bei ya mafuta ikishuka, sitaki unafiki, Iran na Israel wapigane tu.
 
Lengo halisi la Israel inaonekana ni Rafah na ile kurusha droni tatu Iran ambazo zimedunguliwa ilikuwa ni kuzubaisha ulimwengu lengo halisi likiwa ni kuingia Rafah ikijua Iran haitaiuliza kitu.

Huku watu wamecharuka kujadili shambulio la Israel lililotangazwa na US kwa upande wake Israel ndio imeongeza kasi ya kuishambulia Rafah.

Israel imejua ikiishambulia Iran kweli basi madhara kwake yatakuwa makubwa sana kama mfano uliotolewa na Iran hapo majuzi.Ama kwa upande wa Rafah imejiona iko huru kwenda kufanya maangamizi bila upinzani mkubwa kama ambavyo imefanya kwa miezi 6 iliyopita.

Kama ni upinzani basi itakuwa ni ule wa kimiujiza kama ambavyo pia umejitokeza katika kipindi hicho cha miezi sita kililichotarajiwa kuwa cha wiki chache tu kwa vile Hamas hawana silaha kali kama za IsAlipll
Unaweza kutuonesha makombora yaliyodunguliwa?
 
Mashirika ya habari yanayoeleweka ulimwenguni yameripoti uwepo wa mashambulizi kwenye nchi tatu, Iran, Syria na Iraq.

Huku naona wasiojielewa wanakuja na taarifa za vyombo vya habari vya Iran kukanusha, hivi mlitegemea Iran waseme wamepigwa?

Akili zenu mnazielewa wenyewe. Issue hapo sio kutunishiana misuli, ni kupigana, Iran kapiga zikadunguliwa, Israel akajibu kwa kushambulia nchi tatu.

Ndio maana hao kina Iraq wameamua kujinyamazia hawatai kubisha yawakute makubwa zaidi, Iran kama wanajiweza kazi kwao...

Niko zangu huku Tz sitaki unafiki wa kusema wakubwa wakipigana wadogo tunaumia, kwani sisi tuna raha gani hapa kwetu mpaka tuogope kuumizwa na vita vya nje? Tumeshazoea nauli za daladala kupanda hata kama bei ya mafuta ikishuka, sitaki unafiki, Iran na Israel wapigane tu.
Shirika la habari la Fars ambalo liko ndani ya Iran na hayo ya nje yapi ya kuaminika zaidi.
 
Back
Top Bottom