bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,262
- 20,220
Kwa wachezaji gani tulio nao?Sio rahisi.
Kwa wachezaji gani tulio nao?Sio rahisi.
Kuna wakati nawaza kama vile Uto walikuwa sahihi.Yeyote ashinde kwenye hili bonanza la muungano ambalo lilianza na shule za msingi Sekondari vyuo Sasa Simba na azam wanahitimisha
Kwangu naona yanga atapigwa fitna ambazo hajawahi kutana nazo kwa kukataa hili bonanza huenda Leo coastal akapewa penalty mbili huku yanga akila red card na kunyimwa goli
Hawa wanaoshindwa kuifunga Mashujaa ikiwa pungufu?Hao hao.
Kocha keshaona weakness
YeeeaassYaaani hili ni bonanza ama ndondo
Tuipe jina gani?
Azam 4
Simba 0
Yah Kuna viporo viwili ila labda Kuna nipe nikupe tutaonaKuna wakati nawaza kama vile Uto walikuwa sahihi.
Kuna mashindano mengine ukichomekewa katikati ya plan zako, ukaingia kichwa kichwa yanakutoa mchezoni. Ona haya yashatengeneza viporo 2 vya ligi kuu.
Kila la kheri Azam!
Atajikanyaga
Count me inMashabiki wa Azam Fc tutambuane