Haya ndiyo Hamas waliyokubali ili vita visimame.Na kama Israel itayakataa basi bora vita viendelee

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,473
11,456
Msemaji wa Hamas,Osama bin Hamdan alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Beirut jana Jumanne, amesema iwapo Israel itaendelea kutoyazingatia mambo hayo na kuendelea na kuivamia Rafah basi hakuna namna nyengine ila ni kuendeleza vita.

Walichokubali Hamas ni :

1 .Kuwepo usitishwaji wa vita kwa muda wa wiki sita yaani mwezi moja unusu.

2 .Katika kipindi hicho misaada ya chakula na mahitaji mengine muhimu yaruhusiwe kuingia bila vikwazo vyovyote

3 Katika kipindi hicho Hamas wataachia na kuirudishia Israel wamteka 33 wakiwa hai au maiti.

4 .Kwa kila mateka mmoja atakayeachiwa basi waachiwe wapalestina 30 walio kwenye magereza ya Israel hasa watoto na akinamama.

Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza.
 
Msemaji wa Hamas,Osama bin Hamdan alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Beirut jana Jumanne, amesema iwapo Israel itaendelea kutoyazingatia mambo hayo na kuendelea na kuivamia Rafah basi hakuna namna nyengine ila ni kuendeleza vita.

Walichokubali Hamas ni :

1 .Kuwepo usitishwaji wa vita kwa muda wa wiki sita yaani mwezi moja unusu.

2 .Katika kipindi hicho misaada ya chakula na mahitaji mengine muhimu yaruhusiwe kuingia bila vikwazo vyovyote

3 Katika kipindi hicho Hamas wataachia na kuirudishia Israel wamteka 33 wakiwa hai au maiti.

4 .Kwa kila mateka mmoja atakayeachiwa basi waachiwe wapalestina 30 walio kwenye magereza ya Israel hasa watoto na akinamama.

Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza
Baada ya kuona Rafah imechukuliwa no more smuggling weapon mnachukua mapendekezo yenu ya kijinga eti mmekubali uongo hadi dunia ilishangazwa na huo mkubalinoz wa ukichaa..

Yaani muendelee kubaki madarakani na silaha zenu? Mrudie tena alafu Gaza inchwe free mkusanye upya silaha? Hata mimi ningekuwa Netanyahu nisingekubali upuuzi huu... labda Saudia ingekuwa ndio Israel ingekubali upuuzi maana nao ni Muslims
 
Baada ya kuona Rafah imechukuliwa no more smuggling weapon mnachukua mapendekezo yenu ya kijinga eti mmekubali uongo hadi dunia ilishangazwa na huo mkubalinoz wa ukichaa..

Yaani muendelee kubaki madarakani na silaha zenu? Mrudie tena alafu Gaza inchwe free mkusanye upya silaha? Hata mimi ningekuwa Netanyahu nisingekubali upuuzi huu... labda Saudia ingekuwa ndio Israel ingekubali upuuzi maana nao ni Muslims
Matatizo ya Gaza kutokana na ukaidi wa Netanyahu na wenzake usione yataishia mashariki ya kati tu.
Wazungu wengi tu ambao wengi ni wakristo wameshaanza kuujua ukweli na wanaanza kujiunga na Hamas kupambana na Israel.Ndio maana Biden pamoja na mapenzi yake kwa Israel ameona Netanyahu wanaiwekea usiku Marekani.Wamepeleka wajumbe wakubwa kumuonya Netanyahu juu ya ukaidi wake.
 
Mkishashindwa na Allah wenu mnaanza matusi.. dini yenu haina Haki..

Mlijifanya wababe
Jua hakuna wa kumshinda Allah. Yaan ashindwe na binadamu aliemuumba? Huo ni ukichaaa Rehema ya Mwenyezi Mungu ipo kwa kila kiumbe hata awe jambazi au mzinzi au muuaji Allah anajua yeye hekma yake dhidi ya mtu huyo hivyo hili suala atalimaliza kwa njia yake anavyoona inafaa sio kwa mapendekezo yako wewe
 
Jua hakuna wa kumshinda Allah. Yaan ashindwe na binadamu aliemuumba? Huo ni ukichaaa Rehema ya Mwenyezi Mungu ipo kwa kila kiumbe hata awe jambazi au mzinzi au muuaji Allah anajua yeye hekma yake dhidi ya mtu huyo hivyo hili suala atalimaliza kwa njia yake anavyoona inafaa sio kwa mapendekezo yako wewe
Tumeona Hamas na wapalestina wamebanwa mbavu sana lakini sisi huwa roho zetu zimetutua kwani mara zote dhalimu huwa hapati ushindi.Labda iwe Hamas sio wenye haki dhidi ya Israel.Na labda iwe Israel haikuuwa wazee na watoto na kuvunja majumba na kuhamsiha watu kutoka makazi yao na sio waliovunja hospitali na kufukia wagonjwa wakiwa hai.
Dhalimu anatesa sana lakini mwishowe hushindwa katika muda usiotarajiwa na kwa namna watu wasivyojua.
 
Msemaji wa Hamas,Osama bin Hamdan alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Beirut jana Jumanne, amesema iwapo Israel itaendelea kutoyazingatia mambo hayo na kuendelea na kuivamia Rafah basi hakuna namna nyengine ila ni kuendeleza vita.

Walichokubali Hamas ni :

1 .Kuwepo usitishwaji wa vita kwa muda wa wiki sita yaani mwezi moja unusu.

2 .Katika kipindi hicho misaada ya chakula na mahitaji mengine muhimu yaruhusiwe kuingia bila vikwazo vyovyote

3 Katika kipindi hicho Hamas wataachia na kuirudishia Israel wamteka 33 wakiwa hai au maiti.

4 .Kwa kila mateka mmoja atakayeachiwa basi waachiwe wapalestina 30 walio kwenye magereza ya Israel hasa watoto na akinamama.

Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza.
Kwa hiyo Israel mmoja aliyekufa Ni Sawa na wapalestina 30 hai?
Kwa nini Israel mmoja aliyeko hai akiachiliwa wasiwe 60 Palestinians?
 
Kwa hiyo Israel mmoja aliyekufa Ni Sawa na wapalestina 30 hai?
Kwa nini Israel mmoja aliyeko hai akiachiliwa wasiwe 60 Palestinians?
Kwanini usione kinyume chake.Yaani muisrael mmoja tu aachiwe halafu waachiwe wapalestina 30
kwa akili yako nani atakuwa ndiye mjanja hapo.
Kumbe Hamas wangeteka mayahudi 1000 na kuwaficha basi wapalestina wote wangetoka magereza kurudi nyumbani kuanza kazi upya.
 
Baada ya kuona Rafah imechukuliwa no more smuggling weapon mnachukua mapendekezo yenu ya kijinga eti mmekubali uongo hadi dunia ilishangazwa na huo mkubalinoz wa ukichaa..

Yaani muendelee kubaki madarakani na silaha zenu? Mrudie tena alafu Gaza inchwe free mkusanye upya silaha? Hata mimi ningekuwa Netanyahu nisingekubali upuuzi huu... labda Saudia ingekuwa ndio Israel ingekubali upuuzi maana nao ni Muslims
Wewe mlolole uwa unanchekesha sana si ulisema haya makubaliano Hamas kadanganywa na Qatar ulivyokuwa punguani ukanzisha na uzi saizi unakuja na uharo mwingine.
 
hamas hawa sio wale wa october 7, wamelegea mno, wanatia huruma.
wali mess na wrong number, mzee Netanyahu wala hajali hao mateka waliobaki, anachotaka nikurudisha gaza katika zama za kale za mawe.
hamas wasepe zao tu qatar natanyahu ameapa kupigana nao mpaka waishe.
 
Wewe mlolole uwa unanchekesha sana si ulisema haya makubaliano Hamas kadanganywa na Qatar ulivyokuwa punguani ukanzisha na uzi saizi unakuja na uharo mwingine.
Hiyo nguvu unayotumia kutetea hamasi ni vyema ukaielekeza darfu ambako waisilamu wenzako wanachinjana wao kwa wao,

Palestina mbali sana shekhe, na mpka sasa ishabaki magofu

Na nikukumbushe jerusalem haitagawanywa milele
 
hamas hawa sio wale wa october 7, wamelegea mno, wanatia huruma.
wali mess na wrong number, mzee Netanyahu wala hajali hao mateka waliobaki, anachotaka nikurudisha gaza katika zama za kale za mawe.
hamas wasepe zao tu qatar natanyahu ameapa kupigana nao mpaka waishe.
Cha kushangaza eti wao ndio wanatangaza kusitisha vita na huku wanapelekewa moto huko huko walimojificha, hapo Israel ndio Ina haki ya kusema tunasitisha vita maana ndio wanapelekwa moto.
 
Msemaji wa Hamas,Osama bin Hamdan alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Beirut jana Jumanne, amesema iwapo Israel itaendelea kutoyazingatia mambo hayo na kuendelea na kuivamia Rafah basi hakuna namna nyengine ila ni kuendeleza vita.

Walichokubali Hamas ni :

1 .Kuwepo usitishwaji wa vita kwa muda wa wiki sita yaani mwezi moja unusu.

2 .Katika kipindi hicho misaada ya chakula na mahitaji mengine muhimu yaruhusiwe kuingia bila vikwazo vyovyote

3 Katika kipindi hicho Hamas wataachia na kuirudishia Israel wamteka 33 wakiwa hai au maiti.

4 .Kwa kila mateka mmoja atakayeachiwa basi waachiwe wapalestina 30 walio kwenye magereza ya Israel hasa watoto na akinamama.

Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza.
Natanyahuu hawezi kukubali hamas waendelee kuwepo gaza upuuzi mlioufanya october 7 mlijikosea sana bado netanyahuu alisema anataka kutoa funzo kwa magaidi na vizazi vyao siku nyingine israel sio taifa la kuchezewa
 
Matatizo ya Gaza kutokana na ukaidi wa Netanyahu na wenzake usione yataishia mashariki ya kati tu.
Wazungu wengi tu ambao wengi ni wakristo wameshaanza kuujua ukweli na wanaanza kujiunga na Hamas kupambana na Israel.Ndio maana Biden pamoja na mapenzi yake kwa Israel ameona Netanyahu wanaiwekea usiku Marekani.Wamepeleka wajumbe wakubwa kumuonya Netanyahu juu ya ukaidi wake.
Wazungu wengi ni wakristo una uhakika Mzee
 
Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza.
Aliye kuambia hi habari ni nani? Hakuna kitu kama hicho.

Kuna step 3 lazima jeshi la Israel kila stage lina ondoka sehemu walizo zishika.

Kuna sehemu wambiwa wabaki kwenye mipaka.

Kuna sehemu wambia waondoke ili wa Palestine warudi.

Ndege za kivita ziwe zina stop kupiga kwa masaa 10 mpaa 12.

Misada iingie kama kawaida.

Hi vita Israel hawezi kushinda hata siku moja na kila ikiendelea ni bora kuvunja economy ya Israel wa Israel wengi wameisha kimbia na wengine watakimbia nchi haina amani tena
 
Aliye kuambia hi habari ni nani? Hakuna kitu kama hicho.

Kuna step 3 lazima jeshi la Israel kila stage lina ondoka sehemu walizo zishika.

Kuna sehemu wambiwa wabaki kwenye mipaka.

Kuna sehemu wambia waondoke ili wa Palestine warudi.

Ndege za kivita ziwe zina stop kupiga kwa masaa 10 mpaa 12.

Misada iingie kama kawaida.

Hi vita Israel hawezi kushinda hata siku moja na kila ikiendelea ni bora kuvunja economy ya Israel wa Israel wengi wameisha kimbia na wengine watakimbia nchi haina amani tena
Mkuu hivi sasa hivi unaona tena hata vile vi clips vyao walikua wanarusha makombora kwa kuvizia IDF?
IDF ina control zaidi ya 70% ya Gaza now

Sasa hivi wamebakiza Rafah tu ili wapalestina wote wakajilundike sehemu moja kwenye mahema

Baada ya hapo utatengenezwa utaratibu mpya wa kuifanya Gaza ikalike chini ya matakwa yao ili ujinga wa oct 7 usijirudie
 

Attachments

  • C135B827-0E7E-430D-B088-D33EAA5816BF.jpeg
    C135B827-0E7E-430D-B088-D33EAA5816BF.jpeg
    170.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom