Kugongana kwa mabasi Sauli na New Force lilikuwa jambo la Muda tu

Sema 80 % ya abiria wanaopanda hzo kampun tarifa zake wanazo ndio yan abiria wenyewe nao wanapenda mwendo wa ngiri mkia juu mana bus inachukua labda abiria 53 au 57 sasa kupata vichaa 50 wanopenda mambio mbona simpo.. ndio mana unaona ukingia humo husikii malalamiko abiria wao karibia wote wanazi....!
 
Sema 80 % ya abiria wanaopanda hzo kampun tarifa zake wanazo ndio yan abiria wenyewe nao wanapenda mwendo wa ngiri mkia juu mana bus inachukua labda abiria 53 au 57 sasa kupata vichaa 50 wanopenda mambio mbona simpo.. ndio mana unaona ukingia humo husikii malalamiko abiria wao karibia wote wanazi....!
Wewe uwe hodari soma hii hapa juu, huyo ni mtu mwingine
 
Mabasi haya yamegongana usiku wa kuamkia leo na kusababisha yote kuungua moto pia foleni kubwa kwa barabara ya Dar - Chalinze na majeruhi kadhaa

Hili nilikuwa jambo la kusubiria maana ligi zao njiani zilipita uhalisia wa safari za kuwahi kufika

=====

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bw.Abubakar Kunenge, amezungumza na #ITVDigital ambapo amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu wawili katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya New Force, basi la Kampuni ya Sauli pamoja na Lori la mafuta, katika eneo la Ruvu, mkoani humo.

Kunenge amesema abiria walifanikiwa kutoka kwenye mabasi hayo isipokuwa abiria wawili ambao walikuwa wamebanwa kwenye moja ya mabasi hayo na wakati Jeshi la Zimamoto na Jeshi la Polisi wakiendelea na juhudi za kuwaokoa ndipo moto ukalipuka na kusababisha abiria hao kufariki dunia.

View attachment 2946656View attachment 2946657
USSR

Pia soma Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu
Hayo yote ni mabasi ya ndagu yatakula watu sana kabla ya kuisha.
 
Nimekuuliza zaidi ya hiyo ajali sauli ilishwahi kupata ajali nyingine?

Mbona kichwa chako kigumu kuelewa
Soma na kuelewa siyo unasoma tu kama pimbi. Issue ni kukimbia sana kwa kutaka kuwahi kufika wanakokwenda. Unamtenga vipi Sauli kwa hili?

Na ajali ndiyo hiyo kapata leo Mlandizi/Ruvu
 
Mara mia niarishe safari ila sio kupanda hizo kampuni,kuna maeneo wakikutana wanakimbia vibaya mno yan mpaka abiria unashindwa kukohoa kwa kuhofia usije mtingisha dereva,hao majamaa wasikie tu ila sio salama kabisa.Ila sauli kama vipi aongeze nguvu machimboni maana barabarani hapamwendei vyema,japo kijana mwenzake Achimwene ameongeza bus za makongorosi dar juzi hapa.View attachment 2946832
Kwa nini abiria huwa kimya badala ya kumwajibisha dreva na wakiulizwa na trafiki wanasema mambo shwari?
 
Mabasi haya yamegongana usiku wa kuamkia leo na kusababisha yote kuungua moto pia foleni kubwa kwa barabara ya Dar - Chalinze na majeruhi kadhaa

Hili nilikuwa jambo la kusubiria maana ligi zao njiani zilipita uhalisia wa safari za kuwahi kufika

=====

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bw.Abubakar Kunenge, amezungumza na #ITVDigital ambapo amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu wawili katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya New Force, basi la Kampuni ya Sauli pamoja na Lori la mafuta, katika eneo la Ruvu, mkoani humo.

Kunenge amesema abiria walifanikiwa kutoka kwenye mabasi hayo isipokuwa abiria wawili ambao walikuwa wamebanwa kwenye moja ya mabasi hayo na wakati Jeshi la Zimamoto na Jeshi la Polisi wakiendelea na juhudi za kuwaokoa ndipo moto ukalipuka na kusababisha abiria hao kufariki dunia.

View attachment 2946656View attachment 2946657
USSR

Pia soma Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu
Na kuna wapuuzi walianzisha thread za ligi za mabasi humu.
 
Back
Top Bottom